Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema CCM ikikosa Umoja itasambaratika na hatimaye kusambaratisha Nchi, anayefarakanisha wenzake hatufai Dr Nchimbi amesema hayo mkoani Songwe Kwao Akina Lucas...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Kuanzia muonekano wa bwawa la Nyerere hadi kiasi cha umeme unaotengenezwa katika bwawa hilo ambao ni megawatt 2115 tu, kila kitu kimekuwa underplanned and underestimated (finyu). Tumepoteza nafasi...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Wale Waitaliano Waliojenga Bwawa la Umeme la Mtera walisema miaka ile ya 1980s kwamba suluhu ya Nishati ya Tanzania ni Umeme wa Maji kwa Sababu Nchi hii Maji ni Mengi Mno Wakati huo sikuwaelewa...
25 Reactions
24 Replies
1K Views
Don’t miss: Gold has long been considered the ultimate safe-haven asset, but a growing number of investors are now turning to farmland for better returns and greater protection against inflation...
0 Reactions
1 Replies
332 Views
UWT KUTOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI NA KIBITI Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeendelea na zoezi la ukusanyaji wa mahitaji muhimu kwa ajili ya kutoa misaada kwa waathirika wa...
0 Reactions
3 Replies
392 Views
Kundi la CHAWA Ndani ya CCM ni kubwa kuliko Hata Chama Kikuu Cha Upinzani Chadema Natoa angalizo CCM wawe makini Sana na CHAWA maana hawa jamaa Wana Nguvu kubwa kwenye Maamuzi mbalimbali Niishie...
0 Reactions
3 Replies
502 Views
Wanabodi, Haya ni mapendekezo yangu kwa miswada mitatu ya sheria ya uchaguzi, Sheria ya vyama vya siasa na Tume ya uchaguzi. https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=lqufL6e34DyB2Gjr Nilipendekeza 1...
8 Reactions
41 Replies
3K Views
Hii ni kwa Mujibu wa CAG "Nilibaini kuwa Bohari Kuu ya Dawa ilinunua mashine 10 za kuondoa maumivu, ukakamavu na mkazo wa misuli (Diathermy) kwa bei ya shilingi milioni 136.7 na kuacha kununua...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Nianze kwa kuwapa pole na kuwaombea kwa mwenyezi Mungu ndugu zetu wote waliopata majanga ya mafuriko popote nchini Tanzania, pili nimpe pole Mh. Raisi mama Samia suluhu Hassan kwa kitendo cha...
3 Reactions
26 Replies
916 Views
Leo nimeamua kuwapongeza CHADEMA kwa kuonyesha weledi wa kisiasa kwa kutoa maoni yao kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi. Safari hii ufipa wamejitahidi tofauti na wakati mwingine. Hata kama...
20 Reactions
140 Replies
24K Views
Na Mwandishi Wetu, Serengeti MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulurhaman Kinana amepokea malalamiko mbalimbali yakiwemo madai ya mauaji ya wananchi katika hifadhi...
7 Reactions
43 Replies
2K Views
Kasheku amelilalamikia Bunge kwa nini haliwezi kutoa maamuzi ya kufanyiwa kazi. Anapendekeza bora hoja bungeni zisipelekwe kuliko kupoteza muda. Ktk clip inayosambazwa anatoa mifano kuwa kuna...
4 Reactions
10 Replies
627 Views
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Suala la kikokotoo limekuwa ni mwiba mkali kwa wastaafu katika nchi hii huku kundi dogo la wanaofaidi keki ya taifa wakitaka kikokotoo kiwepo kwa wastaafu wakati wao hakiwagusi wanachumua...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Waziri wa Tamisemi ametoa onyo kali kwa wote wanaoenda kuangalia mafuriko Rufiji bila misaada yoyote waliyobeba na kuishia kueneza chuki na upotoshaji mkubwa eti kwamba mafuriko hayo...
4 Reactions
68 Replies
3K Views
Copy & paste Zabuni ya kununua na kusambaza mashine za kufulia katika vituo vya afya na hospitali unampa mchina. Zabuni ungempa mwekezaji mzawa na kukuza mtaji wake. Mchina anapeleka pesa kwao...
12 Reactions
63 Replies
2K Views
Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika Ndani na Nje ya Nchi , Chadema HQ na Chadema Diaspora , zinaeleza kwamba Maandalizi ya yale Maandamano kabambe ya amani ya kupinga Ugumu wa Maisha na...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Usiku wa Mei 4, 2024 ACT wazalendo itazindua Nembo Mpya na kupandisha Bendera Mpya Je, Hiyo ni Ishara ya kuingia kwenye Siasa mpya zisizo na Uchawa kwa CCM?
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Anasema kipindi kilichopita kilikuwa na kikundi kinaitwa task force. TRA walikuwa wanafunga account za wafanyabiashara kwa kisingizio cha kukusanya kodi kwa kutumia Task force hivyo kufilisi...
14 Reactions
115 Replies
5K Views
Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu...
11 Reactions
185 Replies
11K Views
Back
Top Bottom