Ktk page yao
wanAnalalamika Palestina kupewa na Iran
. Halafu wnalalamika Ukrain kunyimwa pesa na Marekani ili kupambana na Urusi
Bbc swahili website yenu ibadilike.
Waandishi wasiwe bias...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Misa Maalum ya miaka 40 ya Kumbukumbu ya Miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine, aliyekuwa Waziri Mkuu wa...
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka wananchi kuepuka matumizi yasiyo sahihi ya vidonge vya kuzuia mimba maarufu kama P2 ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza pale dawa hizo...
Chifu Wanzagi Nyerere ameomba Serikali itenganishe siku ya uzimaji Mwenge na Kumbukizi la Mwalimu Nyerere 14 October
Chifu Wanzagi amesema kama haiwezekani basi wanaomba Maadhimisho ya Nyerere...
Salaam, shalom!!
Nimefuatilia hotuba fupi ya RC wa Arusha, ilijaa utulivu na mtiririko uliopangika kabisa, hivyo kusema kuwa aliropoka, Si Kweli, alidhamiria kusema aliyosema,
Tangu Mropokaji...
Happy birthday Mwalimu Nyerere #Tanzania We will appreciate your contribution to the building of the Nation and Africa Miaka 102 iliyopita alizaliwa Julius Kambarage Nyerere!
Leo ndo ilitakiwa...
Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote itaanza kutumikia mwezi huu wa April 2024 katika tarehe itakayopangwa
=====
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel...
Tunadhani hii case closed!
Wengi ndani na nje ya CCM mmekuwa mkihoji kwa nini Mwenezi wa CCM Paul Makonda amekuwa akifanya ziara na misafara mirefu kuliko hata PM na Naibu PM.
Katika ziara zake...
Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho, Ijumaa Aprili 12.2024 anatarajia kuwaongoza Watanzania katika kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Waziri Mkuu mstaafu wa...
1. Kutokujua anataka nini kwenye siasa. Mara anataka demokrasia lakini hataki katiba mpya. Mara anataka katiba mpya lakini baada ya miaka mitatu. Mara anataka chaguzi huru lakini anataka mkwe wa...
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye...
Ni jambo ambalo limenifanya nifurahie sana hii sikukuu ya Eid. Huko X (Twitter) kuna vita kali baina ya makada wa chama cha Mbowe. It's Fredy Justine against Ntobi & Martin Maranja. Vita ni kali...
Akiwa Katika mjadala mkali na Tundu lissu na Kabwe zitto. Nape amesisitiza mpaka ndani ya chama cha ccm Magufuli ameacha Funzo kubwa sana kuna mambo ndani ya chama hasa sheria na kanuni zinapaswa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa jirani hakukaliki wala hakuna utulivu wala amani ndani ya nyumba yao. Hii ni baada ya hali ya kutoelewana kati ya Mbowe na lissu kwa muda mrefu sana kunakochangiwa na...
Idumu serikali ya CCM!
Moja kwa moja kwenye mada yangu.
Mkoa wa Arusha nchini Tanzania utashuhudia mabadiliko makubwa ya uongozi baada ya uteuzi wa Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa. Kabla ya...
Waziri wa mambo ya Nje mh January Makamba amesema Rais aliyeko madarakani anapoendelea na muhula wake wa pili ndipo kunakuweko Fitna nyingi ndani ya Chama
Makamba ameongea haya kutokana na uzoefu...
Heshima wakuu,
Naomba nitumie nafasi hii kumtia moyo Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam. Kutokuwa kwenye Uongozi sio ukilema au kwamba hujui kazi, hapana bali ni katika hali ya kawaida kubadilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.