Japo haijatajwa sababu ya kwann umeshushwa kwenye bajaji na ukapandishwa kwenye bodaboda, lkn mtazamo wa wengi ni kwamba uliendelea kusifia jina la bosi wako wa zamani ukalididimiza na kulidhihaki...
Neno la Kuhuzunisha la Wanazuoni wa Tanzania: Janga la Kitaifa
(Imetafsiriwa kwa kutumia Akili Tarakilishi)
Baada ya kupata uhuru wake, Tanzania iliweka njia kubwa kuelekea mageuzi ya elimu ya...
Ujenzi wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Ushetu, Mkoa wa Shinyanga
Mbunge wa jimbo la Ushetu, Emmanuel Cherehani ameiomba serikali kukamilisha haraka ujenzi wa Kituo cha Polisi Ushetu ambacho kwa...
Mwenyekiti wa CCM Rais Samia amesema Katibu Mwenezi wa CCM ya Samia anatakiwa Kuwa Mtu ambaye Vyama vya Upinzani vinahofia kufanya naye Mdahalo kwa Sababu Anaaminika zaidi, ana Taarifa zaidi na...
Hivi kweli google inaweza kuandika kwamba nchi fulani uwanja wake wa ndege au labda mgodi fulani umechukuliwa kwa sababu za madeni ya nchi ?
Hebu msikilize hapa Makalla huenda ukamuelewa
Tayari umeapa kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha na wewe sio mgeni kwenye kazi ya ukuu wa Mkoa ulishaitumikia hapo mwanzo wakati wa Hayati Rais Magufuli.
Sasa napenda kukushauri hili.
Enzi za Magufuri...
Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni amechangia Bungeni Jijini Dodoma, leo April 4,2024 ambapo katika mchango wake amemuomba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa kuzungumza...
Mbunge Cherehani Aiomba Serikali Kuwapa Wananchi Ruzuku ya Gesi
Mbunge wa Ushetu (CCM), Emmanuel Cherehani ameiomba Wizara ya Nishati kutoa ruzuku ya gesi kwa wananchi waishio maeneo ya vijijini...
Wana JF.
Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.
Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa...
Habari wadau!
Mnayemfahamu kindaki ndaki RC wa Dar Es Salaam mheshimiwa Amos Makalla naomba CV yake tafadhali.
Je, ni mtu wa aina gani ,maana jiji lilipoa sana baada ya kuondoka Makonda, na yule...
Kwa furaha kubwa ya Wana mwanga, mungu amempeleka Makamu wa Rais Dr Mpango kuitembelea wilaya ya Mwanga .
Madudu aliyayakuta huko, aliyekuwa DED wa mwanga akahamishiwa Moshi Manispaa, Mwajuma...
Sijawahi kumkubali huyu jamaa but huwa ninakuwa inspired sana na Confidence yake , shyless guy, na anayependa kuona mambo yanatokea.
Nimemtazama wakati anaapa, huyu jamaa ana kitu cha kipekee...
Wakati Raisi akiapisha viongozi wapya siku ya jana nilifurahi sana Raisi kuapisha vijana wadogo katika nafasi kubwa za uongozi badala ya kuona kila wakati akiapisha tu vikongwe kwenye nafasi za...
Wanabodi
Siku ya leo, tunampunzisha Mzee wetu, Rais Mtaafu wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi, kwa jina maarufu la Mzee Rukhsa, kwenye nyumba yake ya malalo ya makao ya milele.
Mara ya Kwanza...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi kama ifuatavyo:
i) Amemteua Bw. Sylvester Joseph Kainda kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla...
Hii ndio hasara ya kupata wawekezaji madalali ambao hawana uwezo bali wanapiga Cha Juu na kusepa.
--
Mbunge wa Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu amelalamikia changamoto ya mgodi wa Nyanzaga kuuzwa...
Serikali ya Tanzania hadi sasa imetumia jumla ya Shilingi Trilioni 10.69 kwenye Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kama sehemu ya miradi mikubwa ya nchi.
Akitoa ombi kwa Bunge kuunga mkono jumla ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:
i) Amemteua Mhe. Jaji Winfrida Beatrice Korosso kuwa Mwenyekiti wa Tume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.