Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara? Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za...
6 Reactions
60 Replies
3K Views
Mbwembwe za kumtumia Mwijaku na Yale Makamera, Lengo lake Sasa ni hili la CCTV Kwa zaidi ya Milion 500 . Hapo anajua Kamtekenya Mama, kwahiyo Hatoulizwa hiiii gharama vipi? Sawa ni Cameras...
0 Reactions
2 Replies
168 Views
Katibu wa jumuiya ya Wazazi Ally Hapi amewataka vyama vya upinzani kuacha visingizo vya kukimbia mapambano ya uchaguzi kwani mabadiliko wanayoyataka wapinzani tayari Watanzania wameshayapata...
2 Reactions
12 Replies
623 Views
Huu Ndio udhaifu mkubwa aliouonyesha Freeman Mbowe kama Mwenyekiti Mtendaji wa Chadema Zile Nafasi zilikuwa ni za Chama na siyo za akina Halima James Mdee na wenzake 18 kama individuals Huu...
0 Reactions
8 Replies
200 Views
Wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu ambako pia wananchi watapata nafasi ya kuchagua wabunge watakaowawakilisha kwa miaka mingine 5, tunashashuhudia viongozi wakianza kutangaza nia na kuahidi...
0 Reactions
5 Replies
638 Views
Kwamba pamoja na uzee wake, Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na...
6 Reactions
76 Replies
1K Views
Amesema kuwa ameona taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kutekwa kwa Katibu huyo, Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe...
1 Reactions
12 Replies
740 Views
  • Redirect
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ally Hapi, amevitaka vyama vya upinzani kuacha visingizio na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi, akisisitiza kuwa maendeleo yaliyotekelezwa na Rais Samia...
0 Reactions
Replies
Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T. Kombo (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uswisi nchini, Mhe. Nicole Providoli yaliyofanyika katika ofisi...
0 Reactions
0 Replies
83 Views
Tundu Lissu: Tubadilishe tarehe ya Uchaguzi Mkuu kwa Miaka miwili ili tuwe na tume Huru. Waati akihutubia Maelfu ya Watu huko Mkoani Singida hii leo, amesema Uchaguzi uahirishwe. Amesema kuliko...
20 Reactions
77 Replies
3K Views
Lissu ameeleza kuwa hakuna mpasuko kwenye chama chao na pia amesema wamefanya uchaguzi wa kihistoria kwa mara ya kwanza katika historia ya chama chao kwa takribani zaidi ya miaka 30. Ameeleza pia...
4 Reactions
15 Replies
620 Views
Wakuu, Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa Tuzo za Wasanii wa Vichekesho (Tanzania Comedy Awards) zitakazofanyika Februari 22, 2025 katika ukumbi wa The Super...
10 Reactions
48 Replies
1K Views
  • Redirect
Msako Maalum wa kumtafuta Amani Katibu wa bavicha aliyepotea mkoani Mwanza utaanza Wakati wowote ukiwashirikisha Chadema, Polisi na family ya Amani Jambo TV Ahsanteni sana 🐼
0 Reactions
Replies
Views
Ni wazi Congo ya Mashariki wanakwenda kuwa Taifa Huru kama ilivyokuwa Asili yake Akina Zitto Kabwe muwe wazalendo Sasa kuhakikisha Congo Mashariki anakuwa Mteja mkuu wa Bandari yetu Ahsanteni...
0 Reactions
10 Replies
177 Views
Wakuu 'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza. Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili...
67 Reactions
369 Replies
57K Views
Wananchi Mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya mama Samia Legal AID inayolenga kutatua changamoto za kisheria ambazo zinawakumba wananchi. Rai...
0 Reactions
2 Replies
146 Views
Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo. Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya...
20 Reactions
156 Replies
7K Views
Nini hasa unadhani kimepelekea vyama vya upinzani nchini, kupuuza na kuukalia kimya wito wa kuunganisha nguvu ya upinzani kisiasa na kiongozi mpya wa Chadema Taifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa...
4 Reactions
35 Replies
496 Views
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema. Je, mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha urais kwa upande wa Zanzibar? Je, mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha...
2 Reactions
13 Replies
347 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…