Hili ni ombi langu kwenu tume, kwamba uchaguzi ujao, punguzeni majimbo ya uchaguzi. Hatuwezi kuendelea kwa kuwa na majimbo kila mtaa. Ongezeko la majimbo limeifanya siasa kuwa ni agenda ya nchi...
Serikali ina mkakati wa kubana matumizi na ndiyo maana hawaongezi mishahara. Cha ajabu sana watu wamekuwa wakilalamika tu hata upinzani bila hata kutoa ushauri wafanyaje kubana matumizi. Mimi...
Ndugu wanajamvi karibuni kwenye Mada inayohusu Ugawaji wa Majimbo ya Uchaguzi Tanzania. Nikiwa mdau wa Siasa za Tanzania najua na hata wewe unajua kuwa mwaka 2020 ambao ni mwaka tutakaofanya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, leo, Aprili 3, 2024, Ukumbi wa JNICC.
Tume hii ina majukumu muhimu kama kusimamia sheria...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki vikao vya kikatiba vya CCM ngazi ya Taifa na Kamati Kuu ya...
Ni kweli CCM haina hazina ya wanachama bali wanavikundi vya kusifu na kuabudu ambavyo vimejaa vijana wengi Machawaa lakini hawana weredi wowote?
Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki vikao vya kikatiba vya CCM ngazi ya Taifa na Kamati Kuu ya Halmashauri...
Huu mfumo kuwapa wabunge pensheni kila baada ya miaka mitano haufai. Ingefaa Wabunge walipwe pensheni baada ya mbunge kuachia ubunge na kutokuwa mbunge angalau miaka 10 mfululizo.
Ikitokea baada...
MWENGE WA UHURU UNAOSEMEKANA UMILIKE PALE PASIPO NA HAKI, LEO 2024 KWA ZUKA TAFRANI YA HAKI
Wananchi hao vijiji vya wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro wadai ardhi yao kuporwa na mamlaka ya Bonde...
Mtoto wa Makamu wa kwanza na Waziri Mkuu mstaafu Mhe. John Malecela Bw. Samwel Malecela hivi sasa anafanya kampeni kubwa kupitia watendaji wa kata 19 za Mtera ili apate nafasi ya kugombea ubunge...
Heri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha...
Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro...
Awamu ya tano ya Mh. Rais Magufuri watu wengi waliisema kwa udikteta na mambo mengine kama hayo lakini angalau kwenye teuzi alijaribu kuweka sura na majina mapya
Awamu hii ni kama watu...
Candidate
Running mate
Party
Anna Elisha Mghwira[42]
Hamad Mussa Yussuf
Alliance for Change and Transparency (ACT)
Edward Lowassa[42]
Juma Duni Haji
Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Licha ya TANESCO kutoa adhabu ya kugawa Umeme Kwa wananchi wa TANZANIA na kuendeleza mateso hawajaridhika na sasa wameamua kufungulia maji ya bwawa la nyerere na kusababisha mafuriko makubwa na...
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake...
Ukianzia pale kwa Mzee Kinana unaweza kuiona kabisa Team Ben Mkapa ndio imeshika Mikoba ya CCM kwa sasa
Mzee Kinana, Dr Nchimbi, Makalla na Rostam Aziz yaani Lupaso Watupu
Mungu wa Mbinguni...
Nimemuona Mhe. Nape akichangia hoja yake kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Tanzania kuwa kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere kunahitajika kukatwa miti takriban 4.3.
Akazidi kuelezea...
Unaweza kuitafakari Chama kikuu Cha Upinzani kinafanya Uchaguzi wa Ndani kitaifa lakini hadi sasa nafasi zote Wanachama wametia Nia na wanafanya kampeni Kasoro nafasi ya Mwenyekiti wa taifa tu...
Mwenyekiti wangu wa chama Rais Mama Samia Suluhu Hassan, najua ilivyokuwa kwenye wakati mgumu kumpata mrithi wa mfitini wako Dk. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Nakupendekezea kijana Amos...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.