Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao. Zaidi angalia hapa
23 Reactions
83 Replies
2K Views
Hii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45. Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri...
10 Reactions
80 Replies
3K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thatib Kombo (Mb.) amepokea Nakala ya Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Thailand nchini Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
  • Redirect
Baada ya Steve Nyerere, Baba Levo, Shilole, Shafii Dauda na wengine kuja na mambo ya Ajabu kuhusu Mama, sasa ni zamu ya Mwijaku. Ambaye yeye kaamua kuja na mambo yasiyoeleweka kabisa Ila kwa...
1 Reactions
Replies
Views
Leo nimeshuhudia watu wengi maeneo ya kisarawe wakijiandikisha na kupata vitambulisho vya kupiga kura bila utambulisho wa awali wa kuhakiki utanzania wao. Kama namba ya NIDA au hata utambulisho...
1 Reactions
0 Replies
86 Views
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu kuna mbilinge kubwa linaendelea ktk majimbo mengi hapa nchi. Fedha zinamwagwa Kama ulezi Kwa wananchi, wajumbe, wenyeviti n.k.. Si DSM, Songwe, Geita, Mwanza...
1 Reactions
2 Replies
169 Views
TANROADS wins global iRAP awards 2024 By Our Reporter The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) has won the International Road Assessment Program (iRAP) 2024 awards as the world’s best...
0 Reactions
2 Replies
140 Views
Heshima sana wanajamvi, Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya. Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti...
4 Reactions
29 Replies
500 Views
Akizungumza na wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM katika Kata 3 za Nyamagaro kyang'asaro na Nyamtinga, Mbunge wa Jimbo la Rorya, Jafari Chege amewawetaka wananchi wa Kata hizo...
0 Reactions
4 Replies
164 Views
Kasi ya Wasira CCM imeharibu mipango, malengo na uelekeo wa upinzani kabisa nchini. Imewadhoofisha na kuwapotezea matumani kabisa, kiasi kwamba wamekosa na hawajui la kufanya. Kwa kipindi kifupi...
3 Reactions
13 Replies
331 Views
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka ameagiza Halmashauri zote mkoani Njombe kuanza kuwalipa posho Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji kupitia mapato ya ndani. Mtaka amesema mkoa wa Njombe hauwezi...
1 Reactions
14 Replies
566 Views
Shule za michepuo ya Elimu ya Ufundi zilizoboreshwa zimeongezeka kutoka shule 9 mwaka 2020 kufikia shule 27 mwaka 2024. Hii ni katika kuhakikisha elimu ya ufundi inafundishwa katika hatua za...
0 Reactions
3 Replies
133 Views
Wanabodi, Niko kwenye ukumbi wa hoteli mpya ya King Jada Hotel, nikiwaripotia live, kikao kazi kati ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gersom Msigwa, na Jukwaa la Wahariri Tanzania , TEF Karibuni...
4 Reactions
18 Replies
398 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, ameendelea kuzungumzia changamoto za mfumo wa uchaguzi nchini, akisema kuwa kura ya mtu mmoja lazima iwe sawa na kura ya mtu mwingine popote ndani ya...
1 Reactions
4 Replies
362 Views
Bado tuna safari ndefu sana ambayo kwa sasa ccm inaonyesha kutoa pesa nyingi kwenye media na mitandao watu wasijenge uwezo wa kuhoji kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi 2025. Kuna party nyingi...
3 Reactions
6 Replies
149 Views
Hii ni moja ya kauli za Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wa Mkoa wa Mbeya, Ndugu Ndele Jailos Mwaselela, alipotekeleza ahadi yake ya kuchangia ukarabati wa ofisi...
1 Reactions
4 Replies
233 Views
Nimeona Wafuasi wa Tundu Lisu wakilinganisha uchaguzi wa Chadema na Ule wa TLS na Kwamba Mwabukusi aliwekewa mtimanyongo na CCM Lakini akashinda vivyo hivyo Tundu Lisu atashinda Chadema...
1 Reactions
10 Replies
301 Views
Kuna Mijadala unaendelea hapa Citizen TV kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti wa AUC Mtaalam mmoja anasema ilishapendekezwa Dr Kikwete wa Tanzania aongoze kamisheni hiyo endapo wagombea wangeshindwa...
1 Reactions
4 Replies
274 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…