Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Chalamila anaondoka DSM kutokana na kushindwa kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto za jiji hilo kubwa. Mahitaji ya wananchi na maono ya RC Chalamila vimeshindwa kuendana na hivyo...
13 Reactions
66 Replies
7K Views
Nashauri kuwe na TANESCO kwa kila kata hata kukiwa na fundi mmoja tuu akasaidiana na hawa mafundi wasaidizi waliopo ili kutatua changamoto za umeme ambazo zinatokea kwa sababu kuna wakati...
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP. Ramadhan Nga'nzi amesema baada ya kukamilika kwa wiki mbili za wanaotumia namba za 3D pamoja na vimulimuli na ving’ora kuondoa kwa hiari sasa...
2 Reactions
11 Replies
703 Views
Katika mamia ya sheria nilizowahi kuzisoma hapa nchini Tanzania sijwahi kukutana na sheria inayomtaka Rais kuendeleza kile alichokianzisha mtangulizi wake, na badala yake nchi huwa ikiendeshwa kwa...
2 Reactions
8 Replies
460 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, uwekezaji wowote unaofanywa katika Sekta ya Elimu lazima umguse Mwalimu kwani ndiye injini na kiongozi wa rasilimali...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Ukiisikiliza hii stori kwa umakini bila kupepesa macho wala kutikisa masikio, utagundua kuwa serikali ndiyo imehusika katika kutoroka kwa...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru. Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto...
26 Reactions
73 Replies
6K Views
Waziri wa Tamisemi mh Mchengerwa amesema Wizi unaotajwa Kufanyika Tamisemi ulitokea kuanzia 2017 hadi 2021 My take: Jafo aliupiga mchache ==== "Mh. Rais naomba nikuthibitishie, hakuta wakati...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Serikali itahakikisha inasimamia ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Tabora ili...
0 Reactions
6 Replies
590 Views
Mara kadhaa Rais na wapambe wake wakiwemo mawaziri wanapohisi kuna ubadhilifu katika fedha za umma huwaagiza TAKUKURU wafanye uchunguzi! Mtindo huu wa utawala ni wa hovyo kwani tayari fedha...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Huko Instagram na Twitter kumetokea malalamiko ya kada mwandamizi na mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere kuhusu kutoalikwa kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa ikulu na Rais...
0 Reactions
16 Replies
958 Views
"Nendeni mkasikilize kero za wananchi" - Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania. --- --- Makonda amezunguka mmeona mfano, Wananchi wana kero kadhaa, nyingine nyepesi tu za kutatuliwa...
0 Reactions
1 Replies
397 Views
Dunia kwa ujumla inapitia changamoto ya matarajio ya kuporomoka kwa uchumi, kwa kuwa Tanzania ni sehemu ya Dunia pia inapitia changamoto ya mfumuko wa bei( kwa Afrika Mashariki Tanzania ni nchi...
7 Reactions
38 Replies
1K Views
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu? Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni...
22 Reactions
113 Replies
8K Views
Ikulu ya Magogoni imewakarimu sana viongozi wa dini na wasanii wakiambatana na CHAWA. Nadhani hiki ni kipindi ambacho kila mwezi hata makundi lazima yawe Ikulu. Je, huu ni ukarimu? Na ukarimu huu...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwanza naunga mkono na miguu hoja ya Makampuni wa pili wa Rais Zanzibar kutoka ACT bwana Masoud Othman. Wakati sheria ya ugatuaji madaraka inaanzishwa ilikuwa na lengo la Kupeleka mamlaka ya...
3 Reactions
10 Replies
907 Views
Mwenzenu napata taabu kidogo, sijui jinsi gani Mheshimiwa huyu ashawishiwe na kukubali ombi hili. Natamani sana John Pombe Magufuli awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sio sasa kwa...
14 Reactions
315 Replies
42K Views
Wanabodi, Kwa wale wafuatiliaji wa siasa za nchi hii, na haswa harakati za kumpata mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM, kumekuwa kukitokea mambo mengi ya kufurahisha...
3 Reactions
48 Replies
8K Views
Kama alivyosema Jokate ni muda muafaka Sasa wanawake kuchagua mwanamke mwenzao sio tuu Kwa sababu ni mwanamke Bali Kwa sababu ana uwezo na ameonesha. Toka Akiwa VP ,Rais Samia ndio Rais pekee...
2 Reactions
115 Replies
3K Views
Back
Top Bottom