Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
BENI, DR CONGO: Waziri wa Ulinzi waTanzania, Hussein Mwinyi amewatembelea katika kambi zao wanajeshi wa JWTZ wanaolinda amani nchini humo na kuwapa pole kwa kuondokewa na wenzao waliouawa na waasi.
1 Reactions
41 Replies
10K Views
NHIF yatoa Ufafanuzi kuhusu Dawa na Vifaa Tiba vinavyodaiwa kuondolewa kwenye Kitita Ufafanuzi unafuatia taarifa zinazosambaa Mitandaoni kwa kasi Taarifa kamili inakujia
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa ya leo kwenda kwa Kasheku Musukuma na wengine wote wenye akili kama Yake, Mpaka muda huu Tundu Lissu kwenye ziara yake huko kanda ya ziwa, ametembelea na kuomba dua Maalum kwenye...
9 Reactions
58 Replies
4K Views
11 March 2024 Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu usiku huu: Picha maktaba: ndugu Anamringi Macha TEUZI NA UHAMISHO : Naibu Katibu Mkuu wa CCM bara, ndugu Anamringi Macha...
5 Reactions
56 Replies
7K Views
Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini? Ramadan Kareem 😄
0 Reactions
4 Replies
378 Views
Wakuu Jakaya Kikwete Rais Mstaafu wa Tanzania anagombea nafasi ya kuwa African Union Commission Chairperson ambapo Mshindani wake ni Raila Omollo Odinga. Tayari Vilio vya usaliti vimeanza kusikia...
14 Reactions
162 Replies
11K Views
Kuna nguvu huamua hatima yetu.. Kuna nguvu hutuandalia matokeo tusiyopanga wala tusiyoyataka Kwa waamini wa kiimani nguvu hiyo huuita Mungu au miungu na kwa wasio waamini nguvu hiyo huuita Asili...
55 Reactions
117 Replies
7K Views
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar , Othman Masoud , ambaye pia aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar , amenukuliwa akieleza kwamba , kwa sasa Zanzibar hakuna amani , bali kuna Ukimya tu ...
9 Reactions
62 Replies
4K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Mojawapo ya vitu ambavyo huwa vinafanywa 'vizuri' na watawala wa watawaliwa unapoelekea mwaka wa uchaguzi ni jinsi gani huwa wanajipanga kujipendezesha kwa wakubwa wa dunia...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake. Achunguzwe mfumo...
7 Reactions
164 Replies
26K Views
Mwaka 2014 kenya ilikopa fedha kutoka china kupitia bank ya exim ili ku implement ujenzi wa reli toka mombasa port adi Rwanda kupitia Uganda. Ujenzi ulianza immediately, but reli iliishia mji wa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa ufupi:only one mining company,one telecom company,no gas/fuel company!! 1.TBL(Tsh bilioni 165.4) 2.NMB(Tsh bilioni 108.6) 3.TCC (Tsh bilioni 92.1) 4.NBC (Tsh bilioni 89.9)...
0 Reactions
236 Replies
24K Views
Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo amesema enzi zetu tulifundishwa somo la Siasa Primary hadi Secondary school kwahiyo tulielewa maana ya Siasa na wale walioamua kuwa Wanasiasa walifanya hivyo kwa...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Paul Makonda ulifanya ziara nchi nzima na kuhitimisha kwa kusema umekuta nchi nzima inanuka dhuluma kutokana na wananchi kufanyiwa dhuluma kubwa na viongozi waliopewa dhamana katika ngazi za...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/watch?v=pCEYJFpwydw
0 Reactions
4 Replies
324 Views
Mimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa...
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Nilikuwa nawaza sana katika kipindi cha joto ambacho nimewahi kushuhudia, sikumbuki kama joto la namna hii niliwahi kuliona. Nikawaza tatizo liko wapi?
1 Reactions
18 Replies
982 Views
Mh. Rais pole na majukumu tuliyokukabidhi watanzania. Ombi kwako ili wananchi wa Rukwa tupige angalau hatua mbili kimaendeleo ni wakati wako sahihi wa kutubadilishia Mkuu wa Mkoa. Mkoa wa Rukwa...
0 Reactions
8 Replies
837 Views
Tanzania na Pakistan zimeahidi kuendelea kushirikiana kuimarisha zaidi sekta za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Ahadi hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Asia na...
0 Reactions
1 Replies
366 Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe.Selemani Kakoso (Mb) imewasili wilayani Itigi Mkoani Singida na kupokelewa na Waziri wa Ujenzi, Innocent...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Back
Top Bottom