Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
"Mikoa ya Kaskazini iliendelezwa kwa juhudi ya Wanakaskazini" Huo ni Ukweli unaoleta furaha kwa Wanakaskazini na Maumivu kwa wana mikoa mingine. Nitaelezea kwa Ushahidi ulio wazi kabisaaa...
76 Reactions
498 Replies
47K Views
Wakuu kwema, nyuki wa mama mpo? Kama ukipewa nafasi ya kumuondoa Waziri mmoja kwenye nafasi yake kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake, na Waziri huyu asiweze kurudi tena kwenye nafasi nyingine...
3 Reactions
75 Replies
3K Views
Wakati wa Prof Muhongo,wakipigia upatu mradi wa gesi ya mtwara,akisaidiwa na wanasiasa wa vyama vyote mfano akina Zitto,waliahidi kuwa huu mradi ukianza hakutakuwa na mgawo wa umeme tena. Na...
6 Reactions
16 Replies
778 Views
Mwamba ni wa kitambo, Ameshuhudia mengi, kabla hajawa raisi na hata baada, na hata baada ya kukiachia kiti Mwamba inasemekana alipendekezwa kitambo sana na wenye akili aje aliongoze hili taifa...
11 Reactions
39 Replies
2K Views
1. Rais Jakaya Kikwete. 2. Dkt. Mohammed Gharib Bilal. 3. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein. 4. Philip Mangula. 6. Balozi Seif Ali Iddi. 7. Mizengo Pinda. 8. Abdulrahman Kinana. 9...
7 Reactions
45 Replies
14K Views
Hii wiki Nyota ya Chadema imeng'aa sana kwani kila kikwazo kilichoibuka mbele yao Walikiruka Tulitangaziwa Tundu Lisu angehojiwa Star tv lakini hatukumuona na badala yake Mjumbe wa CCM ndio...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Kauli ya Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu (CWT), Mwalimu Japhet Maganga wakati akizungumza na Wanahabari ofisini kwake Mkoani Dodoma, amesema “Kuna mbinu chafu zinapangwa kunidhalilisha nionekane...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Hongera kwa kuzindua sanamu la baba wa taifa🙏🙏
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Huyu Mama kuliko nimpigie kura heri nimpigie kura mwingine iharibike, Tumekuwa na Rais mwongo na mawaziri waongo waongo. Kwanza mama hakai nchini kama alivyokuwaga Kikwete tu,hawa watu wa Pwani...
21 Reactions
51 Replies
2K Views
Wanabodi, Naangalia TBC Live, Rais Jakaya Kikwete yuko hewani! Miongoni wa mazuri ya JK, ni having a good sense of humour, akiongea, huchoki kumsikiliza!. Alipokuwa akiongelea kilimo cha ndizi...
28 Reactions
473 Replies
52K Views
Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema. Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani...
29 Reactions
109 Replies
8K Views
CHALINZE YAONGOZA UKUSANYAJI MAPATO NCHINI. YATIA FORA PIA UPELEKAJI WA FEDHA NYINGI ZA MIRADI YA MAENDELEO. Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani inayoongozwa na Mbunge Mhe. Ridhiwani...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani yenye Mbunge wake Ridhiwani Kikwete, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, leo Ijumaa Novemba 24, 2023 imetunukiwa hati ya pongezi...
1 Reactions
1 Replies
489 Views
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia...
14 Reactions
81 Replies
8K Views
1. Lema na Usaliti ni vitu viwili tofauti 2. Namuona Dalali hapo kama kuna pesa hata Lema anaweza kuwa takataka kumzidi bashite 2. Namuona Dalali hapo mtu wa kujikomba komba akidhihilisha kuwa...
2 Reactions
7 Replies
624 Views
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema mifumo mipya mitatu iliyobuniwa na kufungwa kwenye utumishi wa umma itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupima utendaji...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Tunapokuwa na viongozi imara kama taifa tunakuwa na uwezekano mkubwa wa kuendelea. Moja ya kiashiria cha uongozi bora ni uwezo wa kutuunganisha tunapotofautiana. Je, viongozi wetu wa kitaifa...
0 Reactions
7 Replies
556 Views
Yaliyotokea leo hatuwezi kuyarudia kuyaandika hapa , bali ni dhahiri kwamba CCM na serikali yake inamuogopa mno Freeman Mbowe ( Tunaishukuru JF na wadau wake ) , Waliosabanisha Mbowe apewe...
16 Reactions
48 Replies
3K Views
Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC...
11 Reactions
36 Replies
3K Views
Sikubaliani kabisa na huyu ndugu yangu mbowe na kwa upande wangu anakosa sifa hata za kuwa mgombea wa JMT kupitia chadema. Mimi ni mwana CCM by birth , ila hotuba ya Mbowe leo, CCM wenzangu...
16 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom