Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Watu kama Adolf, JPM, Putin, Cuba na China huwa hawaamini katika democracy hasa linapokuja suala la kuongoza mamilioni. Ni lazima only selected people the elite ndio wawe na sauti. SIMAI ...
15 Reactions
83 Replies
5K Views
Iliichukua TANU chini ya miaka kumi kupata uhuru wa Tanganyika, lakini sasa ni zaidi ya miaka hamsini Tanganyika inapambana kutoka katika shimo lililowekwa na watawala weusi bila mafanikio...
14 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari wana jamvi? Kwa miezi kadha naona kada wa Ccm aliyekuaga mwanachama wa Chadem Benson Mramba akinukuu na kuandika mambo ya ajabu ajabu sana sasa leo nimeona niwape nini kilichofanya...
24 Reactions
159 Replies
15K Views
Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa CHADEMA Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice. Juzi pale Star TV...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa mama Samia Suluhu Hasssan kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Nilimsikia Fred Lowassa katika salaam zake za rambirambi pale Karimjee Hall, akitoa shukurani zake za dhati Kwa Rais Samia Kwa matibabu ya Baba yake, Hayati Edward Lowassa na kwenda mbali zaidi...
5 Reactions
14 Replies
886 Views
Wakuu wa nchi za Africa wamekutana nchi Ethiopia ambayo ni makao makuu ya Umoja wa Africa huku agenda zao kuu ni pamoja na masula ya usalama, elimu, uchumi, nk. Nauliza je tuwaamini kwamba...
2 Reactions
2 Replies
229 Views
Salaam wanaforums! Moja kwa moja kwenye maada,mwezi wa tisa mwaka 2023 nilipatwa na tukio ambalo halijawah kunitokea na nnahisi halitofutika maishani mwangu.Kwanza kabisa mimi ni mjasiriamali...
2 Reactions
10 Replies
541 Views
Naweza kusema Lowassa amekuwa overrated sana ndani ya CCM na nchi kwa ujumla. Nguvu za Lowassa ndani ya CCM zimetiwa chumvi nyingi sana. Haikuwa nguvu ya Lowassa iliyomfanya Kikwete mgombea wa...
2 Reactions
11 Replies
939 Views
Nimesoma Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Lema huko X ukurasani Kwake akidai Waliotuambia Lowassa ni Fisadi jana walikaa Viti vya mbele msibani Wakijifanya kulia na kumtolea Matamko mazuri...
11 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania? Sukari kilo 5,500 Nyama kilo 10,000 Mchele kilo 4,000 Unga kilo 2,800 Petroli lita 3,300...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa data kutoka BoT kama zilivyonukuliwa na jarida la The Chanzo zinabainisha kwamba Tanzania ilitumia takribani Shilingi Trilioni 2 Kwa mwaka 2023 sawa na Dola mil.800 kuagizia bidhaa 3...
9 Reactions
58 Replies
3K Views
Maandamano makubwa yaliyo fanyika Jana toka pande tofauti za jiji la Mwanza yamehitimisha dhana kuwa Ziara ya mwenezi wa CCM Makonda kanda ya ziwa iliyokuwa ina tafsiriwa ni kifo cha siasa za...
14 Reactions
48 Replies
4K Views
Wakuu habari, Tunawaletea kinachojiri kwenye Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Fuatana nasi... Karibuni sana. ================== Updates: 1. Sasa mchakato unaanza rasmi, Wajumbe kamati...
82 Reactions
6K Replies
843K Views
Hakika kwanza nianze na POLE nyingi sana kwa Familia ya Hayati Edward Lowassa,Rais Samia Ccm na CHADEMA. Hayati Edward Lowassa alikuwa Mwanachama wa Ccm mpaka pale Chama chake kilipomkata jina kwa...
1 Reactions
2 Replies
364 Views
Vijana wa CCM wakimvika skafu Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete muda mfupi baada ya kuwasili mjini Dodoma kongoza kukao cha Halmashauri kuu ya CCM taifa. Halmashauri Kuu ya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Mhe. Bashe SUKARI iko wapi wananchi tunateseka. Mhe. Biteko UMEME uko wapi wananchi tunateseka. Mhe. Ummy MADAWA yako wapi wananchi tunateseka hata ukiwa na Bima. Wananchi tunawaamini lakini...
1 Reactions
1 Replies
248 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna jambo ambalo Mwenyezi Mungu kaliweka ndani ya Dkt. Tulia Acksoni Mwansasu, Dada wa Taifa, Msomi Nguli wa Sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini, Spika wa Bunge...
5 Reactions
66 Replies
3K Views
Kuna yule mbunge wa Chato nadhani mhe Medard Kalemani ni kosa gani kubwa ambalo Kalemani alifanya hadi kutorewa nishati? Alikuwa mchapakazi, hakuwa mswahili hata kidogo alikuwa hapendi uzembe...
0 Reactions
7 Replies
734 Views
Kweri huyu alikua shujaa hii clip ya Magufuri akiuliza ishu ya umeme imenifanya nilie Wapendwa hapa nalia muda huu Tanzania haitokuja kupata shujaa kama huyu Huyu baba alikua anajua shida za...
6 Reactions
6 Replies
748 Views
Back
Top Bottom