Rais wangu bila kupepesa macho wala kuona haya wewe ndo chanzo cha matatizo ya umeme nchini yote haya yana baraka zako na chanzo ni wewe
Mama aliingia akakuta shirika la TANESCO na umeme ulikua...
Ndio Taarifa zilizopo hapa Arusha Mjini ambapo safari ya Viongozi hao wakuu wanaotokea Mwanza inaratibiwa
Chadema Arusha wamewashukuru Wana Mwanza kwa kumuenzi Lowassa kwa nyomi ya kihistoria...
Katiba inasema chama chochote kikifikisha asilimia 5 ya kura za Wabunge kwenye uchaguzi mkuu lazima kiteue wabunge wa Viti Maalum.
Katiba haisemi kwamba uchaguzi mpaka ukiwa huru na haki ndiyo...
Habari.
Mwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa CHADEMA Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumdhuru Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye...
Sisi wapenzi wa umoja wa nchi yetu ya Tanzania tunasikitishwa sana na tabia ya CHADEMA kujitenga tenga.
Mbowe, Lissu, Lema, Mdee kwanini huwa mnajitenga kwenye masuala ya kitaifa? Kwenye Corona...
Nchi yetu ina matatizo ya aina 2
1. Matatizo ya kimfumo ambayo haya chanzo kikuu ni Katiba
2. Matatizo ya kiasili ambayo haya msingi wake ni Ujinga na mada hii ni pana sana.
Ili tuweze kupambana...
Umofia kwenu
Tatizo kubwa la Afrika lilianzia pale wale waliopigania UHURU wa nchi hizi kujipa nafasi ya utakatifu na kuamua kujimilikisha nchi wao, jamaa zao na vizazi vyao.
Uhuru wa nchi za...
Yaani nashangaa umeme bado ni kero kubwa sana kwetu sisi wananchi wa Tanzania.
Tuliaminishwa kwamba kijana huyu mheshimiwa Waziri Biteko akiingia mgawo wa umeme utakuwa historia lakini mpaka muda...
Ni dhahiri CCM inajitambulisha zaidi kwa uovu kuliko wema, hekima na utu.
Wanaoitwa wabunge wa CCM, asilimia 75, hawakuchaguliwa na wajumbe kwenye kura za maoni. Walitokea wapi, hakuna ajuaye...
Kwa miezi hii kadhaa niliyokaa nchini baada ya kuishi miaka ya ujana wangu takribani yote nje ya bara la Afrika, nimegundua kuwa waafrika ni watu wavumilivu sana. Hali hii sikuiona mahali pengine...
Heshima sana wanajamvi,
Nimefuatilia mienendo ya msiba wa Mzee Lowassa kwa kiasi fulani na kubaini yafuatayo.
Mosi, watawala baada ya kugundua wameshindwa kuwapatia wananchi umeme wa uhakika...
Kwa hali irivyo kwa sasa naona tuje na maandamano ya umeme na maji kwa hapa Daslam
Tuna miezi miwili hatuna huduma ya maji umeme hatuuoni masaa mengi
Mpaka unajiuriza kwani karemani arifanya...
Ili kunusuru Fedha za Wananchi kwa ajili ya Uchaguzi wa Madiwani wa Kata 23 ambao TUME ya UCHAGUZI imeutangaza naiomba TUME ya UCHAGUZI ifanye UTEUZI tu Kama Ilivyowateua Wabunge wa VITI MAALUM 19...
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star TV Aloyce Nyanda wiki iliyopita, usiku huu saa tatu na nusu kwenye kipindi anachokiendesha kiitwacho Agenda, atafanya mahojiono na Tundu Lissu.
Iwapo hakutakuwa...
Najaribu kutafakari mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, kisiasa na tume ya uchaguzi dhidi ya uchaguzi huru na haki, Najaribu kuoanisha na nguvu kubwa ya umma iliyo nyuma ya CHADEMA, Nazingatia pia...
Niseme kiukweli tupo kwenye majonzi mazito, misiba mbalimbali imetokea. lakini licha ya hayo bado kero ya umeme imezidi kushamiri na mfano mzuri nitukio la kukatika umeme pale karemjee wakati...
Mtoto wa Nyerere aunga mkono maandamano nchi nzima
Andrew Nyerere mwanachama wa CCM akizungumza katika mkutano wa ndani wa CHADEMA , amkosoa makamu mwenyekiti wa CCM- Bara komredi Abdulrahman...
January 2024
TATHMINI YA ZIGO ZITO ALILOTWISHWA MUENEZI PAUL MAKONDA KURUDISHA IMANI KWA RAIA
Ziara ndefu ya Paul Makonda ambaye ni katibu uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM imeibua na kuweka...
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda ni bonge la kiongozi.
Nimegundua hilo kupitia ziara zake...
BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.