Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimeona tangazo kwenye magazeti ya Mtanzania, Dimba, na Rai kuwa waziri mkuu wa kenya Raila Odinga anategemewa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi mpya wa magazeti ya fisadi Rostam Aziz Odinga...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Hivi wananchi waliomwomba kikwete awapeleke mafisadi ku-face justice au kujiuzuru? Kuna kitu kikwete ana-miss hapa na hizi tactics za danganya toto ndio zinafanikiwa only kwa wajinga. The major...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kujua tuu hawa TBL hii ni coincidence au ina maana na wao wapo kwenye vita dhidi ya mafanikio ya JK? Maana kwenye kampeni yao ya miaka 50 ya uhuru wameonyesha tulipotoka, tulipopitia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sioni kabisa kinachozuia Tanzania kufanana na Somalia. Kila indication zinaonekana kabisa kwamba tupo katika hali ya kuitwa 'failed state'Sasa hivi tuna viongozi wasiochaguliwa na wananchi na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuelekea kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Taifa letu. Tuwaenzi na kuwapa heshima za dhati Viongozi mashujaa wa Taifa letu. Tuwataje kwa MAJINA na kwa MICHANGO yao mbalimbali, mashujaa wa Taifa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Si siku nyingi zilizopita tumeona jinsi watu wananzia wanaopigwa na mgao wa umeme au unaweza kukuta hata nyumba zao hazijaunganishiwa umeme wakizimia na kulia siku ambayo RA aliachia ngazi kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellow waungwana hebu tujaribu kuwaza na kuwazua hoja zinavyoendeshwa bungeni. Utamsikia mweshimiwa mbunge anapopewa nafasi ya kuchangia hoja ananza na kusema mimi naunga mkono hoja asilimia mia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HOTUBA YA NGELEJA Katika hotuba yake, Ngeleja alisema mradi wa MW 100 wa Dar es Salaam utakamilika Desemba, mwaka huu, lakini utaanza kuzalisha umeme miezi 18 ambapo serikali itakuwa inajenga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tuko pamoja lakini mmoja anakanyaga mikono ya wengine.
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Nawapa hongera sana Wabunge wa CCM chini ya kamanda wao Spika Makinda. Mshikamano wanaouonesha hivi sasa ndio unaotakiwa kwani unaondoa kabisa matumaini ya Watanzania kuwa anaweza akatokea...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu mzee anaonyesha huko magamba yuko kwa bahati mbaya maana ameongea kwa uchungu sana juu ya Meremereta na amesema hataunga mkono hata kidogo hoja ya Ngereja. Eti jeshi wameona wamemaliza madini...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Kumbe Mawaziri wetu ni wakarimu kiasi hiki! Jana Mbunge Machachari Mh.Anne Kilango,Akichangia hoja ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Sauti ya Msisitizo na Kiapo kikali alisema katu hataunga mkono...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wazazi ya Sangu ilyoko Mbeya wamelalamikia CCM kuwalazimisha kushiriki kwenye maandamano yao yatakayofanyika leo huko Mbeya. Chanzo: Nipashe. CCM nawashauri...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
wana jf huko mbeya tumepata taarifa ya diwani wa chadema kujiuzulu, tunajua jimbo la mbeya limeshikiliwa na chadema, tunaombeni taarifa tatizo kubwa lililopelekea huyo jamaa kuachia ngazi, au...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Taarifa za ndani, zinapasha kwamba katika harakati za uchaguzi wa Rais za mwaka 2005, Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA iwapo NEC ya CCM isingempitisha kugombea Urais. Na inasemekana kwamba...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Ktk hali ambayo siielewi ktk suala la siasa hasa ktk jiji la Arusha, leo majira ya kuanzia saa 8:30 asubuhi limepita gari la matangazo almaharufu RAHA PROMOTION la jamaa mmoja anaejulikana kwa...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu aliulizwa ni lini Mh Sitta ataondoka kwenye nyumba ya Spika huko Masaki maana sio Spika tena. Kwa maelezo ya mbunge aliyeuliza swali ni...
2 Reactions
73 Replies
7K Views
nilivutiwa sana na mjadala bungeni jana, ni dhahiri baadhi ya wabunge walionyesha hisia kali kutokana na serikali kutokuwa na maamuzi muafaka juu ya mgao wa umeme na matatizo mengine kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
By In2EastAfrica - Sat Jul 16, 12:26 pm Industry, Trade and Marketing deputy minister Lazaro Nyalandu Kawe legislator Halima Mdee (Chadema) has said that a foreign company, Al Ghurair...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Ndugu zangu, Jana nilipokea barua kutoka kwa Mtanzania anayeishi Ujerumani. Barua hii imenigusa sana. Imechapwa kwa ujumla kwenye http://mjengwa.blogspot.com . Nitaweka hapa mwanzo tu wa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom