Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
No explosive change, please, this is Tanzania, bwana Elsie Eyakuze is an independent consultant and blogger for The Mikocheni Report. After Tanesco subjected...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Tabia ya uropokaji aliyo nayo Nape ni sawa CCM wameruka jivu na kukanyaga moto. Afadhali ya mzee makamba kadiri ya mizani yangu, Kuna mambo kadhaa ambayo CCM inatakiwa kuwa macho sana kutokana na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nape amesema kwamba kilichotokea mpaka chama kikapoteza mwelekeo ni sawa na wauza duka waliotumwa ambao waliamua kujipangia bei zao wao wenyewe. “Tuliona wauza duka waliotumwa na mwenye mali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sudan's parliament passed a law on Wednesday cancelling the Sudanese nationality of southerners, four days after their homeland declared independence from the north, state media reported. "All...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MAKALA yenye kichwa cha habari “Kikwete sasa awa mzigo kwa CCM” iliyochapishwa katika gazeti hili wiki mbili zilizopita, imeibua mengi ikiwamo maudhi na furaha. Maudhi na furaha nilizozipata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku za karibuni nimekuwa nikimsikia sita akijigamba na Kauli za Uadilifu wa viongozi na Kuponda wenzake kama si waadilifu na Hata kwenda kwa kuwaita Wapinzani ni Wanafiki kwa kupinga posho za...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Source: Mh 6 Mbeya - Mwananchi. Mheshimiwa Sita akihutubia wakazi wa Mbeya katika mkutano wa kukisafisha chama na kujibu hoja mbalimbali za wapinzani. “Hivi karibuni kuna wenzetu walisafirisha...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ningumu sana kuelewa lakini inabidi kwani Tanzania ni yetu.Nchi haina Meli,haina Ndege,Haina Basi,Haina Taxi,Haina hata Hospitali ama Shule yenye 100% bila ufadhili.Sasa kuna aja gani ya kuitwa...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Ndugu wanajukwaa, Nimeshtushwa na taarifa iliyochapwa na gazeti la Dira la leo juu ya waziri kijana wa serikali ya CCM kuwa ana uraia wa Marekani na mpaka nakwenda mitamboni hapa...
0 Reactions
105 Replies
14K Views
JF naomba tujadiliana hii mada. Binafsi napata shida kidogo kukubalina na kauli hiyo. Naomba tuwe objective tuangalie swala hili qualitatively siyo kujadili siasa za jumla ya kilomita za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkutano wa CCM uliofanyika mbeya umeonesha dhahiri kuwa sasa chama hiki cha magamba kimekosa muelekeo. Ninazo sababu za kusemahivyo, i. Kitendo cha makada wa CCM kusimama jukwaani na kuanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wako katika kipindi cha HAMZA KASSONGO HOUR sasa wakijadili kuhusu bunge na wabunge, very interesting
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mjadala wa Kipimajoto ITV, Mchangiaji anasema kwa mujibu wa katiba iliyopo, kila mkataba wa Jamhuri ya Muungano lazima upitishwe na Bunge, Sasa hii mikataba ya siri inatoka wapi?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
MPs push for emergency plan out of power crisis Friday, 15 July 2011 22:24 By The Citizen team Dodoma. MPs yesterday stepped up the pressure on the government to adopt an inclusive...
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Gazeti la leo,14 july 2009,linaripoti kwamba,Wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri,vijiji na Jiji la Tanga wanataka JKT irejeshwe kama ilivyokuwa zamani,yaani,nguvu kazi,Serikali iwakamate...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
MBUNGE wa Tarime, Nyambari Nyangwine, amesema kama mwekezaji katika mgodi wa dhahabu wa North Mara hatawalipa wananchi fidia halali ya ardhi waliyoichukua na kuwajengea nyumba za kifahari...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni jambo la kusikitisha kuona kuwa sasa ni takribani mwaka wa sita tangu kikwete alipochukua madaraka ya kuongoza nchi hii lakini tatizo la umeme bado halijapatiwa ufumbuzi. Kinachosikitisha zaidi...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
kama kuna mtu yuko mbeya naomba atujuze kinachondelea kwenye maandamano na mkutano wa CCM. tupia hapa habari tujadili bandugu.
0 Reactions
256 Replies
23K Views
Napenda kutoa ufafanuzi wa mambo hapa ili kia Wilium Marecela na wenzake watuelewe sisi watanzania wazalendo. 1. Tumechoshwa sana na matatizo ambayo hayaishi kila kukicha, mfano issue ya mgawo wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niwape wadau wa JF kwa kazi nzuri mnayoielimisha jamii kupitia mtandao huu, salute kwenu. Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa CCM toka wameanzisha operesheni hii vua gamba, ukiafuatilia kwa makini...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom