Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
najaribu kutazama jinsi CCM a.k.a chama cha magamba kinavyoendelea kumomonyoka je,ni dallili za kuendelea kuwa hai au kuendelea kuwa hoi kisera?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
2015 1)Samwel Sitta 2)Anna Malechela 3)Ole Sendeka 4)Shibuda(NAAMINI MOYO WAKE NI CCM BADO) 5)Dk Harrson Mwakyembe . Kwani tofauti kabisa walivyokuwa katika Utawala wa Mh Sitta. Walikuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habar nilizo nazo katika mkutano WA Kesho mjini MBEYA vuvuzela WA CCM Nape Nnauye atakuwepo pia. Mhhh hii timu ya Nape,Sita, Mwakyembe,Olesendeka,Mama Kilango nasikia na Nyalando imekaaje?kilikoni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nakumbuka maraisi waliomtangulia Jakaya Kikwete waliacha wosia au ndio tuiite ni laana! Mwalimu alicha wosia mwingi sana kwa taifa hili hata kwenye Tape zinazouzwa mitaani ni tosha kabisa kuamini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu! Salaam. Nimeona niwawekee hotuba ya John Mnyika atakayoisoma dakika chache kuanzia sasa ili muipitie na kuijadili. Niwatakie majadaliano mema, narudi kuendelea na kikao cha Bunge.. HOTUBA...
8 Reactions
30 Replies
5K Views
Wana wane, ninajaribu kujiuliza iwapo NAPE na CHILIGATI watakwenda jimboni Monduli na Igunga kuelezea falsafa ya kujivua gamba kitu gani kitatokea?? JARIBU KUTAFAKARI
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Written by Hassan10 // 15/07/2011 // Habari // No comments NA HII NDIO TANGANYIKA KABLA YA MUUNGANO, KIPI WALICHO LOOSE? KATIBA,BENDERA AU NEMBO YA TAIFA LA TANGANYIKA?"] HII NDIO TANZANIA YA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni ile inayohusu kutangazwa kwa mgao wa umeme kama Janga la Taifa! Mh Mnyika alitoa hoja hiyo wakati akisoma Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na kudai kwamba Bunge lisipopitisha Azimio...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika kipindi cha maswali na majibu kwa waziri Mkuu leo bungeni, Mbowe alisema viongozi wa upinzani wanajitahidi sana kuzuia watu kufanya maandamano kwa ajili ya umeme. Kuna ukweli jamani...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwa waliosikia mwanzoni clouds fm jana ingawa nilichelewa kidogonikakuta tu mh mmoja wa uvccm kkwa wakati huo alishajitaja jina akihojiwa na kuelezea baada ya rostamnani anafwata..kijana huyu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeshangazwa sana na kauli ya naibu spika bwana Job Ndugai wakati wa kufunga bunge mchana tarehe 15/7/2011kutangaza kuwa kwa kuwa mtoa hoja wa kambi ya upinzani alipomaliza kutoa hoja hakuuliza...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadanganyika tumeyaona yaliyotokea Igunga wazee wetu, wamekuwa mstari wa mbele kupinga kujiuzuru kwa Mh Mbunge wao, wananchi wetu wamekuwa wakitumiwa na wanasiasa kama madaraja huku, wakiachwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwigulu Mnchemba leo bungeni kauliza swali la nyongeza zuri saaana kuliko alivyokuwa anoamba miongozo ya ovyo ovyo kwa spika siku za nyuma. Kauliza hivi; Kwanini serikali isichukue hatua za...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
With or without ndiyooooo za maCCM na Spika/Naibu Spika wao CHADEMA tunataka maandamano nchi nzima, vinginevyo tutaamini na nchi hamna dhamira ya kweli ya kukomesha huu usanii wa kuuziwa giza...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Ndugu zangu, Habari kubwa imetufikia; Rostam Aziz kaachia ngazi CCM. Ni habari kubwa. Wengine wanasema, kuwa Rostam amejivua gamba. Kuna wanaodai, kuwa ni CCM ndio iliyojivua gamba. Ni...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mbunge mmoja alitaka kujua kwanini serikali haibadilishi sheria na taratibu zake ili kuwezesha ununuzi wa mitambo ya kuazlisha umeme ambayo imeshatumika ili iweze kuingia nchini kwa haraka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hili ni swali lililojitokeza indirectly katika kipindi cha majadiliano cha Star TV™ –Tuongee Asubuhi – kuhusiana na mustakabali wa pesa za Rada kurudi Tanzania. Lengo la Star TV™ lilikuwa ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nampenda sana Mbunge kijana, machachari na mahiri, Zito Kabwe. Lakini katika wazo la kusema kuwa Tanzania ivunje uhusiano na mataifa yanayoishambulia Libya ambalo Kabwe amelitoa leo Bungeni...
1 Reactions
89 Replies
7K Views
Ndugu, Watanzania wenzangu, binafsi nawakubali sana watu wa zamani, kwa sababu kila walilolifanya wakati huo lilikuwa na maana kubwa wakati huo na hata baada ya muda mrefu. Hivyo ni jambo zuri...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika wall page yake ya facebook Dr Slaa kaandika. Tunaweza kuiweka Igunga kuwa ngome ya Chadema. Wana Tabora watuunge mkono katika mageuzi ya kweli.
5 Reactions
91 Replies
9K Views
Back
Top Bottom