Poleni ndg zangu kwa kero ya umeme,ama kwel watanzania tunavumilia mengi,watanzania wengi hatupendi kujua mambo au hata kama tunajua basi tunapenda kujua kwa juu juu tuu ili hali...
Nimezunguka jana na leo karibu kila nilipotembelea nimesikiliza watu katika makundi kwa furaha au huzuni wakizungumza kuhusu dhana ya kujivua gamba kwa wanachama na viongozi wa CCM. Katika hili...
Nimemsikia Ndugu Shamhuna akilieleza Baraza la Wawakilishi Zanzibar , kuwa suala la mafuta ni la uchumi wa zanzibar na halina uhusiano na muungano.
Kwa hiyo litatolewa katika shughuli za muungano...
Tanzania tumepata pigo baada ya kiwanda cha san flag cha mjini Arusha kuamua kupunguza wafanyakazi 3,000, hii ni baada ya kuwa wanapata umeme saa 6 kwa siku huku wao wakidai mitambo yao huanza...
Hizi ni tetesi,...
kwamba shibuda anaweza kujiuzuru ubunge na kuipondea chadema
kwa sana ili apate nguvu za kurudia ccm tofauti na pale atakapo
ondoka chadema kwa kufukuzwa,...
Its time,either...
Ndugu waziri wa Ulinzi, (na serikali kwa ujumla) tafakari zaidi kabla ya utekelezaji wa Mujibu wa sheria JKT. Kutokana na hali ya uchumi ulivyo, itakuwa vigumu kuwalea watoto wetu huko jeshini...
This is happening in 2011:-
Greece Cannot Be Saved: If Italy and Spain Follow, So Goes the Entire EU
"If a reconstruction plan does not come soon, Europe's leaders will be charged with 'the...
Wanazi wa chadema napenda kujuwa mmefikia wapi kuhusu:
1) Muafaka wa Arusha na wakili wenu bwana Marando uchunguzi wake umefikia wapi? au maji ya shingo? maana nilisikia Maalim Seif katika...
Waandishi mara nyingi wamekua ving'ang'anizi na maswali uchwara kwa lengo la kusimamia upande fulani wenye maslahi na serikari.
Kimsingi bunge ni kwa ajili ya kutatua matatizo makuu ya wananchi...
kwa mara ya kwanza nimeipoteza kura yangu Kumpa Bulj. Mbunge wa Mafia. kwani baada ya kutumia Umri wa kupiga kura na kuamua kumigia mbunge huyu, sasa najuta, na nalitangaza Jimbo letu kuwa Lipo...
Siafiki michango mingi iliyotolewa hapa JF baada ya rostam kuamua kujiuzuru ubunge wa lgunga..nadhani ni vyema watu wengine wasaidie watu wa lgunga kwanzakubaini na kuainisha ajenda za maendeleo...
Leo asubuhi Mh. Zitto kamchachafya kidogo spika wa bunge
Zitto: Mh. Spika kuna kiti kiko wazi kwa maana kwamba mwenzetu mmoja ameamua kubwaga manyanga kwa taarifa tulizonazo. Sasa tungependa...
Nilikuwa nafuatilia Bunge na nikakuta sehemu ambayo walikuwa wanazungumzia suala la Bima za Wabunge - wakijadili kauli ya Kafulila kuwa Wabunge ni "privileged class" kuwa wanapata huduma ya afya...
Nnamaliza Likizo yenu lini?
Sina mashaka wala hofu juu ya Likizo hii ndefu ya serikali ambayo inadhihirishwa na uwajibikaji hewa na mipango muflisi inayokinzana na utashi wa wananchi walio...
Ndugu zangu mafisadi ni wakati wa kujeukia Mungu kwani uovu wenu umekidhiri na umemfikia Mungu mwenyewe na malipo ya uovu wenu ni hapa hapa Duniani angalia mnafedha nyingi wala hamna amani nyie na...
Nimekuwa nasikia kuna Mikoa mipya Tanzania bara yaani Njoluma,Katavi na Geita sijui Simiwi ni upi!!Ila sasa nashangaa haipo kiutendaji bali kisiasa zaidi.Hakuna ofisi wala...
Hatimaye, yale yeliyosemwa sana, bila kujua mwisho wake, sasa yamefika. Mheshimiwa Aziz ametangaza rasmi kujiuzulu nafsi zake zote za kisiasa na kubaki kama mwana CCM wa kawaida!
Probably it was...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.