Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
‘’CCM ‘’ A Purposefully Scavenger Huwezi kuamini katikati ya Harakati za Wabunge wa Upinzani kuendeleza jitihada za kuikaba koo serikali. Ghafla CCM inachomoa turufu yake tata kufumba macho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimefuatilia sana mambo yanavyoendelea Tanzania na chama tawala cha CCM na nimegundua bado CCM haijagunduatatizo la Tanzania ni nini hasa. Watanzania wanataka maaendeleo to CCM kama ikiamua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hebu niwaulizeni enyi wana Siasa, wasimamizi wa fedha (finance management specialists), wadau wa kodi na walaji - Hivi inatia akili kweli kusikia Serikali ikitangaza mabadiliko, kama ya punguzo...
0 Reactions
2 Replies
780 Views
HI ALL! leo mimi sina mengi ila lawama za kutosha kwa chama changu cha CHADEMA... chama chetu kina vichwa vya kutosha na ni kweli kazi inafanyika... shida ni kwamba idara yake ya uenezi HATA...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wenyeji wa mikoa ya kati hata ile ambayo uwindaji ni moja ya shughuli zao. Wanamsemo usemao,"Ukirusha Mshale Usiku Mawindoni,ukisikia chwiiii!" Jua umempata mnyama uliyemlenga. Hali hii ni dhahiri...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Inakuaje wenzetu wanapeta huku sisi tuna bakuli kubwa kuliko wao? Je letu lina matobo? http://www.greeneconomyinitiative.com/news/181/ARTICLE/1487/2009-05-16.html Kenya Gets US$405 Million...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Chama Chahitaji Mapinduzi. Sote tunajua kinachojiita “Chama cha Mapinduzi” hakijawahi kufanya mapinduzi yoyote. Neno mapinduzi kwa kadiri ninavyoelewa linaashiria “mabadiliko ya haraka ya...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama mdau nimefuatilia kwa makini mjadala wa bajeti ya Wizara ya Afya tangu iwasilishwe na Waziri. Nimeguswa na mchango wa mh Hamisi wakati anajibu hoja ya 'msingi' ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mh...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa tafsiri yangu binafsi kijana ni yule aliye na chini ya umri wa miaka 55.......................hivyo mawaziri vijana wenye kuangukia umri huo ninawagusa kwenye mada...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia presidential hopefulls wanaotajwa tajwa kupitia CCM KWA UCHAGUZI WA 2015 Baadh yao ni: E.LOWASSA S.SITTA MH.F.SUMAYE PROF. M.MWANDOSYSA B.MEMBE DR.ASHA-ROSE MIGIRO...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani kwanini Africa in particular Tanzania viongozi wanaingia madarakani na jamaa yake yote na marafiki? Je taifa hili na bara hili litaendelea kweli? kwani kiongozi akiweka wananchi wenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hajibu maswali kama mtu professional nahisi amegeuka na kuwa fake zaidi sio kama ninavyomjua
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilikuwa nikitazama bunge la Uingereza juzi na jana kufuatia sakata la Mzee Rupert Murdoch na uvujaji wa siri za serikali na viongozi wa Uingereza. Nikafananisha bunge hilo na kuona kwamba MKAO...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Akizungumza katika mahojiano na Radio Safari ya mjini Mtwara hivi karibuni Nape amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete ndiyo pekee katika nchi hii iliyokwisha kutoa maamuzi magumu kuliko serikali...
1 Reactions
93 Replies
8K Views
KILA SIKU UKIFUNGULIA REDIO Unachosikia kutoka kwa wabunge hasa wa ccm akiwemo kiongozi wao Job ndugai ni namna ya kujinufaisha wao kupitia posho na bima za afya kwa wao wabunge sasa unajiuliza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KAKA yangu Shibuda, John Shibuda, umenishangaza. Umenishangaza na kunikatisha tamaa kwa kuwa wewe ni kiongozi na mwanasiasa ninayekubali siasa zako ingawa imani yangu kwako inaporomoka kwa kasi ya...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani inasikitisha sana Kuundwa kamati ya umeme kukatika uwanja wa taifa na samahani kuombwa,ila sijasikia Tanesco wala wahusika wakiomba samahani kwa watanzia ambao umeme kwao imekuwa ni ndoto...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mambo ambayo lazima yawekwe wazi ili kutofautisha kati siasa ,uongozi, uwakilishi.hii ni kwasababu siku zote siasa haziwezi kuongoza uchumi wala sayansi,kwani siasa ni utaratibu wa mfumo...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
  • Closed
Imetokea asubuhi hii pale kwenye Supu kwa Bonge, Kinondoni, jamaa wamezichapa kavukavu, kisa eti jamaa kamwambia mwenzie kwamba kwa upeo wake wa akili hana tofauti na Mbunge wa CCM. Jamaa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Tuesday, 12 July 2011 22:01 0diggsdigg WABUNGE WATAHARUKI, WASEMA BILA MPANGO Leon Bahati na Habel Chidawali, Dodoma MBUNGE wa Kigoma Kusini, Davidi Kafulila (NCCR-Mageuzi), amezua balaa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom