Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Bajeti ya Shamuhuna yapitishwa kwa ‘mbinde’ Send to a friend Tuesday, 12 July 2011 21:49 Salma Said, Zanzibar WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wamepitisha kwa tabu bajeti ya Wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Naombeni mnisaidie sijawahi Mtanzania kuona mwenye asili ya uhindi au uarabu, polisi au mwanajeshi, je hawaruhusiwi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia Bwana Nape ambaye kwa nia ya dhati ulimkabidhi madaraka ya ukuu wa Wilaya ya Masasi ambayo ni madaraka ya kiserikali akizunguuka nchi nzima kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF,habari zenu! Kwa uchache ninapenda kuchokoza mjadala kuhusu upatikanaji wa huduma bora za afya vijijini,ambako zaidi ya 80% waTanzania wanaishi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
'Wanashirikiana na baadhi ya vyombo vya habari' KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (NEC), Nape Nnauye, amefichua mkakati mzito wa kumchafua, unaodaiwa kufanywa na wapinzani wake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakubwa vipi utekelezaji wa maazimio ya CCM ya kuwapa miezi 3 mafisadi walioko ndani kujiondoa ? nakumbuka mwisho ilikuwa julai 10,mwaka huu sijui nani kajiondoa ? au wameongeza muda
0 Reactions
2 Replies
899 Views
KUNA wanaodhani eti kuna kasoro na udhaifu mkubwa bungeni hivi leo. Siamini hivyo. Hili ninadhani linatokana na yale mazoea ya kuwa na bunge ambalo lilikuwa legelege na linalolala na kuuunga mkono...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nchi yetu imefanikiwa kupata maraisi wa nne toka uhuru, na kwa sasa tunaongozwa na na serikali iliyo jaa ma dakto wengi kuliko zama zilizopita na wasomi wengi kwa ujumla wake wa kusema mtu ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza, bunge la leo kwa vipindi vyote viwili asubuhi na jioni limeisha uku likiacha wabunge wananungunika: hoja zimetolewa-wabunge wakaomba mwongozo wa spika pamoja na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
SIAMINI kama siasa ni mchezo mchafu kama ambavyo watu wengi wanavyodhani, isipokuwa siasa ni njia ya kuwapitisha viongozi waadilifu wanaoweza kujua wapi tulipo toka na wapi tunapokwenda. Siasa...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Habari za jioni wakuu Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia pitia thread katika jukwaa hili na kwa kusema ukweli, mengi yasemwayo yanaumiza saaana. Yapata miaka 50 sasa tokea tupate uhuru. Serikali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Dakika tano zilizopita umeme umekatika/umekatwa ndani ya majengo yote ya ukumbi wa Bunge na hivyo kulifanya bunge kutokuweza kuendelea . Alikuwa waziri wa Afya ndio ameanza kutoa majibu ya hoja...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Napata shida sana kusikia na kuona kuwa serikali yangu inaridhia muunda wa kiutawala Jijini Dar ambao unatuonyesha kukosa umakini katika kupunguza matumizi ya fedha za umma yasiyo ya Lazima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hili swali linawasumbua wengi!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The economist wanasema tz ni ya saba kwa kupewa misaada duniani ati twaambatana na nchi kama iraq,sudan tena nchi ambazo daily wanapigana!What a shame!Biga up Kafulila kwa izo statistics bungeni jana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kafulila David katumia muda mwingi kuichana vema serikali kwa vigogo kupata matibabu nje ya nchi, huku Mh. Maige akijaribu kuelezea watoto wake walioko kijijini bila kutaja fungu na kuonekana hana...
4 Reactions
119 Replies
11K Views
Nianze kwa kusema jamani tembea uone. Wiki iliyopita nilisafiri kwa gari yangu nikitokea south africa ili nije nyumbani tanzania kwa likizo ya mwezi mmoja. Nimepita vizuri katika nchi zote...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
KAMATI Kuu ya chama cha TLP imeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kupangua uteuzi wa madiwani wa viti maalumu na wa mkoani Arusha ambao waliteuliwa kwa nyaraka za kugushi na kutaka wahusika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania ina matatizo mengi. Miongoni mwao ni yale matatu ya ASILI kutoka kwa Baba wa taifa ambayo ni (1) Umaskini; (2) Ujinga na (3) Maradhi. Haya ymeendelea kuwepo kwa kuwa na yafuatayo:- a)...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
magdalena sakaya mbunge wa viti maalum wa cuf jana amewasilisha ushahidi kwa spika wa bunge juu ya yale aliyozungumza wiki moja iliyopita juu ya wakuu wa wilaya kuchukua mifugo ya wanainchi.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom