Na Ilunga Msekela Mpambanaji,
Wakati tunazidi kuhesabu siku za mwaka huu 2011 kuna mambo kadha wa kadha ambayo watanzania wanayazungumza , watanzania wengi ukiacha wale wenye nacho huwa na...
WANAJAMVI:
Hii ya Jenerali safari hii ni kali kweli kweli – kwani sikioni kisicho cha ukweli kuhusu sisi Waafrika.
Tangu zama tulionewa sana -- utumwa, kutawaliwa, na sasa tunendeleza...
Tanzania: Kikwete Calls for United Stand Against Extremism
Orton Kiishweko
AS the 9th Annual Langkawi International Dialogue (LID) in Malaysia recently illustrated, more leaders are eager to...
Kwa Mwaka wa Fedha wa 2011/2012 ni zaidi ya shilingi bilioni 80 wakati ambapo Serikali "haipeleki" fedha yoyote kwenye shule zetu za Sekondari kama CAPITATION GRANTS kwa ajili ya kuendesha shule...
sita kuwambia wabunge wanaopinga kulipwa posho kwa wajibu ambao ni wao umejipalia moto nani atakusaidia kuuzima ,mwanzo nilidhani kuwa unafaa kuwa kiongozi ila kwa leo mchana bungeni ndo...
Na Jabir Idrissa - Imechapwa 06 July 2011
Kalamu ya Jabir
KATIKA mazingira ya mfungamano wa kiutendaji uliopo ndani ya Jamhuri ya Muungano imekuwa vigumu Zanzibar kujizongoa na kile...
Zikiwa zimebaki siku 8 tangu ROSTAM, LOWASA NA CHENGE kupewa siku 90 na CCM ikiongozwa na mwenyekiti wa itikadi na uenezi Ndg NAPE NNAUYE kujiondoa wenyewe, mambo yamekuwa tofauti na CCM...
*Makamanda wa shughuli waanza kurudi nyuma
*Siku 90 zayeyuka, kikao NEC maswali magumu
Na Tumaini Makene
WAKATI Watanzania wakisubiri kwa hamu kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama...
Written by zamko // 11/07/2011 // Habari // 9 Comments
Asalam-alaikhum ndugu wazanzibari wa ndani na nje ya Nchi yetu tukufu ya Zanzibar. ama sina mengi yakusema ila kumshukuru (AS) kwakutupa...
It will now cost more for foreign workers and firms seeking an opening in Tanzania. Investors and local businessmen will, too, be required to pay nearly double the current cost to hire foreign...
Katika facebook wall yake, Zito Kabwe amelilaumu gazeti la Tanzania daima kwa kuandika habari inayohusu Zitto kujengwa na Kikwete. Binafsi sina shida na lawama alizolitupia gazeti, kwa kuwa...
Leo asubuhi nimepitia pale Ubungo stand ya mkoa na kukuta hali ya giza ambayo sikuamini kabisa kwani kama nchi iliyopata uhuru miaka 50 iliyopita leo stand yetu kuu inakosa hata taa (Umeme) na...
DRC transport infrastructure needs more investment focus
By: Natasha Odendaal
8th July 2011
Source: MiningWeekly
The Democratic Republic of Congo's (DRC's) increasing copper and cobalt...
Wana jf taarifa nilizozipata kutoka Urusi ni,
Wanafunzi watanzania waliohitimu shahada zao mwaka huu(june 2011) katika chuo kikuu cha urafiki(Lumumba)nchini Urusi chini ya udhamini wa...
Drama iendeleeeeeeee hakika muda utasema,"WHAT GOES AROUND COMES AROUND",STRATEGY NZURI KAMA INGETUMIKA HIVYO KWA WABONGO KITAANI,HAKIKA WANGEFANIKIWA,NI LAHISI SANA KUZIDANGANYA AKILI ZA WASOMI...
Monday, July 11, 2011, 7:18
Habari kuu, Mtanzania
*Ni Tundu Lissu na John Mnyika
*Wawapeleka puta mawaziri
"Waondoa shilingi, CCM wawazidi ujanja
Na Waandishi Wetu, Dodoma
WABUNGE wa Chama cha...
Bungeni Jioni Hii .Giza haliondoi kivuli.
Herbet Mtangi
Ukisimama na kivuli kinasimama, Kivuli hakifukuzi mwanga bali kinafuata Mwanga. Hivyo giza haliondoi kivuli Bajeti mbadala ya upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.