Kwa jinsi nchi yetu ilivyo na kuleana leana kwa mambo ya kipuuzi Republic of South Sudan watatupita kimaendeleo sasa hivi.....
Na je ikiwa hivyo nani wa kumlaumu? Tunajifunza nini kutokana na...
Ndugu zangu wanaJF...
Leo nimeondoka Bukoba Kuja Karagwe, na barabara hiyo iko kwa matengenezo na kama sikosei ni wachina ama wajapani...Sasa kilicho nishangaza ni kuwa wachina/Wajapani hawa...
"Tanzania Daima Leo habari yao kuu ni 'Kikwete amjenga Zitto'. Nisingeshangaa Kama habari hii ya kizushi ingetoka Jamboleo. Nashangaa habari hii kuandikwa na gazeti linalomilikiwa na Kiongozi Mkuu...
Vijana wakiwa wameweka net za asante bush katika goli ikiwa ni muendelezo wa kukuza vipaji katika fani ya mpira.
changamoto inayojitokeza hapo Je kulikuwa na uhitaji wa net hizi???????? Je jamii...
Does democracy the way it is defined really suit every nation and culture?
Please don't get me wrong, I'm not against democracy. I just see it not working in it's present form when introduced in...
Wakati Dr Slaa anaibua hoja za Richmond na EPA bungeni Dodoma aliitwa mwongo na mara kadhaa Spika wa Bunge alimwambia afute kauli yake. Sisi wote ni mashahidi. Lakini baada ya ukweli kugundulika...
Ezekiel Kamwaga. Ni yule mwandishi mahiri wa gazeti la Mwanahalisi ambaye hapa majuzi imeripotiwa kwamba ameajiriwa kama Afisa Habari wa Klabu ya Simba. Mwandishi huyu amesitisha ajira yake...
Ndugu wanajf, jana kulikuwa na uchaguzi wa mwenyekiti wa soko la nguzo nane lililopo shy mjini. Uchaguzi huo uliwakutanisha uso kwa uso makada wa vyama viwili asimu nchini namaanisha CHADEMA na...
Kama mfanyabiashara nimekuwa nikisafiri mara kwa mara na kushuhudia magari yakikamatwa na trafiki polisi ambao mimi ninawaita polisi rushwa kwa tuhuma mbalimbali kama vile speeding, gari kuwa...
Taifa lafungwa kitanzi
Na Restuta James
11th July 2011B-pepeChapa Maoni Ni mkataba wa kutoa ardhi ya ubwete
Yatolewa kwa wawekezaji wa kigeni
Hekta moja kulipiwa kodi Sh. 700 tu
Wakati Taifa...
SIKU alipotangazwa kufariki dunia baada ya kuwapo taarifa za kutosha za kuugua kwake na namna matibabu yanavyoendelea, watu wengi waliamini sasa ndiyo mwisho wa hali ya utulivu na maelewano nchini...
Wajumbe wa NEC-CCM kuchaguliwa wilayani
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza utaratibu mpya wa kuwapata wajumbe wake wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)...
Pamoja na mafanikio ambayo yamepatikana kwa baadhi ya maeneo ambayo hapo awali yalikuwa hayatoki maji kuanza kupata maji; yamekuwepo pia malalamiko ikiwemo kupitia JF kuhusu kero ya maji katika...
Tumekuwa tukihesabu miezi wiki siku hatimaye masaa kutimia muda wa siku 90 waliopewa wanaodaiwa magamba ndani ya CCM wajipime na kujiondoa wenyewe ikibidi watalazimishwa kuondoka lakini hadi...
Kama kuna rais wa mijuiza dunian basi ni rais jakaya mrisho kikwete..kana kwamba watu awamiini kilichotokea na kinachoendelea akutokea huyu ndie watanzania kadhaa wa mwaka 2005 walipodai ametoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.