MKOA UNAAONGOZWA NA MAGAMBA KWA MAJIMBO YOTE SASA UTAINGIA MIKONONI MWA CHADEMA HASA BAADA YA WANANCHI WA WILAYA HII KUAPA KUIDHALILISHA CCM KWA KUMFANYA VIBAYA MBUNGE WAO ROSTAM AZIZ ALIYEKUWA...
Ndugu yangu Nape! nimefurahi sana kukuona ndani ya JF ukijibu hoja mbali mbali humu, ingawa sina uhakika 100% kama ni wewe maana wajanja wengi wanaweza wakagushi ID na kujifanya ndio wewe. Kama...
Wahoji jeshi kutumika katika kilimo Kwanza
Send to a friend
Wednesday, 13 July 2011 20:48
0diggsdigg
Hussein Issa
KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeuponda mpango wa Kilimo Kwanza na...
Akitolea ufafanuzi kombora lililorushwa na David Kafulila, Waziri wa Uhusiano wa Afrika Mashariki Samwel Sitta ameikejeli kambi ya Upinzani kuwa ni wanafiki na waliojaa kauli nyepesi na za Ujanja...
Nimekuwa nikifuatilia Bunge kwa Karibu sana Pamoja na Njama za Serikali kuanzisha Mgao wa Umeme ili Tusione Minyukano mikali inayoendelea katika Bunge hili lililojaa Changamoto Mbalimbali ( Mpaka...
- Resignation is a formal act of giving up or quitting one's office position, after failing to own up to the office's responsibilities as expected by those who trusted him and put him/her in that...
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu aka Mr II ametutumia taarifa hii kuhusu kukamatwa kwake jana na yanayoendelea Mbeya Mjini leo
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Jana tarehe 8 Julai...
Nimekuwa nikifuatilia muda mrefu movement za hawa watu na mara zote nathubutu kuwafananisha na kundi la mtandao la EL, JK, RA na AC lililoanza kama ushirika wa kirafiki wa kisiasa(political...
Written by zenjiboy // 12/07/2011 // Habari // 3 Comments
Na Juma Mohammed,
MAELEZO Zanzibar
Waziri wa Kilimo na Maliasili wa Zanzibar, Mh. Mansoor Yussuf Himid amesema mfumo wa muundo wa...
Kinachotokea kwa hivi sasa bungeni ni dalili za wazi za CCM kuaga uongozi wa Taifa hili. Kwanza kabisa wabunge wa CCM wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali na badala yake...
Mheshimiwa Spika, Anna Makinda
Shikamoo mama.
Mimi Gurudumu (bila gari), raia wa Tanzania, nachukua nafasi hii kukuagiza kwamba ufunge bunge haraka sana pindi tu upatapo ujumbe huu kupitia...
Dodoma imekuwa ni ngome ya 'magamba' kwa muda mrefu sasa hivyo kuendeleza madudu mengi ktk mji wetu eg,malalamiko dhidi ya cda, ujenzi wa kusua sua wa barabara,miradi tata ya umeme ktk chang'ombe...
Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi bwana Wilson Mukama alipokua katika kipindi cha "Je tutafika?" kinachorushwa na Television ya channel ten amesikika akitilia mkazo na kufafanua Kwa kusema kuwj...
Japo Mimi si mkubwa sana kiumri lakini nakumbuka hadi miaka ya 80 hali ya kuomba omba haikuwa kama iliyopo leo hii. Uongozi wa awamu ya kwanza ulihimiza kujitegemea na kupinga ubinafsi.
Baadae...
Boss wao ndo ivo kaondoka kwenye uongozi wa CCM huku akirusha madongo kibao. Mtanzania walikuwa watu wa kuibeba sana CCM. Je wataungana na Boss wao kuanza kuiponda? Je hili ni pigo kwa CCM? Je CCM...
Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowasa amemchangia Mufti Mkuu wa Tanzania sh 13 mil kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo na shule ya watoto yatima kilichopo Kigamboni jijini DSM. Mbunge huyo...
Hali CCM mtaani ni mbaya sana, watu wanailalamikiae serikali ya CCM, wabunge wa CCM wanachokifanya bunge kinaonekana ni vituko vya watoto wadogo, Watu wanasubiri ifike mwaka wa 2011 ili waoneshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.