Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (Chadema), alisema "mimi ni kiongozi wa Kanisa Katoliki, viongozi wanazungumzia udini na tuhuma kwa baadhi ya vyama vya siasa nashangaa hawachukui hatua. Wewe ni...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
WIZARA ya Nishati na Madini imeingia katika kashfa nzito ambapo baadhi ya maofisa wa wizara hiyo wanatuhumiwa kuwahonga baadhi ya wabunge katika Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kwa kile...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Nimekua nikizirekodi kauli na hotuba mbalimbali wanazozitoa wabunge wa CCM pamoja na viongozi wao. Na leo Bungeni ndo nimepata mambo mengi sana ambayo yataiua CCM kwa kasi zaidi 2015. Mwaka 2015...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimeshangazwa sana na chama cha demokrasia na maendeleo chadema kwa upuuzi kinaoendelea nao huko Arusha je wanataka watu wafe ili wapate umaarufu au ndio upuuzi gani??mmekwisha ccm wamekwisha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni jambo la kushangaza sana kuona wasomi na akili zao zote wanakubaliana na mambo yasiyokuwa na msingi yoyote kisa tu wako kishabiki zaidi ya kizalendo. CCM ni chama tu ambacho hakiwezi kudumu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Siku zinapita na tunaona kazi za kikwete na huyu mtoto wa fisadi mwinyi bado wanashikilia nyadhifa za serikali bila ku-take any kind of rensibility au accountability kwake na bosi wake...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kijana wetu anavyozidi kupotosha umma. Jisomee hapa chini. Nakumbuka alizungumzia haya maswala ITV . Amua mwenyewe pumba na mpunga. Huyu dogo anatumiwa na serikali au mafisadi? Amekuwa kipiga...
0 Reactions
2 Replies
921 Views
Tangu Serikali ya awamu ya nne ichukue madaraka mwaka 2005, kumekuwa na malalamiko yasiyoisha kwenye fasheni, kuwa Serikali hii inaogopa kuchukua maamuzi magumu. Waandishi na wachambuzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama mtanzania, ninapitia bajeti ya serikali yetu na ninaona ina mapungufu mengi na ya msingi, nashangaa kuona wabunge 81 tu ndio walioweza kuona mapungufu hayo na kuipinga, wabunge 234...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa wale walioangalia maadhimisho ya miaka 50 ya Utumishi wa umma mtakubaliana na mimi mh. waziri wa wizara hiyo lugha gongana. Mimi niliyekuwa namsikiliza hadi niliona aibu jinsi alivyotuaibisha...
3 Reactions
105 Replies
9K Views
Wana JF, hatua ya kwanza ya kuandika kwa BAE kupinga fedhaa hizi wasipewe serikali imekua ya mafanikio makubwa, hata wabunge walionde huko wamekiri (soma daily news online): Daily News | Chenge...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda kufahamu wana jf,kuhusu hawa watumishi wa umma,wamepandishiwa mshahara kwa asilimia ngapi? Story toka Raia Mwema: Mishahara kupanda kwa zaidi ya asilimia 40! WAKATI Bajeti ya Waziri wa...
0 Reactions
107 Replies
14K Views
Kwenye gazeti la Habarileo kuna taarifa kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe, Ismail Jussa Ladhu (CUF), ameitaka serikali ya Mapinduzi Zanzibar kujaza nafasi za viongozi watendaji katika ngazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Wanajamii Forums, Natumaini hamjambo. Nilikuwa napitia Kanuni za ku operationalize Sheria ya Gharama za Uchaguzi, ( Elections Expenses Act, 2010), No. 4 of 2010 REGULATIONS, (made under section...
0 Reactions
165 Replies
19K Views
Mbunge Huyu naomba angesasidiwa wakalimani ili aweze kujieleza kwa Lugha yake maana Uwezo wake unatia mashaka hadi Spika na Wenyeviti hupata shida kumuelewa kama anachangia au anauliza swali!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mwenendo huu wa bunge naona ndio mwisho wa CCM. Chanzo kikuu cha CCM kutofanya vizuri 2010 kinaanzia kwenye bunge la 2007 wakati wa hoja ya Zitto kuhusus mkataba wa Buzwagi kusainiwa London...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nakubali, kijana ana uwezo mkubwa sana wa kifikra, lakini Napenda Kuuliza, huyu kijana ana uzalendo au ni mchochezi. Mnajua wawekezaji ndio chanzo cha maendeleo yetu, lakini anavyowapinga, mtu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
WanaJF Wasalaam, Baada ya kimya kirefu na kufuatilia mijadala ya bunge letu, maoni ya wanajf na wadau wengine wa siasa leo nimelazimika kuja na hii hoja ambayo kimsingi nahitaji kuona michango...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Wakati Tundu Lissu anaendelea kuelezea udhaifu wa TAKUKURU na madhambi ambayo serikali inafanya bila kung'ata ng'ata maneno na huyo mgeni mwingine kutoka TAKUKURU kujiona hana maneno, mara ghafla...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
  • Closed
Check the breaking news on KLH News.. as I'm updating.
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Back
Top Bottom