Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
JK , Pinda na serikali ya CCM Hivi mnaelewa kuborehs maisha ya watu sio lazima kila mtu afike Chuo kikuu au hata Form six. Hivi mnajua sera bora ya michezo ikiwepo na ikitekelezwa itazalisha...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe Ofisi ya Bunge imesema bado inaendelea kulifanyia kazi utetezi uliowasilishwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, (Chadema), la kudai...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Iran to help development of Tanzania and Zanzibar agriculture Service: Foreign Policy 1388/02/23 05-13-2009 11:02:14...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Tunasherekea kumbukumbu ya kuzaliwa TANU chama kilichotupatia uhuru na sasa tupo na chama cha mapinduzi ccm iliyotupatia maendeleo mengi ya barabara,shule,hospital,maji,vyuo.ccm inayo mthamini...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu nimeshtushwa kidogo na huu mradi uliopewa jina kama Daraja la JK . Kinachonishtua ni gharama ya mradi huo Bofya hapa kwa habari zaidi: Kikwete Ndoto yangu imetimia RAIS Jakaya Kikwete...
2 Reactions
55 Replies
5K Views
nimevutiwa sana na kuonyeshwa kwenye taarifa la tbc matukio ya zamani maandamano makubwa ya kulaani mauaji ya karume. Tz tangia zamani tumekuwa tunafanya maandamano ya kuunga mkono au kupinga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
FACEBOOK: by William Malecela on Tuesday, July 5, 2011 at 8:40pm[/h] @ NEW YORK CITY-US: The biggest political joke this week, ilikuwa ni ushauri wa maamuzi magumu kwa Serikali kwa Kiongozi...
16 Reactions
90 Replies
7K Views
Je kama Mungu akikujalia uzima na afya tele Novemba 2015 atakapo apishwa raisi mpya utajisikiaje? Je uta huzunika JK kuondoka? Je utafurahia yoyote yule kuingia ikulu ilimradi tu JK anaondoka? Au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi anaposema tupambane kuhusu maadui 3 wa Watz yaani UJINGA, MARADHI NA UMASIKINI... Hivi nikweli mpaka leo Maadui ni watatu tu??Leo tuna matatizo ya RUSHWA, UFISADI, NJAA(Kwa kadri ya waziri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika kipindi cha 45 minutes cha ITV leo jioni , mtoa mada alikuwa CD Msuya, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, enzi ya Mwalimu. Kwa hakika amenikosha sana. Bado ana data na current za...
9 Reactions
92 Replies
9K Views
TANZANIA imetajwa kama nchi yenye uchumi unaokuwa kwa kasi barani Afrika. Katika taarifa yake ya hivi karibuni, “Tanzania na hadithi ya mabadiko Afrika,” Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)...
0 Reactions
133 Replies
14K Views
Ndugu zangu, tutafakari kidogo. Kwa miaka mitano ya utawala wa JK, nchi yetu imekumbwa na balaa la hali ngumu sana ya maisha. Leo Watanzania tunakabiliwa na balaa kubwa la mfumuko wa bei katika...
0 Reactions
95 Replies
7K Views
Hii ni kauli aliyo itoa JP Magufuli jana huko Kigoma, Walianza kulumbana baada Mbunge wa CUF from Z'bar kusema CCM ni chama cha Mungu na kujiuliza, sijui ni Mungu huyu tunaye mwabudu wote au...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Niliwahi kumwabia rafiki yangu kuwa wewe ishabikie CCM nami naipinga ila watakaporudi madarakani sote tutaumia. Hakunielewa ingawaje ni graduate wa PSPA UDSM. Sikujua kwanini alikuwa na ata leo...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mojawapo ya ukosoaji mkubwa wa wakati wa Nyerere ni kuwa "watu walikufa na njaa" na kuwa tulilazimika "kula yanga" na kupanga mistari kusubiri mgao - the infamous "duka la kaya". Ukiwasikiliza...
6 Reactions
32 Replies
11K Views
Naona simsikii sana siku hizi huyu mbunge wa zamani wa karatu. Yupo? Ana mpango wa kugombea tena urais au atarudi karatu kuendelea na shughuli ya ubunge?
0 Reactions
3 Replies
972 Views
Mara nyingi tumewasikia viongozi wa CHADEMA wakisema kuwa wanakijenga chama na kukiandaa kushika dola baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa 2015, lakini hawasikiki wakielezea kwa msisitizo ulio sawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Taifa linajiandaa kusheherekea miaka 50 ya uhuru, kilele chake ni tarehe 09/12/2011. Mimi binafsi kwa haraka naona mafanikio mawili tu 1. Kiswahili kuwa lugha ya kutuunganisha. 2. Muungano [Ambao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndg,wana jf kuna hatari kubwa ya kutokea mtafaruku kati ya wananchi ambao sehemu kubwa ni masikini japokuwa hakuna aliependa awe hivyo lakini kwa kuwa hali hiyo imesababishwa na chama cha magamba{...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana waziri wa Utumishi Management ya Umma Hawa Ghasia, jana kaituhumu Chadema mbele ya Bunge. Kadai bajeti yenu ni tril 9, kwa mujibu wa Waziri Ghasia, mkilipa mishahara ya wafanyakazi kima cha...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom