Nameanza Kupata Kitambi nilichokuwa nakitafuta sana nionekane kama mheshimiwa Misosi Bab kubwa Kwa Offer hii ya Chef Pride Restaurant kuanzia saa nne Usiku kila siku kwani hii offer imekuwa ya...
Nadhani hii ni ''biggest joke statement of the year from JK''
Anawaambia watendaji wake ''Nawashangaa viongozi/watendaji wangu wengi wa CCM wamejisahau, hawafanyi majukumu yao na wanaendekeza sana...
Katibu Mwenezi wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi Bw. Nape Nnauye ametajwa kama mlengwa wa waraka wa siri ambao unakituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mpango wake wa kupinga...
Mwandishi Wetu
6 Jul 2011
MAJIBU ya wiki iliyopita ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda bungeni, yanaweza kuwa yamevuruga hoja ya waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni ya kufua umeme ya...
Kuna wale ambao siku zote inaposemwa kwambahistoria ya nchi imepindishwa wanakuja juu kuitetea CCM kwamba haikuipindisha popote. Humu JF wamejaa wengi wa aina hiyo
Aina hii ndio wale ambao CCM...
Gazeti la mtanzania la leo tarehe 8/7/2011 front page kuna maoni kuwa Dr.Slaa hamtendei haki Andrew chenge.
Sasa sijaelewa hawa mtanzania wana nia gani?
Sijui wanajamvi mnalionaje hili swala,au...
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Jiji la Mwanza, Francis Mkambenga, alisema hali ilikuwa tete na kwamba operesheni hiyo ilikuwa imepangwa kwa ajili ya kuwaondoa machinga katika eneo hilo la msikiti na...
DILA ndio njia mwelekeo na mwongozo wa lolote lile tunalolitenda.Hata vijijini walikotoka wazazi wetu,kabla ya utekelezaji wazee wanakaa wanatoa mwelekeo kuwa jambo hilo lifanyike kwa namna hii na...
Kuanzia saa 2 hii asubuhi kumezuka mapigano kati ya police na machinga maeneo ya katikati ya jiji watu wanakimbizwa huku na kule.
Maduka yamefungwa, sokoni hakuendeki! Watu watano wameripotiwa...
Ukimaliza kusoma hii article utazidi kujua jinsi gani wasomi wa Afrika kweli ni mitihani tupu, Africa yangu hii
S.Africa urged to put squeeze on Swazi king
Thu Jul 7, 2011 3:30pm GMT...
Gazeti la Tanzania Daima la leo linatutaarifu ya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru Dr. Hosea ameitikisa Ikulu baada ya kubainika aliongea na Shushushu wa Marekani juu ya JK kuwa ni kikwazo cha...
Na Restuta James
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imependekeza kuundwa kwa serikali tatu; ya Muungano, Tanganyika na Zanzibar, ili kuondoa hisia za upande mmoja wa Muungano kunyonywa pamoja na...
* It is fascinationg the ruling party for the case of it being valuable and respected they go back to embrace TANU and trying to Correct their Meany Demenor by Embracing Tanu the Party which was...
Niliposoma heading hii kwenye gazeti moja nilifurahi sana nikajua rais wangu umeanza kuziona kero za wananchi wako, cha ajabu niliposoma habari yake nikagundua ulikuwa huwaambii watanzania ulikuwa...
Wakuu habari zenu .
Usiku huu nime bahatika kusema na mkubwa mmoja huko serikalini akiwa amechukia aliitwa kwenda kwenye matukio ya mauaji ya Mwanza , ghafla wamesitisha safari .Nikamuuliza kwa...
Rais huyu ni bora zaidi ya awamu zote..
1.anaunganisha mikoa yoote ya tz kwa barabara zenye kiwango cha lami..
2. hajayaonea aibu mafisadi anayashitaki...
3. Ni mvumilivu mnooo.. licha...
Nimeshtushwa na habari iliyo katika Mwanahalisi ya Leo Toleo namba 249 yenye Kichwa "Mzozo wa Lowassa na Pinda: Ni uamuzi Mgumu, Utapeli au ajali ya kisiasa?" Ukurasa wa 11. Nanukuu baadhi ya...
Kwa wale wanaofuatilia sakata la Umeme, majina mawili mtakuwa mnayafahamu vizuri sana. January Makamba na William Ngeleja. William Ngeleja ni Waziri aliyeteuliwa na Rais JK, na January Makamba ni...
Ndugu zangu, kuna uwezekano mkubwa kwamba itakapofika kiangazi mwaka huu, Taifa letu linaweza kujikuta kwenye upungufu mkubwa wa chakula ambao siyo tu unatishia maisha ya watu wetu bali pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.