RAIS Jakaya Kikwete, ama ameshindwa au amekataa kujibu tuhuma za swahiba wake, kwamba serikali yake inaumwa ugonjwa wa kutofanya maamuzi magumu, MwanaHALISI limeelezwa.
Siku 13 tangu tuhuma hizo...
Ki-Ukweli Cheo/nafasi/kazi ya Ubunge ni nafasi nyeti, kadhalika ni fursa Adimu sana ya kuwatumikia wananchi wote Jimboni. Ukiwa na kazi kubwa ya kujitoa na kujituma katika kuwaelekeza wananchi...
Wabunge CCM, posho na kujivua gamba
Friday, July 8, 2011, 8:24
Jamii yetu, Rai
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe ameleta songombingo kipindi hiki cha Bunge la Bajeti...
WANAOTAKA tujipongeze kwa mafanikio ya Miaka 50 ya Uhuru kwanini wasijiulize: 'Hivi hizi mbio za uhuru na maendeleo si tulianza sawa na Malaysia, Korea Kusini, Indonesia na nchi nyingi tu za...
Wasira alishambulia Mwananchi
Send to a friend
Thursday, 07 July 2011 11:16
0diggsdigg
Leon Bahati, Dodoma
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wassira...
CUF ni chama pekee hapa nchini kilichobahatika kupata viongozi wenye busara na upeo mkubwa wa kisiasa tokea 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa chama cha CUF kimeweza kufanya siasa za mikiki...
Mtu ukisikiliza vizuri kauli za wananchi unapata picha ya kuwa wananchi walio wengi hawana imani hata kidogo na vyombo vyote vya dola ikiwemo polisi, na kwa ujumla watumishi wote wa umma. Si hiyo...
Nakerwa sana na jinsi baadhi ya wabunge wanavyopoteza muda pindi wanapopewa nafasi ya kuchangia bungeni, utamsikia mbunge akizunguka zunguka bila sababu za msingi.............
Asante sana Mh...
Thursday, 07 July 2011 22:59
By Sylivester Ernest, The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The Confederation of Tanzania Industries (CTI) yesterday differed with a statement made by President...
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta atakahimu nafasi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuongoza shughuli za Serikali bungeni kwa kuwa anatarajiwa kuondoka nchini wakati wowote kwenda...
WENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, amewashangaa baadhi ya viongozi wa chama hicho, akisema hawajituma, wamesahau wajibu wao na wanapenda anasa. Alisema tabia hiyo imejijenga kwa viongozi...
Kwa mtindo huu kazi tunayo: wenzetu hawa ndiyo wanaokuja kutukopa majumbani lakini jioni ya jana walionekana na furaha kuu eti wakikumbuka kuanzishwa kwa TANU, jamani huu siyo usaliti au wenzetu...
Katibu Mwenezi wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi Bw. Nape Nnauye ametajwa kama mlengwa wa waraka wa siri ambao unakituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mpango wake wa kupinga...
Keep on turning the heater on them kwenye swala la Radar msikubali kabisa issue ya kwamba watapanga muda
mzuri wa kulijadili swala la Radar huo ni uongo wamezidiwa wanataka muachie ili baadaye...
Ivi jamani unakuta cdm kama akina lissu,mnyika,zitto etc bungeni wanaongea mambo ya maana na kufikia kutoa shilingi hatiamae mwenyekiti anaishia kusema tupige kura.Wabunge wanajibu ndio au sio hii...
Chama changu cha Mapinduzi, sasa umefikia wakati sina nguvu ya kukutetea.
Matukio yanayoendelea sasa hivi ni kama mchezo wa kuigiza.
Nilikutetea sana na dhana ya kuvua gamba, kwa kifua mbele...
CCM imerejesha hesabu zao kwa msajili na msajili ameonya kuwa atakayechelewa hataruhusiwa kushiriki chaguzi zifuatazo hata zile ndogo. Vyama vingine kama cdm na cuf vimerejesha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.