Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ktk MAKADIRIO YA MATUMIZI YA OFISI YA RAISI, mbunge viti maalumu CCM Mh.Munde Tambwe Abdala amesema wikiliksi walisema uongo kuwa TAKUKURU Inashindwa kuwakamata wala rushwa wakubwa sababu raisi...
0 Reactions
106 Replies
9K Views
jamani tuwe wakweli, kwa wanaofuatilia bunge wanakubali kuwa wabunge wa chadema ndio watetezi wakubwa wa watanzania. sio kwamba watz hawaoni kuwa tatizo lao ni namba tu. kuna mwanamagamba ninae...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari za jioni ndugu zangu ,naangalia kikao cha bajeti sasa hivi ,jamani serikali ya ccm imefika pabaya watuachie nchi yetu sasa inatosha sasa,kwa maamuzi wanayopitisha hatuna wabunge ndani ya...
0 Reactions
2 Replies
990 Views
MBUNGE wa vunjo augustine mreme ameendalea kudai maslahi yake ambaye anadai kutokana na nafasi yake naibu waziri mkuu aliyowahi kishika miaka ya tisini. Mrema anasema hakufukuzwa hazi hivyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Niko hapa kimara mwisho nimesikia eti songas imelipuka, mwenye taarifa atujuze
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jamii naomba kuelewa the action taken by makinda on zitto's issue.Naona iko kimya au ni kama Lema alivothibitisha then ikawekwa kapuni!Wenye information please welcome.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni wakati wa kupitisha vifungu vya wizara ya hawa ghasia . ambopo Mbunge Lisu akuridhika na majibu mepesi ya waziri Chikawe aliyekuwa anamjibu lisu kwenye issue ya Rada na takukuru kwa niaba ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inasikitisha sana bungeni pale mheshimiwa Tundu lisu anapotoa hoja zenye ukweli kuhusu mambo ya Rushwa lakini anapingwa kutokana na uwingi wa wabunge wa CCM. Binafsi sidhani kama hii voting...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Nimetafakari sana na kuona tunahitaji kikosi kazi kitakacho mshauri Rais jinsi ya kulivusha Taifa,katika kipindi hiki kinachohitaji busara kubwa sana.kwani Siku za nyuma Watanzania walipopita...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Written by makame silima // 05/07/2011 // Habari // No comments Mwenye raha amjali mwenye shida Mimi nimefuatilia sana ktk vikao vyetu vya ndani vya Baraza la wajumbe wa Uwakilishi na kumalizia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni sawa pesa ya rada ilichukuliwa serikalini tunakubali, lakini serikali haina duka wala shamba. Chanzo cha pesa za rada ni kodi za wananchi. Serikali ilipewa dhamana ya kuongoza matumizi sahihi...
0 Reactions
80 Replies
11K Views
Ni kijana Mdogo aliemaliza Chuo kIkuu cha Tunguu Unguja hIvi juzi na kuombwa kugombea Ubunge. Pombe alikuwa haijui. nini lkn sasa baada ya kuingia Jengoni na marupupu kidekide anakunywa hadi...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Japo mimi ni kipenzi kikubwa cha hotuba za baba wa taifa hasa pale alipokuwa anajaribu kutumia lugha nyepesi nyepesi kuzima mambo makubwa yaliyokuwa yanatishia amani ya nchi kwa umakini mkubwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani, mi nimezaliwa nkakuta wabunge, madiwani na kwa hali ya juu mawaziri na rais wakiitwa waheshimiwa. Napenda nijue kuna hadhabu gani ya kisheria au kikanuni iwapo ntamwita kwa jina lake? Mi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mnyika amemjia juu Rais Kikwete na ikulu kuwa ndio chanzo cha mapungufu yote katika serikali. Akichangia bajeti ya hotuba ya ofisi ya rais amesema katiba imempa mamlaka makubwa na watumishi wote...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ijumaa iliyopita Waziri Mkuu Pinda katika hotuba ya majumlisho ya bajeti ya wizara yake alisema moja ya maamuzi magumu ya serikali ya awamu ya nne ni kuvunja baraza la mawaziri lililotokana na...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Hizi ndizo sifa zimfaazo mfuasi na mwanachama wa CCM 1. Kuwa mtumwa wa mawazo (akili ya kushikiwa) 2. Uwe unalamba miguu ya mafisadi 3. Ujifanye kama huoni matatizo ya watanzania (umeme, foleni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dah yule mbunge(CCM)ni mtu mzima kwelikweli... Kasema mshahara wake wa kwanza 1970's ulikuwa 1200, alinunua kitanda, radio na sofa kwa ajili ya kumkaribisha GF(girlfriend) wake!! Huyu ndie...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Salaam wana JF, Jamani mimi nimekuwa nikiangalia vikao mbalimbali vya Bunge Letu, kugundua Mapungufu Mengi yanayohusiana na mabo ya sheria na Jinsi ya kutafsiri sheria, tatizo ambalo limepelekea...
0 Reactions
2 Replies
918 Views
Kwa upande wake, Rais Kikwete alisema kuwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini wamemchagua Zitto kuwa mbunge wao, lakini pamoja na hilo Zitto hana serikali, bali Serikali ni ya Chama Cha...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom