Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sasa imekubalika kuwa wengi wa wana JF hawaipendi CCM (na haimaanishi kuwa wote in turn ni wana CHADEMA kama inavyodhaniwa). Kutokana na hili wamekuwa wakiiandama serikali ya CCM kiasi kwamba...
10 Reactions
79 Replies
5K Views
Shalom namkumbuka sana katika hoja zake akiwa darasani na sasa katika nyanja za siasa je sijamsikia wala kuyaona maandiko yake
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Napenda Waheshimiwa Wabunge wetu watambue kuwa kama wakiamua kwa kushirikiana na Serikali tunaweza kabisa na ndani ya muda wa kati kuifanya nchi yetu kuwa tofauti kabisa na ilivyo sasa. Kutokana...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kufuatia tamko la CUF dhidi ya serikali kwamba hata kama bwawa litakuwa limefurika bado kutakuwa na mgawo wa umeme. Serikali/TANESCO inatakiwa waoneshe kuwa maneno hayo ni uongo kwa kutoendeleza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nimevutiwa sana na discussion ya CV ya spika. La msingi hapa tujiulize ni kwamba usomi wetu umesaidia nini. Angalia sokione, mrema na kawawa walikuwa statemen. Lakini wasomi wetu ni bure kabisa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
nAONA BORA mwakani NSSF ijitoe then iwaachie hao wengine kama akina PPF na BOT nafasi ili wabahatishe
1 Reactions
21 Replies
3K Views
SOURCEsOURCE bUSINESS tIMESDate: Fri, 24 Jun 2011 17:09:20 +0100 Subject: Legitimacy crisis mounting over Tanzania's undisciplined regime (BT) Written by Times Reporter Friday, 24 June 2011...
0 Reactions
3 Replies
809 Views
Ndugu wanajamii forum, ni nafasi nyingine tena ya pekee kuweza kuongea nanyi kuhusu maswala ya taifa letu ambalo tuseme ndiyo maisha yatakayoongoza vizazi vyote. Nchi yetu tangu Mwalimu...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, leo imethibitika kuwa Waziri wa nchi ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu hajui majukumu yake kwa sababu kwa mujibu wa Tangazo la Serikali analotoa Rais baada ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwa kuzingatia kuwa serikali ya kikwete hakuna cha maana ilicho kifanya ambacho kinawagusa wananchi moja kwa moja , imeibuka na mkakati wa kuzunguka nchi nzima kuwalazimisaha wanachi waamini...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
1. jatropha in gambia December 12, 2010 THE PROMOTION OF GROWING JATROPHA IS GOING WELL Posted by jatrophagambia under 1, Help needed, Press No Comments Over the last weeks so much has...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarin wanajamii wenzangu mwenzenu nmekerwa na kitendo cha mh shibuda mbunge wa maswa kwa tiketi ya chadema kutounga mkono sera ya chama chake kuhusu posho kwangu mm namwona kama msaliti...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kama shibuda ni bakuli tupu kabisa. watanzania hatuhitaji misemo wala nahau zake. kama anataka nahau aende kwenye chama cha mwana-nahau mwenzake kikwete wakapige porojo za misemo: ukitaka kula...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msajili aingilie kati mgogoro huu wa TLP Send to a friend Tuesday, 28 June 2011 20:16 0diggsdigg MGOGORO unaoendelea hivi sasa katika Chama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna mengi yanasemwa kuhusu spika makinda kwa kuonyesha upendeleo wa wazi na dhati kwa serikali na chama tawala(CCM). Lakini la muhimu ni kufahamu kuwa spika makinda aliteuliwa kwa sifa zipi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
World Bank approves $59 mln infrastructure loan for Tanzania DAR ES SALAAM, July 1 (Reuters) - The World Bank said on Friday it has approved additional financing of $59 million to support the...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
ingawa suala la mishahara halikutajwa na Hawa Ghasia, kambi ya upinzani inasisitiza kima cha chni kiwe 315,000/-
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philip Mulugo amekanusha kuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma hawabaguliwi kufuatana na itikadi zao za vyama. Alikuwa akijibu swali la nyongeza la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sunday, 03 July 2011 20:25 Raymond Kaminyoge CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinapita katika hatua ngumu ya mabadiliko, kimetangaza kurejea kwenye mizizi yake kwa kufanya kumbukizi la Tanu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Closed
Nina maswali magumu ya kumuuliza. tafadhali baba rudi jf tujadili ile posho kubwa ya milioni 7.5 ninayo maswali mengine kuhusu mchumba wako wa kudumu kuwatumia waheshimiwa sms za mipasho...
0 Reactions
203 Replies
19K Views
Back
Top Bottom