Na Flora Amon
MCHUMBA wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Josephine Mushumbusi, amekiri kumtumia ujumbe mfupi wa simu (SMS) Mbunge wa viti...
Imeandikwa na Ansbert Ngurumo
MIAKA mitano iliyopita, Rais Jakaya Kikwete aliandika historia kwa kukiri hadharani kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeshinda uchaguzi kwa mapato...
Wamefanyiwa upasuaji(operation) katika hospitali moja nchini India ijulikanayo kama Apollo iliyopo mjini Hyderabad.
Prof Lipumba ana tatizo la figo na keshafanya upasuaji na alishindwa KUELEZEA...
habari hi nimeambiwa na mwandishi wake jana kuwa kila wiki atakuwa anatafuta sababu asiwemo bungeni siku ya alhamisi ili kuepuka maswali ya papo kwa papo wiki hii anaenda brazil akiludi next wiki...
Katika vitu ambavyo vingeweza kuidhoofisha CCM na kuiondolea uhalali mbele ya wananchi ni suala la Umeme Usiokidhi Mahitaji hususan Mgao huu mkali wa umeme unaoendelea nchini, lakini cha ajabu ni...
Wakati chama cha Mapinduzi(CCM)kikijiandaa kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema kuwa chama hicho kimekusudia kuanza...
Natupa memory zangu nyuma i think ni 2008 kuna mwandishi mmoja anakwenda kwa jina la Rosemary Mwakitangwe aliwahi kuandika makala kwenye the number one newspaper in Tanzania almaarufu kama Raia...
Sunday, July 3, 2011, 12:03
Habari, Mtanzania
*Adaiwa kumkingia kifua mbunge asikamatwe
Na Kulwa Karedia
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Manumba, amedaiwa...
Hatimaye Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamshi Vuai Nahodha ambaye amekuwa akiishi hotelini kwa miezi nane sasa atahamia kwenye nyumba yake kuanzia wiki ijayo, NIPASHE Jumapili imebaini...
Imetolewa na;Julius Mtatiro,
Naibu Katibu Mkuu CUF Tz Bara,
Jumapili, 03 Julai 2011 saa 5.00 Asubuhi Dar es salaam.
UTANGULIZINdugu waandishi wa habari,Nchi yetu hivi sasa inakabiliwa na...
Kuna taarifa (toka TBC1) kuwa leo Zitto katoa tamko rasmi kuwa ana mpango wa kugombea urais wa Tanzania mwaka 2015 na akawaomba wananchi wampe kura nyingi ili apate hadhi ya kuweza kugombea urais...
Imekuwa ni kawaida kwa wabunge na viongozi wengine wa chadema kuwa karibu sana na wananchi na kuwatetea mahala husika, Hali hii ni tofauti kabisha kwa huyu mkurugenzi wa halmashauri ya bunge John...
Wana jamvi poleni na majukumu,
Mod naomba usi ni ban..nawakilisha ninachoamini na wala sina interest na chama chochote wala sijamtukana mtu,
Nashindwa kuelewa wala kuamini uongozi huu kwa tabia...
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeipa serikali mwezi mmoja kuanzia jana, kuwalipa Sh13 bilioni wanazodai walimu vinginevyo itatangaza mgogoro utakaosababisha walimu kugoma nchi nzima.Hatua hiyo...
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amempa rungu, Mdhibiti na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu Hesabu za Serikali (CAG) la kuwafikisha moja kwa moja kwenye vyombo vya Dola, viongozi wa Serikali wanaoiba au...
Wakati akiendelea na hoja zake mambo yafuatayo yamekuwa ni ushindi kwa CHADEMA.
Kuhusu mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi - sasa wamekubaliana na hoja ya CDM ya kutaka ufanyike uchunguzi na...
ilikuwa kila post ambayo chadema hawaipendi wanavurumisha mimatusi na pia wanaanzisha posts zisizo na mshiko.
ccm magamba wameamua dawa ya moto ni moto. wamekuja na nguvu mpya baada ya kujivua...
Wakuu nawasilisha.....
Nimeshangazwa na hatua ya Benard membe pale bungeni kutumia nguvu nyingi ili kutuaminisha kuwa serikali/taasis ya uingereza inadhalilisha taifa letu.ukweli ni kuwa sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.