Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao...
2 Reactions
148 Replies
10K Views
Magazeti ya leo yanaripoti kuwa Kamanda Lema mbunge wa Chadema jana alipopolewa kwa mawe katika mji mdogo wa Sirari. Lema alikuwa katika harakati zake za kuchochea maandamano kwa wafiwa ndipo...
0 Reactions
149 Replies
15K Views
kutokana na vipindi viwil kushikiliwa na ma rais kutoka bara imesababisha kukutetereka kwa muungano wetu sasa kipindi kijacho iwe zamu ya znz ili kuimarisha muungano na iendane na kutamkwa na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kutokana na mambo yanayoendelelea hapa nchini nilitegemea sana CDM kama chama cha upinzani kikuu kingetoa tamko na msimamo wa kichama juu ya issue ya RADA, UMEME,SYMBION, Nk, Lakini tena wasisi wa...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Walipasua daraja la kwanza kidato cha sita Wazawadiwa kitita cha fedha, kompyuta Watambulishwa bungeni, Bunge larindima Wanafunzi 20 waliofanya vizuri katika mtihani wa Taifa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Spika anataka kufuta kabisa utaratibu wa maswali ya papo hapo kwa Waziri Mkuu bungeni, kigezo tu eti maswali mengi yanamdhalilisha PM. Huu utaratibu alianza nao EL na yy ni mwanadamu maswali...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Madiwani wa CDM katika halmashauri ya wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga imemshutumu vikali Mwenyekiti wa halimashauri hiyo,bw Mathias Nyororo kutozingatia kanuni za kuongoza baraza la madiwani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF na Invisible natumaini wote ni wazima, naona kama ingekuwa vyema ikaanzishwa forum ya mawazo ya wanaJF kuhusiana na kikao cha bunge kinachoendelea, hii ni kusaidia hata wabunge wenyewe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Saturday, July 2, 2011, 7:21 Second Lead, The african By Hilal K. Sued This continent will never abandon its being showcase as a butt of all the jokes. It has become an ostentatious – or...
0 Reactions
3 Replies
885 Views
Mwandishi Wetu 29 Jun 2011 Toleo na 192 Asema hadanganyiki na kesi za dagaa Wazungu watoa ripoti kwa donors inayotaja ufisadi Wawataja Lowassa na Rostam Rostam aitwa mtengeneza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia bunge la Tanzania na hizo hoja za posho,ikanibidi nianze kufanya utafiti.bunge la uingereza,kenya, na hata marekani yako simple sana lakini wanaonge mambo ya msingi.hapa...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
kuna taarifa zimepatikana kuwa ofisi nyingi za serikali tanzania zimeshikiliwa na wageni waliojipenyeza tanzania miaka mingi na kufanywa watanzania na watu maalum wanaofanya juu chini kuhakikisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Na Nova Kambota, Binafsi nimeshtushwa sana na kauli za baadhi ya wana CCM kuwa chama chao kimeshajivua gamba , wanatumia mabadiliko ya safu ya uongozi ndani ya chama hiko yaliyofanyika hivi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Msingi wa Maendeleo ni Haki. "Ninawasalimu wote . Hivi karibuni tarehe 21 Juni 2011 siku ya jumatano kuna taarifa nyingi ziliandikwa katika vyombo vya habari...
3 Reactions
281 Replies
22K Views
sheria ya 1984 na 15 ib 6 (2)kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhim kwa maisha na shughuli za wananchi na pia juu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Saed Kubenea RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kukaa kimya huku viongozi wake wakianza "kutoana roho" kwa urais wa 2015, MwanaHALISI limeelezwa. Benard Membe, waziri wa mambo ya nje na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
LAZIMA TUISAIDIE CCM SASA. Kwa muda mrefu napata shida kujua wapi kama taifa tunaelekea wapi?Maswali ni mengi zaidi kuliko majibu.Kwanza wenzangu tukubaliane kuwa hii ni nchi yetu sote bila...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Nimeshangazwa na siasa zinazoendelea kichinichini kuhusu umri wa Chuo Kikuu Cha D'Salaam. Kuna pililapilika za kusherehekea miaka 50 ya Chuo hicho ifikapo October mwaka huu. Maana yake ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mimi mwanajf nawapongeza madiwani wa cdm kufikia muafaka na cha ccm kule arusha huu ndio ukomavu wa kisiasa, namshanga slaa kuunda kamati wakati taarifa za vikao vya muafaka alikuwa nazo, je...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mkuu wetu yuko kwenye pipa akielekea equatoria guine. Hii sasa inatisha make ikulu ni kama kuna miba vile.
0 Reactions
93 Replies
8K Views
Back
Top Bottom