Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
wengi tunapenda kuangalia chanel nzuli za michezo talif nk tatizo vipato inasemekana kunanjia ya kufunguwa hex key aina zote kwa galama ndogo mf conax nk mwenye maujanja tafadhali
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Stella Manyanya atema cheche Bungeni akimtuhumu Dr Slaa kwa kuwafundisha wananchi wasifanye kazi wakati yeye amewahamasisha wananchi wa kijiji chake (hakukitaja) wajitolee kufanya kazi za...
0 Reactions
262 Replies
21K Views
Wakuu, Katika kitu ambacho bado sielewi ni kuwa hivi kweli serikali yetu inao utashi wa kumaliza tatizo SUGU la umeme? Wakati tunakumbwa na power rationing 2006, kama nakumbuka vizuri serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juz niliposikia JK anakwea pipa kwa mara nyingine nikakumbuka kipindi cha uchaguzi alipokua Urambo Mashariki na Magharibi akiwanadi wagombea wake Sitta na Kapuya alisema kwa mbwembwe kwamba...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hapa namaanisha. Namheshimu sana Prof. Ana ila mkinipa mawazo na weakness za prof, nmna ya kuingia na jinsi ya kuchukua ubunge baada ya prof. au kipindi kijacho ili niwatumikie wananchi. Binafsi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
huyu spika amezidi kumbeba waziri mkuu pinda sana! Imefikia hatua anazuia maswali yanayoelekezwa kwa pinda. wiki ya pili sasa hakuna kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa sababu zisizoeleweka...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimewahi kundika kuwa katika semina elekezi moja ya jambo la msingi vingozi wetu( Mawaziri, makatibu wakuu, Wakurgenzi wa Idara, RC, DC, RPC, CEO) na hata wakuu mwashiika makubwa wanataiwa kupigwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa sasa ukisema nani katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi, watanzania wengi wanaweza wakakupa jibu, ila ukiuliza hivi nani alikuwa na hicho cheo kabla ya Nape Mnauye nadhani ni wana-CCM (sio...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika ripoti yao SFO walisema ukiachia pesa alizowekewa kwenye account zao CHENGE NA IDRISA RASHID kuna pesa zingine zilitumwa USWISS kwenye account za watu ambao hawakuweza kuwatambua kulingana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kuna kila dalili kwamba mkakati mzito umepangwa kukidhoofisha chama cha demokrasia na maendeleo (chedema) kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Baadhi ya mambo ambayo yanatokea hivi sasa ndani ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndiyo fedha wanazolipwa zitatumika katika miradi ya maendeleo 69 57% Ndiyo italeta mabadiliko katika matumizi sahihi ya fedha za Serikali 37 30.6% Hapana inalenga kuwapa wabunge wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KESI YA BIHONDO ISICHAKACHULIWE Natumia fursa hii kwa mara nyingine kutoa Pole kwa familia ya marehemu Bahati Stephano aliyekuwa katibu wa Kata ya Isamilo na Kada wa CCM huko Mwanza. Katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Any serious nation invests heavily on grooming its future presidents. Its top institutions of higher learning produces 'presidential material'. All its intelligence agencies ensures that all...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
HATIMAYE Mbunge wa Jimbo la Busega wilayani Magu, mkoani Mwanza, Dk. Titus Kamani (CCM), amejisalimisha kwa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, kujibu tuhuma zinazomkabili za kula njama kutaka kumuua...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
ST. PAUL, Minn. (AP) — Minnesota's state government is closed for business. Minn. government forced to shut down ST. PAUL, Minn. (AP) — Minnesota's state government is closed for business. It shut...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Written by Hassan10 // 01/07/2011 // Habari // No comments Written by Hassan10 // 01/07/2011 // Habari // No comments Hivi sasa takribani unaingia mwezi mizigo yote kutoka Zanzibar yakiwemo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kumekuwa na ujio mkubwa Viongozi Maarufu wengi kutoka Marekani kuja tanzania na hata Matajiri maarufu wa dunia kutoka marekani kama Mr & Mrs Bill Gate, halafu ghafla shirika la Umeme la marekani...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Halima Mdee amemjia juu mwenyekiti wa bunge anayeendesha kikao cha jioni kuwa asitumie kiti vibaya. Kisa ni mwongozo wake kutaka Zarina Madabida athibitishe kauli zake kuhusu posho. Zogo likaibuka
0 Reactions
126 Replies
10K Views
CHAMA CHA DEMOKARASIA NA MAENDELEO (CHADEMA WILAYA YA GEITA) OFISI YA WILAYA -CHADEMA KALANGALALA- GEITA Email: geita@chadema.or.tz Website: www.chadema.or.tzDate: 1st July, 2011 Chama cha...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Stahili za Waheshimiwa Wabunge ni zifuatazo: i) Mshahara wa Mbunge · Gross Salary - Sh. 2,305,000/= · Kodi - Sh. 588,000/= Net Salary - Sh. 1,717,000/= ii) Posho ya Ubunge; (MP – Constituency...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom