CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo tayari kuwapoteza madiwani wake watatu waliohusika kumaliza kinyemela mgogoro wa kumpata meya wa Manispaa ya Jiji la Arusha, kwa maridhiano ya...
Wakuu tumesikia budget ya tanzania na tunadelea kusikia bajeti na mipango ya matumiziya mendele ya wizara na idarambal mbali.
Napenda kuleta challenge . Assume wewe ni waziri wa wizara yeyote ya...
Katika taarifa ya habari ya TBC Saa 2 usiku imeonyeshwa wanafunzi wa shule za kata waliofaulu vizuri.
Je wanafunzi wa kata wana muonekano kama machangu doa! Kazi ipo tanzania na serikari ya ccm
Kwa hali hii kwa nini tusiseme wanachama + wapenzi wa CDM a.k.a MAGWANDA ni wasaliti na wasio watendea haki viongozi wao ?. Mwaka jana wakati wa uchaguzi mkuu walihudhuria kwa wingi kwenye...
Wadau, this is very very serious.
Nakumbuka wakati fulani mwaka jana kuna mwandishi wa gazeti moja aliwahi ku-uncover vitendo vichafu vya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini...
Huwa najiuliza ivi kiwalani kuna madiwani na je mbunge wao nae huwa anawataembelea?
Nasikia hajawai ata kukanyaga maeneo kama kiwalani kisiwani barabara mbovu toka miaka ya 1980 nilivyokuwa nasoma...
mbunge wa kahama james lembeli amewashangaawabunge wanao jadili na kunyoosheana vidole juu ya maandamano na migomo inayoendelea hapanchini na kusema tanzania sio kisiwa kwa kuwa maandamano na...
Wadau, kiukweli inauma kuona tunaigawa tz yetu kichama. mimi ni mpinzani na nawakulabali sana chadema kwa sababu zangu binafsi na si tu kishabiki. kwa mfano, ilani na mikakati ya chadema inalenga...
Askofu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) dayosisi ya Iringa Dkt O.Mdegella ameibuka na kumvaa katibu wa CCM mkoa wa Arusha Bi.Mary Chatanda kwa kauli yake ya kuwataka...
Wajumbe nilipenda kwenye katiba mpya tulipigie mchapuo swala la tanzania kuwa na mabunge mawaili la kila moja kuwa na wabunge chini ya 80 na ili kuongeza usimamizi wa serikali na kupunguza...
Kuvimbiwa kwa watawala: Jibu si kuvua gamba
Jenerali Ulimwengu
22 Jun 2011
Toleo na 191
Wahitaji kula haluli kusafisha tumbo
SI kazi rahisi kwa yeyote miongoni mwetu kujaribu kueleza, na...
• Adaiwa kutumia Bunge kukwepa maswali
na Martin Malera
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda, jana kwa mara ya pili mfululizo ameshindwa kujibu Maswali ya Papo kwa Hapo bungeni kwa madai ya...
Sijapata bahati ya kukutana na mbunge wa Kilindi, Beatrice matumbo shellukindo lakini anastahili sifa hasa kwa kutafuta, kushughulikia na kutafutia suluhu matatizo ya wana kilindi.nimekuwa...
CCM ni Chama Bora nchi hii kuliko vyote kwa mema ambayo kimewafanyia Watanzania. Kwani hamna ubishi viongozi wake wamekuwa wachapakazi na wenye utu kwa kuwatumikia wananchi wa nchi hii.
Na...
Wadau,
Kuna haya magazeti ya uhuru,jambo leo na habari leo.Imekuwa ni ajabu kwani ni lazima kila siku kuwe na heading kubwa inayouza gazeti inayohusu chama cha demokrasia na maendeleo...
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Aldo Kaduma, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Mkoa wa Iringa, akituhumiwa kujifanya Afisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Kada...
Chifu Mangungu wale msiomjua alikuwa ni Chifu wa Msowero,Usagara kule maeneo ya Morogoro.Hakusoma na hakuwahi kusafiri kwenda Ulaya,Marekani wala Uarabuni kutafuta wawekezaji.Aliamini kuwa kama...
Rais Jakaya Kikwete akishiriki kupanda mti wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa Wakuu wa Umoja wa Afrika(AU) katika mji mkuu wa Guinea ya Ikweta, Malabo
Nyumbani Tanzania
Mh tofauti kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.