CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo tayari kuwapoteza madiwani wake watatu waliohusika kumaliza kinyemela mgogoro wa kumpata meya wa Manispaa ya Jiji la Arusha, kwa maridhiano ya...
Ndugu wanajamvi jana nimepata kuona wananchi wakiwa na jazba na hamasa kubwa kumwona Mh Japhet Nanyaro diwani wa kata ya Levolosi (CHADEMA) akitembea kwa mguu maeneo ya stand ya viford huku kundi...
Thursday, June 30, 2011, 7:32
Makala na Uchambuzi, Rai
Na Emmanuel J. Shilatu
BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliwahi kuja na falsafa yake kuhusu dhana ya maendeleo. Kwa kutumia hekima...
Juzi kwenye kikao cha Bunge, Mh. Salum Baruan (Lindi Mjini-CUF) wakati anachangia mjadala ya bajeti ya office ya Waziri mkuu alisikika akisema kuwa Rais ni zaidi ya sheria. Sasa mimi nauliza Rais...
"Tuko tayari kuendelea kuisaidia Tanzania kama mtatupa vipaumbele vyenu," Mwenyekiti
mwenza wa Mfuko wa Bill na Melinda Gates, Bill Gates alimwambia Rais Kikwete jana
mchana alipofika Ikulu...
INGAWA siasa ni mchezo uliojaa uchafu, hadaa na kujilisha pepo, lazima unahitaji kutumia akili. Pamoja na uchafu wake, bado siasa ni kitu ambacho hatuwezi kuishi bila kuwa nacho.
Je, tukubali...
Kwa nini neno maamuzi magumu lisikike sana sasa na siyo wakati wa urais wa Benjamin William Mkapa, au Ali Hassan Mwinyi au wakati wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere? Kwa kiongozi...
Mara kadhaa tumesikia kauli za wabunge wa CCM 'wakiwaasa' wanafunzi wa vyuo vikuu wasijihusishe na siasa mavyuoni. Kauli kama hizi pia zimekuwa zikitolewa na viongozi mbalimbali akiwepo Nape, na...
Katiba ndio pekee itatuwezesha kupanga na kujua bajeti ya ikulu kwani kwa sasa watanzania hawatakiwi kuuliza,kuhoji,kujua au kutangaziwa,ni kitu nyeti sana ila safari za rais lazima...
KWA KUWA SHIBUDA "AMEISALITI" KATIBA YENU KAMA MNAVYOSEMA ("Maana yake hakiamini chama, hivyo hafai kuendelea kuwa mwanachama na mbunge wa chama hicho,"alisema Zitto ambaye pia ni Naibu Katibu...
sasa huyu Mkamia ndio Ametumwa na Mafisadi wa kodi zetu aje atetee unyonyaji wa hali ya Juu, msikilize anavyoongopa,
Anasema Eti pesa ya anayolipwa kama sitting allowances anatumia kama pesa za...
Leo katika mbunge pamoja na shutuma mbalimbali , ndg stella manyanya kama mbunde alisema amekuwa anapata message za simu na baada ya kufuatili amegundua zinatoka kwa mke/mchumba wa dr slaa...
Dunia nzima viongozi wema huunda sera za kuwafanya watu wao wawe na umoja, upendo na mshikamano ili kuidumisha amani miongoni mwao, hapa kwetu ni kinyume. Kwa udhaifu walio nao, viongozi wetu...
Tangazo la nafasi za masomo ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Tz. Tovuti: www.moe.go.tz. Linasema hivi "Waombaji wa Mafunzo ya Ualimu ngazi ya...
Na Nova Kambota
Kama kuna jambo linalowaumiza vichwa watanznia basi ni swali kuwa kwanini kila wanalopanga halifanikiwi? au kwanini wananchi ni masikini licha ya maliasili zilizojaa kila kona...
wadau leo mwenyekiti wa baraza la vijana la chadema amefanya mazungumzo na katibu mkuu wa baraza la vijana la chama kinachoongoza ujerumani cha CDU, NIMETOKA KUZUNGUMZA NA BWANA HECHE kutoka...
WABUNGE wameendelea kuirarua serikali katika mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kuhusu mambo mbalimbali hasa utendaji wake na baadhi wakienda mbali
wakisema kuwa wapo watendaji wanaomdharua...
CWT ni tawi la propaganda la CCM, lakini wanajifanya ati ni Umoja wa Wanawake Tanzania.
Jumuia ya Wazazi Tanzania unaweza dhani ni taasisi isiyofungamana na upande wowote, lakini angalia picha hii:
Kama wakati tunapata uhuru tulikua tunalingana uchumi na China,na mabadiliko iliyopata china ndani ya hii miaka 50,kisha linganisheni na namna tunavyoogelea kwenye umaskini pamoja na utajiri wote...
TAARIFA KWA WANAFUNZI WOTE WA MWAKA WA TATU CHUO CHA SANAA
NA SAYANSI ZA JAMII; CHUO KIKUU CHA DODOMA
WANAFUNZI WOTE WA MWAKA WA TATU CHUO CHA SANAA NA SAYANSI ZA JAMII
WALIOSIMAMISHWA MASOMO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.