Wananchi wa kijiji cha segese wilayani Kahama wamechimba barabara iendayo Kakola ili kuzuia mawasiliano ya barabara wakimtaka mbunge wao atekeleze ahadi alizowaahidi kwenye kampeni zake za...
By JOHN MBALAMWEZI Posted Sunday, June 26 2011 at 09:30
Tanzania plans to construct a Tsh2.3 trillion ($1.5 billion) railway line to open up its mineral rich southern region and boost the...
Sikieni alichokisema jana; kuwa anawashukuru sana watu wa manicipal ya Tabora kwa kumchagua kuwa mbunge... nafasi ambayo amekuwa akitafuta kwa muda mrefu...Kwamba Tabora hawadanganyiki kwa kuwa...
Wengi hawaridhishwi na utendaji wake pamoja na ule wa baraza lake la mawaziri.
Ameshindwa kutatua kero mbalimbali za wananchi.
Je akijiuzulu tumshitaki kwa makosa gani aliyoyavunjia sheria?
Inasemekana kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Willison Mukama anafanya kampeni ya kuzifanya kamati nyeti za bunge zinazoshikiliwa na wapinzani ziongozwe na wabunge wa CCM.
CCM ina...
Nyerere: wafungwa wafundishe Sekondari za kata
Send to a friend
Monday, 27 June 2011 08:53
0diggsdigg
Hussein Issa
KUTOKANA na uhaba wa walimu nchini, serikali imeshauriwa kuwatumia...
SITAKI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ahubiri siasa za kuomba huruma. Wiki hii bungeni, alilitaka bunge, Watanzania wote na wenye nia nzuri kwa taifa hili...
hatimaye Dr slaa aongea na wanavyuo hasa DUCE.alzungunzia hasa taifa atakulokuja kuliongza lnaitaji crititical thinker wnackilza k2 na kukifanyia utifiti na co kupelekwa kma chuo kikuu cha...
* Sasa kutumika kuungoa uongozi
* Milioni 50/- za hongo zawatesa
* Ujumbe wa Dk. Slaa wapondwa
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
HALI si shwari ndani ya uongozi wa CHADEMA wilayani Arusha, baada ya...
Wanajanvi, haya ni maoni yangu kwamba Babu wa Samunge ana akili na ubunifu kuliko serikari yote ya ccm na wataalam wa uchumi.Babu alibuni kikombe na kuweka gharama ndogo ya malipo. Jambo hili...
Na Rashid Mkwinda,Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA) Bw.John Shibuda, amesema utendaji mzuri wa Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, unavurugwa na baadhi ya
mawaziri aliodai ni mzigo...
TFF ilifanya kosa kubwa sana kumpatia timu ya taifa ya vija under-23 kwa kocha mzalendo Jamhuri Kihwelu.Matokeo yake vijana wetu wameishia kutolewa na Nigeria kwa sabau za uwezo mdogo wa...
ni jambo lililo wazi kuwa wenzenu ccm wamepora maeneo mengi sana ambayo kimsingi yalikuwa ni ya umma.mfano wa maeneo hayo ni viwanja vya michezo.
Nionavyo ni kwamba hata chama kingine...
Nimejaribu kuangalia Historia nimejikuta ninawazimia sana hawa jamaa wakati wa uongozi wao
George Bush - US
Adolf Hitler - Germany
Benito Mussolini - Italy
Hideki Tojo - Japan
Ferenc Szálasi -...
kwa mfano kama wasilamu wangekuwa hawahadaiki kiulaini na viongozi wa sasa kwa kisingizio cha kiongozi wa msafara bwana jk kuwa msilam basi na wakiristo kuhubiri amani na upendo kwa vitendo basi...
Kwa evaluation yangu hadi sasa,wabunge wafuatao
hawafanani na chadema kabisa,msaada wao kwa chadema ni sifuri
1.Rose Kamili
alihamia chadema baada ya kuangushwa kwenye kura za maoni
ccm,toka...
Ni bora Andrew Chenge angekuwa ni spika wa bunge la jamuhuri wa muungano wa Tz, kuliko
Anne makinda, kutokana na CV ya Chenge, kwani amekuwa mwanasheria Mkuu wa serikali kwa kipindi kirefu kuliko...
MBIO za kusaka urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete tayari zimeanza na zinakwenda kwa kasi kubwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mbio hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.