Nina hoja ndogo sana ambayo nadhani si vibaya viongozi wetu wakaiangalia.
Siku hizi wanasiasa wetu wanachaguliwa kutoka katika nyanja mbalimbali za maisha. Kuna waganga wa kienyeji, kuna waalimu...
Niliwahi kusema na kufanya watu wafikili juu ya hili na baada ya hapo kila mmoja takuja na jibu lillo la msingi baada ya hapo dhamira yangu itakua wazi na dhahiri kujenga maamuzi mema
kwanz...
naombeni msaada,nafikiri nina tatizo kubwa la kuwa na jealous na nchi yangu,
najisikia vibaya ninavyosikia wageni wanakuja hapa na kufanya mambo ya ajabu,
kuna thread ipo hapa sasa hivi inasema...
Kwa maelezo ya wabunge wanaotetea posho ni kwamba zinawasaidia kutoa misaada kwa raia wao wanaowazonga kila siku kuomba misaada mbali mbali! nami nasema hivi wafuatao nao waunganishwa kwenye mfumo...
Huyu Diwani ni mpiganaji ila Kama kweli walirubuniwa wakaingia kwenye mtego wa kupokea chochote toka kwa wanamagamba mpaka kumtambua meya Wa Arusha sijaelewa ni kwa nini walimgeuka mheshimiwa...
Kwa kweli hotuba ya Wenje imenitoa machozi kwa kweli nchi yetu inaporwa wizi wa wanyama pori kupitia kia, kagoda, deep green, udini, undugulization, kutochukua maamuzi magumu, mikataba mibovu...
Yaani huwezi kuamini hivi sisi watanzania tumerogwa ? Ni nani alietuambia kwambwa Chama tawala kitatuleta maendeleo ?
Chama hiki kilipewa jukumu la kuongoza nchi ya Tanzania kwa miaka hamsini...
Ni serikali ili promote dawa ya Samonge. Wenye akili tukasema serikali makini haiwezi ku promote dawa ambayo haijathibitika kuwa inatibu. Tukaendelea kusema kwa kuwa watu watadhani wamepona na...
Mwishoni mwa miaka ya sitini,na mwanzoni mwa miaka ya sabini, kulianzishwa "Operation vijiji" watu walikuwa wakikamtwa mijini nakupakiwa kwenye magari kwenda kuanzisha vijiji vya ujamaa...
By In2EastAfrica - Tue Jun 28, 2:55 pm
Father of the Nation Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
With the 50th anniversary of the independence of the then Tanganyika (now Mainland Tanzania) being...
Sitta ajitosa mjadala wa posho
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amejitosa kwenye mjadala wa posho ulioanza bungeni hivi karibuni akieleza kuwa suala la kujadili posho za...
Naandika nikiwa na furaha!!!! kivipi? kwani hakika anguko kubwa la chama cha Magamba limekaribia sitaki kuwa shehe Yahaya (the late RIP) lakini ni mambo yanayo onekana kwa uwazi kabisa (Black and...
Jamani pamoja na kwamba kiingereza ni muhimu lakini kuna kushobokea kwingine kuna kera. Hivi hili bunge ni la wananchi au la nani? Sasa unakuta Bunge la Tanzania nchi ambayo wananchi wake wengi...
I wish tungekua na utaratibu wa wakuu wa mashirika au idara muhimu za serikali kuwa wanahojiwa na bunge kuhusu utendani, mafanikio na challenges za sehemu zao za kazi ili kuongeza ufanisi kwa...
Chadema kama kweli mna uchungu na Taifa letu pelekeni hoja binafsi bungeni kupinga viinua mgongo, achaneni na habari ya shangingi moja la Mkuu wa kambi ya Upinzani Mbowe,
Kila mbunge ataondoka na...
Kwa kumbukumbu zangu ni Muswaada Binafsi uliwahi kupita ni mmoja tu wa Bro Lau Masha wa kutumia picha ya Karume kwenye Pesa ya Tanzania; Pamoja na Miswaada Lukuki inayopelekwa na Wabunge...
Kutoka kitabu cha Binadamu na Maendeleo kilichoandikwa na Mwalimu Nyerere, Mwalimu alisema ili binadamu awe huru anatakiwa awe na uhuru katika njia tatu;-
1. Uhuru wa Kujitawala,
2. Uhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.