Huyu mama (or dada), amesema kuwa JF inatumika kuchafuana. But sina hakika kama kulishakuwa na thread au hata post iliyowahi kumuingelea humu. Hii inadhihirisha kuwa hawa wana Magamba ni members...
MPs sitting allowances unjustifiable – survey
By Judica Tarimo
25th June 2011
Academicians, activists, private sector and ordinary people have criticised paying sitting allowances to...
WAZIRI wa Fedha, Mustafa Mkulo, amelishambulia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kwa kuendelea kuchukua fedha za Serikali zitokanazo na kodi ya wananchi kwa ajili ya ununuzi wa mafuta ya...
wadau wa jf naomba mnisaidie hili jambo. Mimi nataka kuishitaki serikali ya Tanganyika kwa mambo iliyotuahidi lakini hadi leo miaka kama 50 hivi ya uhuru haijayatekeleza:-1. serikali ya Tanganyika...
sasa watu wengi sana hapa kwetu Tanzania simu zao zina miito (Caller tunes) ya nyimbo za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na ninavyofahamu mimi miito hiyo hukatwa gharama za kuitumia na...
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, (CHADEMA), amewataka vijana ambao ni wasomi kuacha woga na badala yake wafanye mapambano ya kimageuzi katika kutafuta haki pamoja na kulinda rasilimali za...
Ndugu zangu wana JF nisaidieni nakala ya bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo ilifanyiwa marekebisho kidogo na kupitishwa na Bunge. Ninayo nakala ya Mkulo pekee ambayo ina mapendekezo tu, lakini...
Written by makame silima // 28/06/2011 // Habari // No comments
Mtarajiwa urais wa Muungano huyu Mizengwe Pinda
Kirusi kinacho uwa uchumi wa Zanziba hishi."]Hakuna shaka kuwa Muungano ndio...
LAITI mikoa ingekuwa na mabunge ya mikoa basi bunge la JMT lingehitaji tu kukutana mara nne kwa mwaka katika vipindi vya juma moja kila kikao.Kikao cha kwanza kingelihusu kupitia maamuzi ya...
Wito ulitolewa na viongozi waandamizi wa CDM, uchaguzi wa Meya wa Arusha umekuwa na hitilafu wa kisheria na uchaguzi umeendeshwa isivyo halali, kanuni kutofuatwa na kuwa na wapiga kura wasio...
Wakuu hivi zile gari aina ya BMW kwenye msafara wa kikwete huwa ni kwa ajili ya walinzi wake? si ingefaa awe anapanda angalau kwenye moja ya hizo ili kama kuna adui asijue yumo kwenye gari gani...
Asema suala la kuwafukuza sasa halina mjadala
Ni baada ya kukaidi amri kujivua gamba
Asisitiza kinachosubiriwa ni taratibu za kuwatema
Pia awonya mafisadi wengine na wezi serikalini
Awajulisha...
Ilikuwa ni siku ya Desemba 9, 2010. Tanzania ilikuwa inasherehekea miaka 49 ya Uhuru wa taifa. Baada ya kukagua gwaride Uwanja wa Taifa, Rais Jakaya Kikwete alifanya dhifa ya kitaifa Ikulu na...
Katika hafla hiyo hata viongozi wa Jumuiya hiyo hawakuwa nyuma katika kutekeleza majukumu yao kama kawaida japo ilikuwa ni jumapili, hapa ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Miriam Abu (kushoto)...
Hii habari ni ya siku nyingi sana lakini inaweza kukupa clue juu ya Nyerere(Aka:Failure)
By Ann Talbot - 15 November 2000
Opposition parties boycotted the rerun election in the East African...
Habarini Great thinkers!
Naomba mnipokee jamvini!
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mwenendo wa bunge letu! Nashangazwa sana na tabia ya wabunge wetu inayozidi kujengeka ya...
International court issues arrest warrant for GaddafiReuters Mon, Jun 27, 2011
THE HAGUE (Reuters) - The International Criminal Court issued arrest warrants Monday for Libya's Muammar...
Mgombea ubunge wa CUF katika uchaguzi wa 2010 jimbo la KIGOMA KASKAZINI ndugu OMAR MUSA MKWALULO amekamatwa leo mchana na polisi jijini Dar es salaam.
Bwana mkwalulo alipigiwa simu na ofisa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.