Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
makinda amuomba mh. kafulila aulize swali la nyongeza kwenye wizara ya madini ila asichafue hali ya hewa TBC Bungeni now.......jamani huku sikuzibana midomo kweli...?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MIONGONI mwa watu wanaotajwa kuwa kwenye mzunguko wa mwisho kuelekea ikulu katika uchaguzi mkuu ujao ni Bernard Kamilius Membe. Mbunge huyo wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na waziri wa mambo ya...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Ilikuwa masaa, siku, na hatimaye miezi toka Mheshimiwa Reginald Mengi na baadae Mheshimiwa Harrison Mwakyembe walipotoa malalamiko dhidi ya mwenendo wa baadhi ya wafanyabiashara na wakubwa katika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF, Jana kwa mara ya kwanza nilikubali kwamba makamu wa kwanza wa RAIS wa zanzibar ni mwanasiasa aliyebobea anayeamini katika ukweli.Kwa wale walioangalia taarifa ya habri ya ITV saa mbili...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Sitta ajitosa mjadala wa posho Send to a friend Monday, 27 June 2011 09:13 0digg Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Simbachawene mbunge wa Kibakwe CCM ameliambia bunge kuwa kwa sasa hakuna Mtanzania anayeshindwa kunywa chai kwa siku. Sisi kule kwetu, kulingana na hali ngumu ya uchumi chai ni 'mashikalo mageni'...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Purukushani za hao wanaofanya michakato,mbinu maarifa na mengineyo ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015,wajue moja Watanzania wa leo,bila viatu vya Baba wa Taifa Mwalimu Julius...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NYOTA za wanasiasa machachari wanaotoka kambi ya upinzani na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM), zinazidi kung’ara kwa baadhi yao kuchaguliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mbunge wa CUF, HAJI Khamis Kai wa Jimbo la Micheweni amesema kuwa anawapongeza sana CDM kwa kui'copy CUF kule Zanzibar na kufikia muafaka wa Udiwani na CCM kule Arusha. Amemaliza kwa kusema kuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Monday, June 27, 2011, 6:29 Habari, Mtanzania Na Mwandishi Wetu, Dodoma CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimekubali kufanya kazi bungeni na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Taarifa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1.jamaa ameanza kuanguka kisiasa kiukweli havumi kama miezi michache iliyopita hii inatokana na sakata lake la posho ambapo nayeye inabidi ajivue gamba kwa hilo 2. Sasa anategemea maandamano tu...
0 Reactions
104 Replies
8K Views
MBUNGE wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA) Bw.John Shibuda, amesema utendaji mzuri wa Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, unavurugwa na baadhi ya mawaziri aliodai ni mzigo ambao hawana utashi na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Imekuwa sasa ni fashion kwa watendaji wa serikali kunyamazisha hoja za wazalendo kwa kudai eti huyo mtu anatafuta umaarufu hii kauli sasa imekuwa kama ndo mtindo mpya wa kuzima hoja za watu na...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
HOTUBA NA NAPE YALIZA WATU MKUTANONI, MBUNGE WA CUF NA WAFUASI WAKE WAMSHANGILIA NA BASHIR NKOROMO, KILWA HOTUBA aliyotoa Katibu wa NEC Itikati na Uenezi CCM Nape Nnauye, juzi katika mji...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Wana JF napenda nichukue nafasi hii kuwahabarisha yanayoendelea bungeni,inawezekana wengi hamko karibu na tv au chombo kingine cha habari!Ilikuwa ni jukumu la GHORST RIDER sijui MODS wamempiga...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
na Abdallah Khamis CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemtaka Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, kutoa ufafanuzi wa zaidi ya sh bilioni 220...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Kwa nini serikali inatufanya sisi kama watoto? Yaani inamaana katiba mpya kuzinduliwa bila maoni ya wengi? Lazima ikumbukwe luwa katiba mbovu uchumi mbovu, katiba nzuri uchumi mzuri. Sasa hawa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sunday, 26 June 2011 ASEMA anawakejeli Watanzania, ni sehemu ya matatizo Hussein Issa na Fidelis Butahe KATIBU Mkuu wa Chedema Dk Wlibroad Slaa ameunga mkono kauli ya Mbunge wa Monduli,Edward...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Nimejaribu kupitia magazeti leo jumapili sioni hata moja lililocover story ya serengeti ikiwa serikali imenawa mikono kutokana na shinikizo la marekani...embu ona serikali ilijifanya kichwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Back
Top Bottom