Na Joster Mwangulumbi
Sub category:
Wazo Mbadala
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kilianzisha mradi mchafu kilipobaini uwezekano wa kusombwa na kimbunga cha mageuzi na kukataliwa na wananchi...
By In2EastAfrica - Sun Jun 26, 2:24 pm
Minister of Finance and Economic Affairs, Mustafa Mkulo
No matter how many times the opposition camp may raise pertinent issues in the Tanzanian...
hiyo post nimeitafuta sana, lakini nimeikosa...ama ame-edit ama ame delete.
lakini ninhependa kuwaonya ndugu zangu wa CCM ambao ni memba wa forum hii kwamba poasts zenu zenye mrengo wa kupinga...
Viongozi wa dini: Tumechoka wageni kunufaika na rasilmali za Watanzania
Saturday, 25 June 2011 10:15
Fidelis Butahe
Mwananchi
VIONGOZI wa dini mbalimbali nchini wamesema wamechoshwa...
Gazeti la Mwanahalisi mmetuchosha sana. Hivi hamna webiste editor au kazi imewashinda?
"""" Hii habari ya Rostam na Lowassa kumzima Kikwete"""" mtaiondoa lini imekaa kwenye front page wiki ya 2 na...
The United Republic of Tanzania is located in eastern Africa, consisting of mainland Tanzania and the islands of Zanzibar with the population of around 42 million (official projections for...
Mafuta tunayopaka katika miili yetu ni kitu kisichozungumza,
lakini athari zake ni kubwa. Ubaya au uzuri wake husikika na kuonekana kwakuhisi harufu za aina mbalimbali yanazotoa na hatuwezi...
Heshima mbele wakuu!!naombeni kueleweshwa juu ya hili jambo,hivi karibuni 2mekua 2kisikia kuwa ccm imejivua gamba,na wanachama wake wote wanao2humiwa kwa kashfa za ufisadi{hasa lowasa,rostam na...
Kwa jinsi nielewavyo mimi nchi inasimamiwa na mihimili mikuu mitatu(Bunge, Mahakama na Serikali kuu). Kili mhimili unafanya kazi zake "independently" ili kutekeleza majukumu yake. Kazi ya bunge ni...
Chama cha mapinduzi kina sera endelevu ndio maana kinazidi endelea kupeta kwenye zama hizi za siasa za ushindani.
Nianzie karibu ili nisiwachoshe.JK aliingia kwa gia iliyokuwa ikisomeka kuwa ARI...
Tuanza na hili, Richmond(rushwa)-----Dowan(rushwa)-----Symbolic power( AGENDA 2015)= Marekani kutukuza rushwa kwa kukubali mitambo hiyo inunuliwe na kampuni kutoka nchini mwao. Na kubariki ununuzi...
Hii ndio capital city yetu lakini inashagaza na kutuangusha sana;
Uchafu
Foleni; (mwendo wa kilomita 1 unakwenda masaa3). Watu tuliiii kisa amani!!
Barabara mbovu na chafu ...tena ktk maeneo...
Baada ya minyukano kadhaa ya kifikra na maoni ndani ya bunge na kwa wananchi kiujumla for the last one month. Nimejikuta nimeikumbuka barua hii ya Mwanamapinduzi wa karne Che Guevara akimuandikia...
Zitto, alituhumu Baraza la Mawaziri kushawishiwa na watu fulani ili kulifuta Shirika Hodhi la Mali za Mashirika ya Umma (CHC) kwa faida ya wachache ambao wana maovu yao katika taasisi za fedha na...
Nimepigiwa simu muda si mrefu jimboni kwa Mh E. Maige kumewaka moto baada ya mbunge huyo kuwaahdi wananch wa jimbo hilo kuwa atawaletea umeme na kuwajengea barabara na matokeo yake kafunga...
Ktk utetezi wa posho, mtoto wa mkulima Pinda alisema zinasaidia wabunge wakitoka milangoni wanakita kuna wananchi wanawaomba hela kwa mahitaji tofauti. Kwa tafsiri rahisi haijalishi ni ndugu au la...
Zaidi ya wiki moja tumekua tukifuatilia swala la kurudishiwa pesa yetu ya radar kutokana na rushwa kwa viongozi wetu niseme RUSHWA kwa kua serekali yetu inaonekana bado haitaki kukubali kwamba...
BAE nao pia ni wezi tuu kama our tainted tz gov.
Mi nadhani kama wanataka kuwapa NGO then fedha wapewe serikali ya uingereza halafu wao ndio waratibu huo ugawaji.
La sivyo kwa hiyo E-mail BAE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.