Kwanza kabisa Viongozi wa kijadi na kieneo walioongoza mapambano
dhidi ya Wakoloni;
Kinjeketile Ngwale, Watemi Chabruma, Songea, Mirambo,Isike ,Mkwawa, Kimweri
Mbega, Sina Meli Mandara...
Written by amini // 29/06/2011 // Habari // No comments
Tanganyika kabla ya Muungano, nembo ya Taifa.
Tanganyika ya sasa simbuli(nembo) ni ile ile jee Wazanzibar si tuko ktk tumbo la Tanganyika...
WAZIRI wa Fedha, Mustafa Mkulo, amelishambulia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kwa kuendelea kuchukua fedha za Serikali zitokanazo na kodi ya wananchi kwa ajili ya ununuzi wa mafuta ya...
Mh. Ana, Umshukuru Mungu kwa hizo vurugu na usizichukie ndizo 'zinakupaisha' mama. Kama bunge la sasa lisingekua na 'vurugu' hizi tunazoziona, basi mama bunge lako hili lisingekwa na mvuto kwa...
HUU NI MTAZAMO
Ndugu, Watanzania wenzangu, Nimefuatilia mijadala ya Bunge la Jamhuri kwa muda mrefu, natamani kuwe na namna ya kuwahoji wabunge kwa namna wanavyopoteza muda mwingi kutoa misemo ya...
Nimefuatilia magazeti ya leo nimeona wabunge wawili wa bunge letu wakisema muungano uvunjwe! Ingawa spika amewaambia mawazo yao wayapeleke kwenye kamati ya katiba, ukweli unabaki kuwa wabunge na...
BBC Swahili - Habari - Senegal waandamana kupinga mgao wa umeme
My take: Kuna nchi yenye mgao unaozidi wetu? Maana tukiwa tunakula wa about twelve hours, tanesiko watangaza rasmi wa masaa...
Leo nimemsikia Nape Radio Safari MTWARA akiombwa kutoa maoni yake juu ya kauli ya LOWASSA KUWA serikali na CHAMA ...CCM... Wamekuwa waoga kuchukua maamuzi magumu.
Nape akaanza kwa kumshangaa...
This is what the minister said today;
STAMICO to run Kiwira coal mine
KIWIRA coal mine in Mbeya Region, which has won a 400m US dollars (about 600bn/-) Chinese soft loan will be run by the State...
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, maarufu kama "Mtoto wa Mkulima," Ijumaa wiki hii (Juni 30, 2011) atahitimisha mjadala wa bajeti ya ofisi yake ya 2011/12 Bungeni. Hii itakuwa ni fursa nzuri kwa Pinda...
Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimekuwa mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya mtanzania, hii ni kupitia hoja za wabunge wake bungeni, maandamano halali ambayo nguvu ya serikali...
nimekuwa kwenye semina bagamoyo kwa takribani siku sita na sijawahi kushuhudia mgao,na siku kadhaa nyuma nilikuja kwa shughuli zangu binafsi na sikuona mgao hata siku moja
ili kupata uhakika...
Tuesday, June 28, 2011, 6:44
Biashara, Mtanzania
*Imevumbua trekta ndogo inayofanya kazi nyingi kwa wakati mmoja
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
KUPITIA Azimio la Zanzibar la mwaka 1992 Tanzania...
How bulk oil will be imported
Tuesday, 28 June 2011 22:41
By Frank Kimboy
The Citizen Reporter
Dar es Salaam
The government will establish three bodies and revive a bulk fuel storage...
Jamani hawa watu wanaitendea haki kweli hii gari lisilo na makosa?
Hawa wapo bungeni wanafanya kazi waliyotumwa na wananchi baada ya kilio kila upande. Kipato na ajira vinaleta amani popote...
Shirikisho lisilo la serikali la kufanya utetezi wa huduma bora za Afya SIKIKA limeponda mkutano wa Bunge la Bajeti liksema lifupishwe badala ya kumalizika August 30. Vikao kwa miezi 3 havina...
Habari zenu JF.......
Nimeona ni vyema kuuliza kama Facebook Account yenye jina "Jakaya Kikwete" ndio ya Rais wetu? na anaimiliki yeye mwenyewe? Maana nataka nimwandikie ujumbe mzito.
Asanten.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.