Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
SIKU moja baada ya viongozi wa dini kumpa saa 48 Rais Jakaya Kikwete kuwataja kwa majina ya baadhi yao wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya, Ikulu imeshindwa kutaja majina hayo, badala...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
'Mkuki mtamu kwa nguruwe,ila mchungu kwa binadamu'. si kila siku tunasikia viongozi wetu wa dini tena kwa maono wanakemea na kusema baadhi ya viongozi wa nchi ni wala rushwa/mafisadi? Kwa nafasi...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Hivi karibuni Rais wetu aliwakemea viongozi wa dini kuhusu kuacha biashara ya madawa ya kulevya. Kama ni kweli kuna viongozi wa dini wanauza madawa ya kulevya, unadhani njia gani ni sahihi kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
FROM: Facebook: by William Malecela on Sunday, June 19, 2011 at 8:19am @ NEW YORK: Hatimaye nimepata nafasi ya kuisoma bajeti nzima ya serikali kwa mwaka 2011/2012, na kwa kweli ninasikitishwa...
3 Reactions
134 Replies
8K Views
HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI LEO IMEJAA UZALENDO NA UTAIFA WA KWELI,IMENIPA MACHUNGU NA UWEZO WA KUFIKIRIA ZAIDI NATAMANI WATANZANIA TUUNGANE KWA PAMOJA TUNAWEZA KUMUONDOA MDUDU ccm...
0 Reactions
0 Replies
868 Views
President's Management Advisory Board: Part 2 | The White House President wetu anao washauri wa jinsi hii? Ni kina nani hasa?
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Wajue kuwa Wanawaongoza Binaadam na sio wanyama, kutojali na kusikia vilio na matatizo yao ipo siku .........!,kwani tumechoka na blah,blah zenu.
0 Reactions
1 Replies
958 Views
@ Facebook: by William Malecela on Wednesday, June 15, 2011 at 10:57pm @ NEW YORK CITY - USA: Ujira wa Wabunge wetu wanapokuwa bungeni kutuwakilisha wananchi, je ni mkubwa sana kuliko uwezo...
4 Reactions
408 Replies
24K Views
Dear wananjamvi naandika message hii kwa uchungu na pia kwa matumaini...kama mtanzania, na mpenda maendeleo nimekuwa mwenye masikitiko sana kugundua kumbe busara za mwenyekiti wetu Freeman Mbowe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kasumba ya kuajiri wageni hasa kutoka kenya naomba iangaliwe kwa makini, tukumbuke tuna wasomi wanagraduate kila mwaka,kama muungano wa africa mashariki unakuja na hasara kwa watanzania kiasi hiki...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Sifa kubwa ya kiongozi anayeweza kuleta mabadiliko makubwa katika jamii yoyote ile ni kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi magumu katika kuhakikisha dira, malengo na majukumu anayoamini yanateklezwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawawekea taarifa ya Press Conference ya Mhe.Lissu leo kuhusiana na sakata la mauaji ya polisi Tarime.... JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA Simu Na. 026 2322761-5 Fax Na...
10 Reactions
117 Replies
10K Views
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari kupitia Ch10, nikamuona waziri mkuu wetu Pinda eti anaiomba ofisi ya CAG itoe mapendekezo ya namna ya kuwabana wanaofuja pesa za serikali. Hiki nimeona ni...
4 Reactions
53 Replies
5K Views
Muafaka ndo hivyo umepatikana ni hatua moja mbele..bt je unadhan ni nini hatma ya ripot alotoa lema kwa spika wa bunge na ikizingatiwa mpaka leo maamuz hayajatolewa km ni pinda au lema ndo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lema 'pasua kichwa' CHADEMA[/h] * Kauli zake zadaiwa kuudhi wenzake * Mbunge adai zinakidhalilisha chama * Ashangaa baadhi kumwona kama shujaa * Ataka chama kimuwajibishe, vinginevyo... NA...
0 Reactions
100 Replies
9K Views
Wapi yule mama alikua anavunja manyumba na matingatinga usiku- Aligusa pasipo penyewe? Wapi ile spidi ya magufuli, Nakumbuka karibu kila wiki tulikua tunapata tamko kutoka kwake kuhusu mipango...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau Salam.Naomba mawazo yenu wakuu. Muafaka uliofikiwa kati ya CDM na CCM Arusha Unaweza kufananishwa na makubaliano yaliyofikiwa Zanzibar kati ya CCM na CUF? Matokeo ya huu Muafaka si...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu maamuzi ndani ya Bunge ambapo maamuzi mengi hutolewa kwa kuuliza walioafiki wanasema ndiyo na wasioafiki wanasema hapana. Kiongozi wa shughuli za bunge wakati huo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Foleni za magari Dar miezi minane iliyopita linazidi kukua siku hadi siku hadi katika barabara za vunji na hata usiku. Je tutarajie ufumbuzi wa tatizo katika bajeti hii?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa miaka takribani 47 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado kuna malalamiko mengi juu ya muungano wenyewe ingawa wana ccm wenyewe wanakaa kwamba hakuna matatizo. Swali langu ni, kati ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom