WAKATI Wizara ya Maliasili na Utalii ikihaha kuwabeba Wazungu kwenye ugawaji vitalu vya uwindaji wa kitalii, suala hilo sasa limeelekezwa kwa Waziri Mkuu na wabunge ili waweze kuihoji Serikali juu...
Je, ulifahamu ya kuwa katika kutafuta jina la kuziunganisha nchi hizi majina kama vile Tanganzanziyikabar na Tangibar yalipendekezwa? Ikiwa ulifahamu ama la, soma taarifa zifuatazo ujikumbushe...
Kikwete kuporomoka umaarufu kutoka kuaminiwa na wapigakura 85% mpaka 61% tena kwa kuchakachua.
Dr. Slaa kushindwa uchaguzi kwa njia za mizengwe na kujizuia (kwa hekima) kuhamasisha vurugu licha ya...
Bajeti imepita na wabunge 81 wameipinga dhidi ya 234 kwa hesabu ya harakaharaka wabunge karibu wote wa upinzani wameungana kuipinga, hongera wabunge wetu naona huo ni mwanzo wa ushirikiano kwa...
Msimamo kati ya familia mbili maarufu katika historia ya taifa hili umekuwa tofauti ndani ya bunge la bajeti, baada ya Mh. Leticia Nyerere kupiga kura ya 'Hapana' huku binti wa marehemu Sokoine...
AKIHOJIWA NA GAZETI LA RAIA MWEMA LA JUNI 9-JUNE 14,2011. LISU ALISEMA;
".................nilikuwa mwana ccm wakati ule wa chama kimoja usingeweza kuingia chuo bila kujiunga na chama.mara baada...
Jana ktk Ukumbi wa Bajeti huko Mbezi katika Sherehe za Harusi Mh. G. Lema alifanya kitu ambacho ni nadra kufanywa ktk tasnia ya Siasa pale alipowakaribisha waalikwa wa harusi kujiunga na CHADEMA...
Siku 90 zilizo tangazwa CCM chama kinacho tawala nchini TZ kupia kwa katibu wa uenezi wa CCM zitaishia aidha ni;
Siku ambayo mapacha 3 wataachia zote ndani ya CCM.
Siku ambayo CCM itajinasibu...
Kuna viongozi walikuwepo Washington DC kutoka serikali ya JK kuomba Tanzania itolewe kwenye Black List ya madini ya USA. Congress iliweka hii list kwasababu madini mengi ya Diamond kutoka Congo...
Monday, 20 June 2011 19:22 newsroom
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
SAKATA la Meya wa Jiji la Arusha, limefikia tamati baada ya CHADEMA kutangaza kumtambua rasmi Meya wa Jiji hilo, Gaudance Lyimo...
Jamani dodoma kuna nini??katikati ya nchi, kama tulivyofundishwa tangu tupo skuli kwamba ndiyo makao makuu ya nji hii njema. Tuliambiwa na kuaminishwa kuwa hii ndiyo makao makuu ya nchi na wizara...
kwa kuwa pm anatetea posho, nawaomba wabunge wa chadema muwashe moto zaidi. pm ana nyumba dodoma amepewa na serikali na akiwa hapo yupo nyumbani. je analipwa per diem ya nini wakati hiyo ni posho...
Miaka kadhaa iliyopita serikali ya CCM iliaamua kuhamishia Makao Makuu ya Serikali Kutoka DAR ES SALAAM na kuhamia DODOMA! Uamuzi huo ulifuatwa na hataua za utekelezaji, ikiwemo kujenga Ofisi za...
Wanajamvi mjadala. tuchangie bila kuweka ushabiki wa vyama
Kuna PM (FS) aliijaribu kuwkeza tanzania lakini matokeo yake mambo tuliyosoma kwenye vyombo vya habari yalikuwa ni ngetive zaidi kuwa...
Nyota njema uonekana asubuhi na kijiji cha KABIGA mkoani Geita kimeshaanza kuwasha taa za kuelekea 2015
kwa kuibwaga CCM ktk uchaguzi huo na kuichagua chadema. SASA chadema inabidi muanze...
Kwa kweli maneno ya mboye kwamba watu wamekuwa wanalipana posho kwa semina ambazo wanaelewa kila kitu. Utashangaa semina za ukimwi au hata magonjwa mengine ni nyingi saana na kila kukicha...
Kuropoka kumetuathiri CCM-Guninita
Na Anneth Kagenda
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema wamepata madhara makubwa kutokana na baadhi yao kuropoka na kutoa siri za...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. CUF TUNAIPONGEZA CHADEMA KWA KUKUBALI KUUNDA SERIKALI YA PAMOJA ARUSHA Imetolewa na Mhe. Julius MtatiroNaibu Katibu Mkuu - Bara Juni 21, 2011 CUF Chama Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.