YAH: TAARIFA POTOFU YA GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA TOLEO LA JUMATATU, 20 – 26 JUNI, 2011 ' SAKATA LA POSHO ZA WABUNGE' SPIKA MAKINDA MBUMBUMBU ‘Utafiti wabainianasimamia...
TAFADHALI VYOMBO VYOTE VYA HABARI!
Kwa kuzingatia uzalendo na maslahi ya umma, kwa kumwogopa Mungu na kutumia vipawa na previleges zenu kama wanahabari, tunaomba muitawanye, muandike kwa mapana...
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Willium Lukuvi
akifuatilia mjadala wa Bajeti Bungeni mjini Dodoma jana
Mbunge wa Ilemela (Chadema) Highnes Kiwia ambaye aliiponda...
There is only one option...to suffer the consequences. I can't imagine how CCM MPs wrongly decided to dump the strong man Samuel Sitta. I mean who advises CCM people? It is proving day in day out...
Si mara ya kwanza kusikia raisi wa nchi fulani baada ya kuondoka madarakani amejilimbikizia mamilioni ya dola kwa ajili yake na familia yake, leo kuna taalifa za raisi Ben Ali wa Tunisia...
Jamani
Nimekuwa nikifuatilia Bunge kupitia dondoo zinazorushwa hapa JF.
Nimekuja kugundua kwamba sioni kabisa michango inayogusa
masilahi ya watanzania kwa ujumla ikitokea kwenye vyama vingine...
Kwa kweli mi nakerwa sana na usiri uliopo serikalini na mjengoni maana mtu anapokosea au kwenda kinyume na utaratibu wa bungeni mbunge husimama na kuomba mwongozo wa spika kwa mbwembwe nyingi sana...
Inasemekana baada ya yale mapigo ya Mbowe leo, CCM sasa wanahaha na Katibu Mkuu wa CCM ameambiwa amwandalie Waziri Mkuu majibu ili wajihami na mapigo ya Mbowe!!
Ni ukweli usiopingika issue ya posho ya Dr.Slaa imekuwa gumzo na pengine imempa wakati mgumu Dr.
Ni Mh.Mbowe aliyetoa siri hii mara ya kwanza kwenye public na kusisitiza uamuzi wa chama kumlipa...
Asema mwenendo wa wabunge si mzuri
Umepotezea Bunge mvuto kutokana na vituko
Katika kile kinachoonekana kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, ama kazidiwa au kuchoshwa na mwenendo wa wabunge katika...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeingia kwenye mgogoro baada ya baadhi ya wabunge kupandwa na hasira dhidi ya wenzao wanaoendesha kampeni ya kutaka posho za vikao kwa wabunge...
Tuesday, June 21, 2011, 7:28
Habari kuu, The african
Denies bias
Reiterates firm stand on PSO
Ready to testify
Disturbed by sensationalism
BY SYLVESTER JOSEPH IN DODOMA
THE Speaker for the...
Kuna mambo mengi yanatokea nchini ambayo yanagusa maslahi ya wafanyakazi. Mambo ambayo kuendelea kwake kunahatarisha maslahi ya wafanyakazi na mambo mengine ambayo yamesababisha ukimya na utulivu...
Ndugu zangu wanajamvi.
Leo nimeguswa kutoa mawazo yangu juu ya mijadala mingi kuhusu kiini cha matatizo ya watanzania.
Yamesemwa mengi na pengine si vibaya nikayarudia kumi bora kati ya yale...
Ndg. Wana JF tumekuwa tukishuhudia jinsi sakata hili la kuhalalisha ununuzi wa mitambo hii ambayo ilipelekea Ndg. Lowasa na wengineo kujiuzuru madaraka waliyokuwa nayo. Kumekuwa na juhudi za nguvu...
JK amegewa mbinu za maendeleo Malaysia
Send to a friend
Monday, 20 June 2011 20:48
0diggsdigg
Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete jana alikuwa miongoni mwa Wakuu wa Serikali za Nchi...
OR ITS NOT SLAA, LOWASSA or MAGUFULI: RATHER ITS CCM and CHADEMA,or SLAA, MAGUFULI AND LOWASSA:
ALL PERSONALLY WILL BENEFIT OUT OF 2015 PHASE::BUT THEY WILL ALSO BRING CHANGES IN TANZANIA::::DISCUSS
Nani alishawahi kuusikia huu wimbo wa Mchaka Mchaka ?
" Kambona , ah, ah!
Kambona, ameolewa!
Wapi?
Uko Ulaya!
Wivu?
Wamkereketa!"
Ulikuwa maarufu sana mashuleni siku za nyuma, sina uhakika...
Wanajamii, Baadhi ya magazeti ya leo tarehe 21/6/2011, yameripoti kuwa Waziri Mkuu, jana amesema kuwa 3/4 ya wafanyakazi wa Serikali hawawajibiki ipasavyo na ndiyo chanzo kikubwa cha ufanisi mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.