Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia haka kamradi cha Food Aid Counterpart waliopo pale lumumba street kunaonekana kunaufisadi wa kutisha. Mradi huu upo katikati ya wizara ya fedha, kilimo na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakaaya Sumari amerudisha kadi ya Chadema jioni ya leo na kumkabidhi JK kwenye mkutano wake ulio fanyika leo mkoani Arusha, JK amempongeza sana kwa kitendo hicho na kumwambia karibu mama CCM...
0 Reactions
287 Replies
24K Views
Ni kweli hata wabunge wa viti maalumu wa chadema wanachngia point kuliko wabunge wa viti maalumu wa CCM kama akina ESTER wanachangia kusifia tu. Wabunge wa CDM hongereni endelezeni mapambano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Wanasheria na watetezi wa haki za Binadamu kutoka Canada, wanajitayarisha kuishtaki Barrick Gold katika mahaka ya kimataifa ya haki za kibinadamu kutokana na matendo ya kinyama ya shirika hilo...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
kabla ya kifo chake mwalimu nyerere alipata kuamka baadahi ya mamabo ambayo hivi sasa ynajitokeza wazi wazi mathalani:- 1) wakati wote wa maisha yake mwalimu nyerere alisistiza kuhus umuhimu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
i Neville Meena, Dodoma BARAZA la mawaziri kivuli lililo na wabunge kutoka Chadema pekee, huenda likavunjwa na kuundwa jipya litakalojumuisha wabunge wa vyama vingine vya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba wabunge wasiingiliwe wakati wanawasilisha michango yao ktk vikao vya bunge vinavyoendelea huko bungeni. Sipika kama hawezi kusimamia bunge na anataka kuwa waziri aachie nafasi wengine na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania ina rasilimali nyingi ( mf. Wanyama, misitu, samaki na madini) ambazo imezawadiwa na Mungu kwa manufaa ya wananchi wote. Tumekuwa tukizitunza rasiilimali hizi miaka mingi. Miaka ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mapokeo ya Umma kwa Mijadala Bungeni Wiki Hii LIVE on Star TV this Morning Hatukuweza kuipost mada hii kutokana na kuwepo mijadala kama hiyo ikiendelea katika thread nyingi kama zilivyokuwa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
YouTube - ‪Toronto Tanzania Solidarity‬‏ Angalia hiyo Website inaonyesha uonevu unaofanywa na Barrick kwenye migodi na jinsi wa Canada walivyoandamana kulaani mauwaji na uonevu...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Mada hii itajadiliwa Jumapili 06 June 2011 kuanzia saa 1 na dk 30 asubuhi Star TV. Baada ya kimya kirefu na majukumu mengine ya Kiofisi tutakuwepo wiki hii kuwezesha mjadala pamoja na Watanzania...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Leo majira ya mchana tukiwa News room kuna taarifa ambayo imeandikwa na imesambazwa kwa wahariri ikiwa na lengo la kuwachafua wabunge wa CHADEMA kesho kuhusiana na posho. Taarifa hiyo imetolewa...
7 Reactions
128 Replies
13K Views
Hatari ya vurugu inatoka kwa watawala, Slaa asiwape kisingizio Jenerali Ulimwengu Juni 8, 2011 KATIKA kipindi hiki tunapoikazania Serikali ya Rais Jakaya Kikwete isifanye mchezo na suala la...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mbona huu mpango wa taifa uliosomwa bungeni hauna maelezo yoyote kuhusu kuandikwa kwa katiba mpya? Au ndo tushazimwa?
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Hali halisi North Mara, yaani uchafu unaofanywa na barrick ni Sababu tosha serikali dhalimu ya CCM na mafisadi wake kung'olewa madarakani. Nguvu ya umma ndio dawa pekee ya kulikomboa taifa letu...
0 Reactions
1 Replies
987 Views
ast Updated on Saturday, 18 June 2011 09:12 Comments 12345 0 #63 ahmed 2011-06-18 16:09 Nini sifa ya kuwa mwanasiasa? Je MAFISADI wanasifa ya kuwa wanasiasa? Kikao cha Bunge kilichopita Mh...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa udhaifu wanaouonyesha wabunge wa chama cha magamba hakika, wasitarajie kurudi tena mjengoni, nalileta hili kwa wale wote wanaopenda kuwawakilisha wapiga kura majimboni mwao wanakotoka, tiketi...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Approximately 70 people on June 9, 2011 gathered outside the University of Toronto's Munk School of Global Affairs for a commemoration held for the seven individuals killed in Tanzania at African...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
17 Jun 2011 | Ref. 110 BAE Systems today announces the formation of an advisory board on Tanzania. The Board will be chaired by Lord Cairns. Philippa Foster Back, OBE will serve as Deputy...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Hivi karibuni Msanii Nakaaya Sumari aliamua kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kwa lengo la kufanya siasa.Pamoja nakujiunga na chama hicho lakini Nakaaya anatarajia kugombea...
0 Reactions
65 Replies
12K Views
Back
Top Bottom