Mmoja wa Wenyeviti wa Bunge Mh. Jenista Mhagama amemtaka Mbunge wa Iringa mjini Mh. Mchungaji Peter Msigwa kuwasilisha kwa maandishi madai yake kuwa serikali ya CCM imepiga na kuuwa watu.
Mambo...
Jengo la ofisi ya Mwalimu Nyerere Foundation lililokuwa karibu na chuo cha IFM lilibomolewa kwa ajili ya matengenezo/ujenzi wa jengo jipya. Eneo lilizungushiwa hadi mabati, but hivi karibuni...
Utamaduni huwa chanzo cha falsafa. Mfano, falsafa ya ujamaa na kujitegemea ya tanzania ilitokana na tamaduni za kibantu za usawa, haki, ushirikiano, undugu, na upendo. Na kwa uchache ikachukua...
Wanajamvi,
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini...
African jitters over blogs and social media
By Karen Allen
Southern Africa correspondent, BBC News
African governments are turning to more sophisticated techniques to block internet sites and...
Mh. Edward Lowassa, Andrew Chenge na Rostam Aziz, sikilizeni ushauri wangu. Inawezekana mmeshapata ushauri mwingi na toka kwa watu mbali mbali. Mimi ninawashauri hivi, (kwa kuwa naamini...
Ishu ya mgogoro baina ya wawekezaji wa mgodi wa Tarime na wakazi wa Nyamongo (mauaji ya polisi dhidi ya raia wasio na hatia) imechukua sura mpya baada ya vigogo kadhaa toka wizarani kuitwa...
na Sitta Tumma, Musoma
MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Vedastus Mathayo, ametoa siri ya
kushindwa kwake...
Si dhambi kukubali, kupongeza na wakati mwingine kuendelea kuchanga mawazo ya kuendelea kuboresha katika maeneo ambayo kimsingi yanatoa mashiko katika eneo zima la uchangiaji wa Hoja Bungeni kwa...
Ni muda mrefu sasa umepita tangu mh. lema kuambiwa*
atoe taarifa ushaidi kwamba waziri mkuu wa tanzania
amesema uongo lakini *mpaka leo hatouni kinachoendelea./
leo tena mch.msigwa anaambiwa alete...
Nina hofu kubwa kwamba huko tuendako (si miaka mingi) Tanzania, hasa huku Tanganyika, amani itatoweka kabisa na watu wengi zaidi watapoteza maisha kwa sababu tu ama CCM haina uongozi au viongozi...
Wakuu, ni dhahiri kuwa Mh Makinda ameshindwa kuendesha bunge kwa Misingi ya Haki, ama kwa kutojua au kwa maslahi ya kundi flani. Mienendo ya spika kuwakingika kifua Mawaziri na watendaji wakuu wa...
Allowances: Ex-German president warns govt
Wednesday, 15 June 2011 23:46
By Polycarp Machira
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The debate on allowances paid to civil servants took a...
Nimekuwa nikifuatilia Bunge kwa siku hizi mfululizo lakini nikagundua kwamba pale anaposimama mpinzani kutoa mchango wake wabunge wa ccm wamekuwa watitulia kama vile wanaangalia cinema mpya ambayo...
Kwa wale ambao tumekuwa tukifuatilia mjadala wa Bunge asubuhi hii mtakubaliana na mimi kwamba Lukuvi ni tabularaza wa kujitakia kwa kutoweza kuielewa mchango wa mchungaji Msigwa(mbunge CDM Iringa...
BAJETI MBADALA YA KAMBI YA UPINZANI NI UTHIBITISHO WA UONGO WA CHADEMA
1.0 UTANGULIZI:
Leo tarehe 15/06/2011 kambi ya upinzani bungeni ambayo inaundwa na chama cha CHADEMA kupitia waziri...
Ni kikao kengine cha Bunge la kumi, hiki kikiwa ni kikao cha kupitisha Bajeti ya Taifa letu. Mijadala kwenye Bunge inaonekana kupamba moto sana, Wabunge wa CCM wakionekana kuunga Mkono kwa asilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.