Heshima kwenu wakuu,
mimi nimekuwa nikifuatilia bunge hili la budget kwa makini sana. nimegundua wabunge karibu wote wa CCM wanaunga mkono Budget kwa 100%. alafu kwenye kuchangia wanalalamika...
Hii imetokea katika Bunge la leo ambapo Mh Mbunge huyo alikuwa anachangia bajeti iliyoletwa na waziri wa fedha, katika mchango huo alitaja jinsi jimbo lake lilivyojaliwa kuwa na natural resources...
Comrades,
Have our true fighters Hon. Mbowe and Tundu Lissu been pyschologically tortured and affected after being remand prisoners?
One of the indicators of Hon. Mbowe's post-traumatic stress...
Bunge alasiri hii
Kama maandamano yanalenga kutetea haki za matanzania kamwe hayatakoma usiku na mchana na Polisi wajiandae. Hizo ni salam za Mh. Godbless Lema alsiri hii akimwaga Moto Bungeni...
YAMEKUWEPO madai kwamba, serikali hata kama haitaki kusikiliza kelele za wanasiasa, hususan wa kambi ya upinzani na wachambuzi mbalimbali wanaohimiza dhana ya uwajibikaji serikalini, basi ilipaswa...
Juzi nikiwa katika mizunguko yangu ya hapa na pale nikapokea ujumbe mfupi kutoka kwa mzee ananiambia Anaingia kwenye kikao cha Bajeti Bungeni, nilijiuliza maswali ina maana keshafika Dodoma mara...
Mashangingi yote kuuzwa
na Martin Malera, Dodoma
KAMBI ya Upinzani Bungeni, imesoma bajeti mbadala ambayo imefuta ada za shule, misamaha mikubwa ya kodi, mfumo wa kulipana posho za...
A man dies & goes to hell. There he finds that there is a different hell for each country and decides he'll pick the least painful to spend his eternity.
He goes to the German hell & asks, "What...
SERIKALI yetu haina dini.Iliamuliwa hivi na kutambuliwa na katiba yetu yenye viraka.Natamani ibaki hivi hata katika katiba mpya itakayokija kama watawala wetu hawatabadili mawazo yao...
Leo jijini Dar pale ubungo plaza,imezinduliwa report juu ya Media monitoring during 2010 election ambapo pamoja na mambo mengine imeeleza kuwa CCM ilipendelewa katika coverage kwenye radio ,tv na...
US firm grabbing land in Tanzania? 13/06/2011
0 Comments
The Tanzanian government is on the verge of concluding a deal with international investors that will result in evacuation of refugee...
KAMA kuna wakati ambao tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatakiwa kujivua gamba ni sasa kutokana na kupoteza imani kwa wadau na umma kwa ujumla.
Kama chama tawala, Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Ndungu yangu Nape
Pole sana na majukumu, vijana ambao tuko chini yako tumeanza kukata tamaa maana tulitegemea wewe uwe tegemeo letu sasa umetugeuka umeanza kufata nyayo za mafisadi...
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa...
MBUNGE wa Kigoma Kusini (NCCR Mageuzi), David Kafulila jana jioni alichafua hali ya hewa bungeni baada ya kuwataja wabunge wawili wa Chama cha Mapinduzi ( CCM) kwa kuomba rushwa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.