Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mh Mnyika amesema Nepi anasoma bdgt kama vitabu vya A E I O U, haelewi bdgt ya upinzani inavyotengeneza pre conditions za kupunguza gharama za uzalishaji! Kupandisha fine kwa madereva...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
Jana mbunge wa viti maalum kupitia UVCCM Zainab Kawawa alikosa busara baada ya kujibishana kwenye mic na baadhi ya wabunge wa CDM baada ya Spika kuhairisha shughuli za bunge.Kwa kweli ni utovu...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Ombi Langu kwa wabunge wa chama changu, si kila jambo kulipinga swala la Posho (sitting allowance) hakuna sababu ya kulivalia njuga na kulazimisha kulipata,wabunge wanapata Mshahara,posho ya kuwa...
11 Reactions
70 Replies
6K Views
Vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaotakiwa wajiuzulu kwa tuhuma za ufisadi wamekutana na uongozi wa juu wa chama chao, na taarifa zinasema bado mvutano haujaisha kati ya pande mbili hizo...
1 Reactions
266 Replies
23K Views
Pamoja na kupigia debe ziara yake alipokuwa hapa mama huyu, na kuwa ameamua kufuta umasikini, Bi Clinton aweka wazi kutokuridhika na hatua za kimaendeleo zilizofikiwa na Tanzania. Akitoa...
4 Reactions
63 Replies
6K Views
adai wataandamana hadi kieleweke na wataendelea kutoa elimu kwa raia hadi kila mtu atende wajibu wake.
2 Reactions
95 Replies
11K Views
Mh: Mussa Azzan Zungu katika uchangiaji wa bajeti ya serikali aishauri kambi ya upinzani kukubaliana na kuunga mkono serikali katika masuala yenye manufaa kwa nchi jambo litakalowafanya kupata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI WIZARA YA FEDHA MHE.KABWE ZUBERI ZITTO (MB) KUHUSU MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2011/2012...
6 Reactions
103 Replies
12K Views
Weekend hii nilikuwa nafanya mzunguko nilitembea kwa gari hadi Oysterbay maeneo ya cocobeach, wakati narudi nikapita njia ambayo kisheria hairuhusiwi namimi sikujua kama hairuhusiwi kupita njia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Akifungua semina ya wajumbe wa kamati inayojishughulisha na ukaguzi wa mashirika na taasisi mbalimbali za serikali, Speaker Makinda amewaonya wasipokee posho mara mbili mbili japokuwa anatambua...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
mtoto wa bagamoyo kasepa zake Uswizi. kwa raha zake!
0 Reactions
55 Replies
4K Views
hivi wafanyakazi wa sekta binafsi sio watanzania? hawapigi kura au? mana wenyewe walipie kodi allowance zao.wafanyakazi wa serikali no!!!!! how come!!!! nauli za likizo zakatwa kodi bonus pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi waungwana mmeona MAKINDA alivyomnyonga TUNDU LISU kwenye maswali ya papo kwa papo kwa PINDA?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Elmer G. "Geronimo" Pratt, the former Minister of Defense for the Black Panther Party, died in Tanzania, Africa Thursday (June 3, 2011). In 1972, the revered leader was unjustly prosecuted and...
4 Reactions
83 Replies
18K Views
Mtu akizifanyia tathmini hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya wabunge na viongozi wa serikali, zinazotetea uhalali wa ulipaji posho za vikao kwa wabunge, inaonekana wazi ama watu hao ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeangalia kwa makini sana gazeti la Mwanahalisi kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo bila kukosa na leo nasema kwamba Mwanahalisi ni gazeti maalumu lililoundwa kwa ajili ya kumshughulikia Edward...
0 Reactions
97 Replies
9K Views
Wana jamvi, kuna hii kauli ambayo sasa imezoeleka na wanasiasa hasa wa chama tawala kuwasema wenzao hasa wa CDM kwamba wanatafuta umaarufu. Nabaki najiuliza kwa mfano, hivi kati ya Januari makamba...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
indicators za magamba zimeshaanza kujitokeza kwa baadhi ya wagombea wa nafasi ya m/kiti chadema mbeya!! Mmoja wa wagombea anayejiita ''mzee wa upako''(john mwambigija)alikimbia kwenye mdahalo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimemsikia Zitto Kabwe akiongea na BBC. Anasema msimamo wake upo palepale hatasaini karatasi ya mahudhurio, hatapokea posho na yupo tayari kurudi kijijini kwake kuvua dagaa baada ya kufukuzwa...
0 Reactions
128 Replies
10K Views
Wednesday, June 15, 2011, 10:48 Mtanzania SERIKALI imesema Sh trilioni 2.250 zitatumika kujenga reli ya Mchuchuma, Liganga hadi Mtawara. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Uchukuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom