Kwa vile harakati za kutaka kuondowa malipano yasiyokuwa na Mantiki zimeanza basi tuziendeleze. Wabunge wa CHADEMA kwa nia yoyote ile iwayo inabidi tuwashukuru kwa kutuletea mwanya wa kuweza...
Mbunge wa CCM ameibuka na kuwajibu wapinzani wakati akichangia mjadala wa bajeti leo. Alimjibu Mbunge wa Mbozi kwa tiketi ya Chadema David silinde aliyesema kuwa ni miaka 50 sasa tangu uhuru na Tz...
Katika ukurasa wa Facebook wa gazeti la Raia Mwema kuna taarifa ifuatayo:
Tunawaomba radhi wasomaji wetu kwa kutotoka leo na badala yake tutatoa kesho Alhamisi. Tumeona tutende haki kwa wapinzani...
Katika siku za karibuni tumesikia walimu sehemu mbalimbali za Tanzania wakilalamikia kutolipwa posho zao kama malipo ya awali kwa mtumishi yeyote anayeanza kazi katika kituo kipya kwa mara ya...
Hali ya kisiasa nchini Tanganyika (Tanzania Bara) ni tete sana, ikichagizwa na malumbano vulugu-vulugu baina ya wenye magamba na wanaovaa magwanda. Haya malumbano yote nayo mwisho wake ni nini...
Ni mbunge wa Ilala anchangia sasa. Anasema wanafunzi wa Vyuo Vikuu wasidanganywe na watu ambao wamesoma na wana shahada. Wakubali kukaa chini na kutafuta suluhu ya matatizo yao badala ya...
ndoanaendelea kuchangia hoja sasa hv bungeni,pia ndonimefahamu kuwa sala la posho kwa wafanyakazi kumbe zito kaliiba kwenye mpango wa serikali wa miaka 5,pia anashauri halmashauri zipange fedha...
Wakuu,
Katika bajeti ya serikali inayojadiliwa bungeni, serikali imejipanga kukopa fedha ili kulipa deni lililoiva. Hivi hii ndiyo busara ya dawa ya deni kulipa?
Nawasilisha.
Mshahara wa mbunge ni sh 2,300,000/=,posho ya kila mwezi ni mil 5,pesa ya kujikimu (per-diem) 80,000/=wakiwa kwenye vikao vya kamati zao,na pia sitting allowance nis shilingi elfu 70.
Kwa kawaida...
Nachukizwa sana na tabia ya wabunge wa ccm kuanza kujibu hoja za wabunge wa Chadema wakati wakujadili hoja mbalimbali za serikali,hivi hawaoni kuwa wanapoteza nafasi adhimu ya kuwatetea wananchi...
Jamani, hivi sasa hapo bungeni Mbunge Richard ndasa anamshambulia Zito kabwe na
Chadema kwa hoja yake kuhusu alichowakilisha bungeni leo! Vipi maoni yenu katika hoja zake?
By Nova Kambota
After the so called operation vua gamba has proved to be both toothless and fruitless, it is wise now we take a little time to think critically on the leadership of the...
Leo naona wameamua
kuna wabunge wamehoji uhalali wa waziri wa fedha kudanganya bunge faini atakayolipishwwa
mtu akitenda kosa sh 50,000 wakati kwenye kitabu cha bajeti tena anasoma kwa kudesa...
Ukiona Kiongozi wa Nchi za kiafrica anasifiwa na wazungu basi tambua sana mambo mengi sana anayo fanya ni ya kuwa furahisha wazungu hao.
Nitaoa mfano. NA NDO ILIVYO KWA TZ NA VIONGOZI WETU WA...
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, amewatolea uvivu wabunge na kuwaeleza kuwa wanajidharaulisha na kukigeuza chombo hicho cha kutunga sheria kuwa kama eneo la sokoni Kariakoo, Dar es...
uchaguzi wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa m/kiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambalala(gamba jipya) unafanyika tarehe 20/06/2011.hivyo wawakilishi wetu kwenye uchaguzi...
Source :Gazeti la mwanachi
Tuesday, 14 June 2011 21:43
Neville Meena, Dodoma
HOJA ya kutaka kufutwa kwa posho za vikao za wabunge na watumishi wengine wa umma wa imechukua sura mpya...
Leo jumatano tarehe 15.06.2011 kuna kongamano la mwaka la kitaifa la kupambana na rushwa hapa ubungo plaza, tayari limeanza na kati ya watu naowaona meza kuu ni pamoja na chikawe(waziri), hoseah...
Asubuhi hii nilikuwa nasoma gazeti la Tanzania Daima toleo la leo tarehe 15 Juni, 2011, ambalo limeripoti kwamba Lowassa anarejea leo kutoka Nigeria ambako gazeti hili limeripoti kwamba alikwenda...
By Daily Onigiri on May 11, 2011
Japan's Prime Minister Naoto Kan is briefed about the state of Ishanomaki High School by Japanese Ground Self Defense Forces on April 10, 2011. Photo: Flickr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.