I'm trying to work out by then hawa akina LOWASSA , MWAKYEMBE etc ambao vijana wa kileo wa JF wanawapigia debe watakuwa na umri gani by 2015?
Seriously are we going to be in danger of being led...
Kiukweli mimi nimekwisha choshwa kabisa na hawa CCM yaani sina hamu nao hata kidogo.Nimekuwa nikiwaona CDM kama mkombozi wa hili jahazi ambalo linakaribia kuzama.Lakini nimeanza kupata wasiwasi...
Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.
polisi wafanya mabadiliko kwa kumhamisha masawe toka kanda maalum ya kipolisi ya Tarime -Rorya kwenda Tanga je amejbu kwanini waliiba miili ya maeheemu na kui dump barabarani na mauji...
Shirika la Nyumba la Taifa kupitia bodi yake limeweka historia kwa kukataa kuwauzia nyumba wafanyabiashara na vigogo wa serikali badala yake wanatakiwa kulipa kodi za pango. Big National Housing...
na Martin Malera, Dodoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelipua Rais Jakaya Kikwete kwa kusaini na kuidhinisha Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano kabla ya kupitishwa...
Spika Ana Makinda yupo katika kiti chake tayari kuendesha mjadala wa maswali na majibu kabla ya kuendelea na hoja iliyoahirishwa jana ya kuchangia Mpango wa maendeleo 2011/12 - 2015/16
Nimeona hii kwenye Website hii nikaona labda niiweke hapa watu mtafanya kuichapisha na kuibandika Video ikiwezekana zipo nyingi tu.
TANGANYIKA INDEPENDENT - British Pathe
Huyu Makamu Pekee wa Waziri Mkuu ana jini gani maana NCCR Mageuzi na TLP viko hoi.
Pia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi mwaka jana alikuwa akimpigia kampeni Kikwete ilhali TLP walikuwa...
na Martin Malera, Dodoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelipua Rais Jakaya Kikwete kwa kusaini na kuidhinisha Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano kabla ya kupitishwa na Bunge...
Naanglia Channel ten Maalim Seif anafanya mazungumzo n makwaiya wa kuhenga. Maalim ameulizwa kwamba ukiwa kiongozi wa upinzani mnaendeshaje serikali. maalim akamkatisha na ksema alikuwa... Kwa...
BAJETI IMELENGA KUTATUA KERO ZA ELIMU YA JUU:NAPE
Katibu wa halmashauri kuu ya taifa ya CCM Itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema bajeti ya mwaka 2011/2012 imelenga kutatua kero zilizojitokeza...
Ccm na serikali yake wananufaika na matatizo yaliyopo nchini na kuondolewa kwa matatizo hayo hasa ambayo ni kero za msingi ndio utakuwa mwisho wa utawala wa ccm.Kama hamuamini maneno yangu...
Daniel Msangya
13 June 2011
A total of 1,200 students out of 1,602 from higher learning institutions will be paid Sh389 million as field allowances, it was reported here...
Monday, 13 June 2011 23:35
By Rosemary Mirondo The Citizen Correspondent
Dar es Salaam. The opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has initiated talks with the UK government...
We are not alone in the struggle. The world is watching warily. Here parallels are being made between Tanzania and Tunisia. Do our present leaders really want to be remembered as architectures...
Za jioni wa JF, naona kijana David kafulila anachangia vyema bungeni dodoma, live muda huu. msiwe mbali atafuata mbowe. Hebu tuwaangalie wawakilishi wetu bungeni jamani
Frank Kimboy
13 June 2011
Dar es Salaam - The United States has pledged to help Tanzania in the war against piracy. The US secretary of State, Mrs Hilary Clinton, made the pledge during a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.