Baada ya malalamiko ya Chadema kuhusu chatanda kule arusha kusikika, wazalenda wachache ndani ya chama cha magamba waliliona hilo nakuvalia njuga kuwa mama huyu aondelewe huko. Cha ajabu wazalendo...
Jamani wanaja JF nawaomba/kuwasisihi tuwe wawazi, bila kuwa na itikadi, upendeleo wala ushabiki na ushushushu. Wabunge wa chama gani wanafanya maelfu ya watu kupenda kusikiliza/hata kuangalia...
Nimekua ni kifuatilia muda mrefu mijadala inayo endelea ndani ya Bunge na nikaja kubaini kuwa kunakasoro kubwa katika Bunge letu hasa kwa wabunge wa CCM, upigaji makofi wao kidogo unatia...
Mh. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu, huyu ndie Mbunge anae ongoza kwa taarifa katika Bunge letu, mimi ninachotaka kumuuliza ni kuwa yeye wananchi wake walimtuma kwenda kutoa taarifa Bungeni au...
WanaJF,
Kuna msemo niliwahi kuusoma zamani, 'mimi sio nyoka kwa sababu baba yangu hakuwa nyoka'...
Pia, wengi wetu (sio wote) ni wakristo au waislamu kwa sababu wazazi wetu ni wakristo au...
Hotuba ya Kambi ya Upinzani kuhusu Mpango wa maendeleo wa Taifa kama ilivyosomwa bungeni leo 13/06/2011.
Hii ni hotuba ya kwanza kusomwa na kambi ya Upinzani tangu CHADEMA wawe ndio kambi rasmi...
Wadau naomba tuanzishe perfomance rating ya viongozi waandamizi wa serikali kama mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa wilaya na zaidi sana marais ili tupime kitaaluma utendaji wao wa kazi na...
*Wabunge wake waandika barua nao wakatwe
*Chama cha NCCR-Mageuzi kimesema kuwa tayari kimeandaa barua ambazo kitaziwasilisha kwa waziri wa Fedha, Bw. Mustafa Mkulo kuelekeza posho za vikao kwa...
hivi jamani REDET na ile kampuni iliyokuwa inafanya utafiti wa kujua hali na joto la kisiasa iko wapi sasa? tunataka tupate updates jamani... au walitumwa? si walisema huwa wanafanya kila baada ya...
WAZIRI Kivuli wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), na Mbunge wa Viti Maalumu Chadema, Leticia Nyerere amejiuzulu wadhifa huo.Hatua ya kujiuzulu kwa mbunge huyo imekuja kipindi kisichozidi miezi...
Ndugu zangu wana JF Salamu,
Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom...
ndugu ktk uchaguzi mkuu uliopita ni watu 8mil ndio walishiriki kikamilifu ktk mchakato wa kupiga kura instead ya 21mil km ilivyopaswa/ilivyotegemewa. Je tatizo ni nin? Nini kifanyike? Vp kuhusu...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton akisalimiana na Rais Jakaya Kikwete mara baada ya maongezi yao yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Madam Secretary of State...
Kwa mtu anayejua Wazili kivuli atawasilisha bajeti ya upinzani lini na saa ngapi plz naomba aniambie, Japokuwa nipo busy siwezi kufuatilia bunge ila kwake nataka nijitahidi hadi nione, Kama haujui...
Tanzania haishiwi vioja. Punde kupitia kupitia taarifa ya Habari ya Mlimani TV nimemwona Jaji Mkuu-Chande, Lau Kego Masha-IMMA Advocates na mwakilishi wa UDSM wakizindua mpango wa kuwajengea uwezo...
US raises concerns about wildlife impact of Tanzania's plans for trans-Serengeti road
By Matthew Lee, The Associated Press | The Canadian Press - 8 hours ago
WASHINGTON - The United States...
I am a bit confused with the current state of the process initiated by the President that would have lead to a new constitution. What is the current position and what should we expect to happen in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.