Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zangu watanzania nauliza hivi nchi yetu bila wabunge,bila mawaziri ambao wanainyonya hii nchi kwa steating allowance hatuwezi kujitawala?
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Mh. BUNGE WA JIMBO LA MAKETE KATIKA KUCHANGIA HOJA JUU YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA AMENZA KUCHANGIA KWA KUONYESHA KUWA MPANGO HUU NI UFUMBUZI WA MATATIZO YA TANZANIA, LAKINI CHA KUSHANGAZA...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimemuona Nnape kwenye ITV akiongelea posho za wabunge. Nashindwa kuelewa anaongelea kuhusu posho za wabunge akitumia wadhifa upi?
0 Reactions
108 Replies
9K Views
WanaJF Sina namna ya kumshauri Rais JK, lakini kama anaipenda Tanzania na chama chake, basi afanyishe Rapid Political Appraisal kabla ya kuwateua Ma-DC na Ma-RC:- Ma-DC na Ma-RC: Awateue vijana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hii ndio ratiba ya bunge la Bajeti ya 2011/2012
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, awali ya yote nawashauri kila mtu ajitahidi kusoma nini kilichomo katika THE TANZANIA FIVE YEAR DEVELOPMENT PLAN 2011/12-2015/16". Ninaona kwamba kuna discrepancy kadhaa kati...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAZIRI Kivuli wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), na Mbunge wa Viti Maalumu Chadema, Leticia Nyerere amejiuzulu wadhifa huo.Hatua ya kujiuzulu kwa mbunge huyo imekuja kipindi kisichozidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, pendekezo la Zitto Kabwe la kutumia asilimia 4 ya "Skills Development Levy " iliyokuwa inaingia serikali kuu kusomesha vijana wetu limetekelezwa kwenye bajeti ya mwaka 2011/2012. Nanukuu...
4 Reactions
298 Replies
22K Views
Wizara sita zanzibar zimekumbwa na kashfa ya kutumia fedha za umma kinyume na sheria ya fedha ya mwaka 2005 ikiwemo kufanya malipo ya mamilioni ya fedha yasiokuwa na mikataba Kashfa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikinuu kauli ya baadhi ya watawala na wachambuzi wa siasa za kimataifa, "..marekan haina rafiki bali wanajari interest zao" ziara hiz za viongoz wa wa juu wa U.S, kuja Tz inatia wasiwasi, some...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana JF Prof. Ibrahimu Lipumba ametangaza kuwa kesho hakutakuwa na maandamo ya chama kama ilivyotangazwa na Julius Mtatiro baada ya kuombwa na waziri mkuu Mizengo Pinda. Hivyo amewataka wanachama...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
By In2EastAfrica - Sun Jun 12, 8:31 pm Kikwete agrees to new 26-nation economic block President Jakaya Kikwete on Sunday signed an agreement on talks leading to the establishment of a...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Ndugu wana jamvi kuna tetesi kwamba serikali inashinikiza umeme ukatwe maeneo mengi wakati huu wa kuwasilisha na kuijadili bujeti ya wanamagamba. Sina uhakika, je ni kweli?
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Mh Mpendazoe leo ndo anazindua kitabu chake cha PAMOJA TUTASHINDA mgeni rasmi ni Mh Tundu lissu. Tayari kimeshazinduliwa na sasa anaongea Mpendazoe amezungumzia jinsi alivyokanwa na Mh Sitta...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amewataka viongozi wa serikali kuacha kuwadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye uwezo wa kuwaletea maendeleo. Mkapa alisema hakuna kiongozi mwenye uwezo wa...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
TAMKO LA NCCR MAGEUZI KUHUSU BAJETI YA MWAKA 2011/12 2011-06-12 BUNGENI DODOMA 1.0 UTANGULIZI Tunawashukuru wanahabari kwa kuja kupokea maoni yetu na kuwafikishia watanzania kuhusu maoni yetu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Friday, June 10, 2011 *Mgogoro wa Arusha ni urais wa 2015 *Wenyeviti UVCCM 11 kumfuata Millya *Wenyeviti wilaya wamwandikia Mukama Na Waandishi Wetu MBIO za urais wa mwaka 2015 ndani ya Chama...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Nilipokua najaribu kupitia historia ya bara letu la Africa nilipata maswali mengi ambayo binafsi naomba msaada kwa wenye uwezo wa juu kuliko mimi. Natumai mtachangia kwa wingi ili niwe sawa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wanajf nimeshtushwa na taarifa za kipuuzi zilizoandikwa hapa kusiana na michuzi na mtu mwenye jin l kipanga mlakuku kwanza natoa shukrani zangu kwa moderator kifuta post hiyo na jibu langu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
.......................Wiki iliyopita chama cha CUF chini ya M/Kiti wake Prof.Ibrahimu Lipumba kilitangaza maandamano kuanzia pale Ubungo Mataa,na ujumbe wa maandamano haya ilikuwa ni kupinga...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom