MKAKATI wa makusudi umesukwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kudhoofisha jitihada za kisiasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), MwanaHALISI limeelezwa.
Mkakati unalenga kuzuia...
Wana JF nawasalim
Katika pita pita yangu asubuhi nimeona hii tittle Chadema yadaiwa kumnunua Prof. Lipumba
hili gazeti ni pro-CUF+CCM sasa hii inaashiria Lipumba anaanza kuandamwa ndani ya CUF...
Jamani, nasikia unasifiwa, unauzwa kuwa ni bora kuliko mipango mingine ya huko nyuma n.k Na kwamba ni mpango ambao tukiutekeleza utatupeleka kuwa taifa la kipato cha kati ndani ya muda mfupi tu...
Nimesoma makala moja ya Mzee Mwanakijiji (MMK) kwenye gazeti la Mwanahalisi la leo (uk wa 9).
Anaongelea juu ya recent arrest ya Mbowe na suala zima la "utawala wa sheria" hapa nchini...
Jana waziri wa fedha Mkullo alisikika akikanusha madai yaliyotolewa na mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe, aliyeelezea ya kwamba waziri alitoa bajeti hewa. Pamoja na kauli yake hiyo, bado naungana na...
wote nccr wa cdm wengine wamebaniwa angalia sahv itv anataja majina ya wachangiajai badala ya watu kuonyesha mikono,jamaa ananiambia wapo nyuma "tumeandika ya kwetu watu 9 hakuna atamoja...
Habari wana jf
ninaye mjomba wangu mjeda kikosi cha navy nilikuwa sijaonana naye tangu uchaguzi uishe.
Basi nilianza kumuuoiza kuhusu siasa wao kama wajeda wanamsimamo gani na hali ilivyo sasa...
Kwa kazi kubwa waliyomfanyia kuiba kura na kuchakachua matokeo ya uchaguzi 2010.
Ama kweli kuna kazi kuitoa CCM madarakani kama mambo ndo haya.
soc: ITV news bullet
Baada ya chadema kuwa chama kikuu cha upinzani, nilitegemea kuwa ingeanzsiha mara moja utoaji mkubwa wa elimu ya uraia kwa wananchi ikiwa na lengo la kuwafanya wananchi kutambua na kuelewa kwa...
Kutoshabikia kabisa falsafa ya kuvua Gamba.
Mshabiki mzuri wa siasa hasa wa sera za CHADEMA na viongozi wake.:kev:
Msomaji wa Gazeti la MwanaHalisi, Raia mwema, Mwanachi,Nipashe na TZ daima...
naomba wadau mnisaidie hili, hivi tume ya taifa ya uchaguzi inateuliwa na nani na inawajibika kwa nani?
jana kwenye taarifa ya habari niliona tume ya uchaguzi ikikabidhi ripoti ya uchaguzi kwa...
Jana atoa tamko kuusu maandamano asema kuwa wao wanadamana kwa nama yoyote kwakua polisi wametoa sababu mbazo azina msingi. kova asema '''tumekataa maadamano kwakuwa tuna ugeni wa kitaifa kwaiyo...
Gumzo la Wiki
Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011
CHAMA cha Wananchi (CUF) chaweza sasa kuwa kinatoka usingizini? Lakini wapo wanaosema, Kinatafuta shuka wakati tayari kumekucha....
By In2EastAfrica - Fri Jun 10, 4:45 pm
The rising tide of gold prices has lifted the market value of Tanzanian Royalty Exploration (TRE) to ridiculous levels. The stock has gained over 350%...
Wadau, hivi karibuni kinara wa utabiri wa nyota nchini Sheikh Yahya Hussein alitoboa siri kuwa kuanguka jukwaani kwa Kikwete wakati wa uzinduzi wa KAmpeni za Urais ni kwa sababu ya kutumiwa Majini...
Katika pitapita yangu kwenye ukurasa wa Nape Nnauye kwenye Facebook nikutana na post hii hapa chini! Swali moja najiuliza je ni kweli Nape ni mtoto wa kuli??
Nape Nnauye
‎"WATANZANIA HAWA...
Wakati Watanzania wengi wanasubiri kwa hamu bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 20111/2012, hali ya maisha inazidi kupanda. Hapa Dodoma wananchi wa kawaida wanaendelea kutafuta riziki zao, huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.