Naomba nikiri wazi leo wana JF kuwa nimewahi kutembelea mikoa mbalimbali ya Tanzania la sijawahi kuzama vijijini kabisa mara nyingi huishia sehemu za mji kidogo sasa leo nimerudi kutoka mkoa mmoja...
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kusoma alama za nyakati badala ya kulaumu wapinzani kwa mawimbi ya kisiasa nchini kwa...
Chura akipigwa teke, amepunguziwa safari!
Na Msomaji Raia
JUMAMOSI ya Juni 4, 2011, kiongozi mkuu wa Upinzani katika Bunge alijisalimisha Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam na...
Tunasikitishwa sana na style ya uongozi ya Mh. Mdee ( Mbunge wa kawe). Wakati anaomba kura alikuwa mnyenyekevu ila baada ya kupata ubunge amekuwa sasa malkia kwa wananchi wake badala ya...
Kuna kundi kubwa la watu ambao wanasubiri serikali iwapatie fedha za masomo n.k na wazazi wao wakati wana uwezo wa kufanya kazi. Kwa muda mrefu mfumo ulioundwa na serikali ya CCM unazuia na...
Ukombozi waja kipigo chayoyoma
Na Ndimara Tegambwage
Njia bora ya kuharakisha mabadiliko ya kisiasa nay a kiuchumi nchini Tanzania ni kubughudhi viongozi wa upinzani kila kukicha...
Leo nilukuwa natazama gazeti la Mwananchi la mwaka 2006 sasa nikakutana na safu inayokwenda kwa jina la "MCHUMIA TUMBO" iliyokuwa inaandikwa na Silyvester Qorro nakumbuka huyu Mr Qorro aliwahi pia...
Kamanda Nzowa wa kikosi cha kuzuia madawa ya kulevya amejitokeza na kumtaja Mch. Kuchupu Denis Okechuku wa kanisa moja la 'kiroho' lililopo maeneo ya Kinondoni Biafra, kuwa ni mmoja wa wachungaji...
Taarifa zilizo rasmi, zitokanazo na matangazo ya gari la CDM, wanachama wa CDM wote wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kuwapokea wabunge wa chadema wakiongozwa na Mwenyekiti Mh.freeman...
Haya katika ufutilia mwenendo wa siasa na uongozi nchi mwetu nmegundua kuna tatizo moja nalo ni la kufanya maamuzi kwa lugha ya kimomdbo tunasema decision making.
Najua viongozi wa serikali...
sasa hivi kauli ya kujivua gamba ni maarufu mno
hata kwenye mazungumzo ya mapenzi au ya kijamii mengine
utasikia watu wakiitumia hii kauli.......mpaka kwenye magazeti ya udaku inatumika...
sasa...
Kikao hiki ni muhimu sana katika ratiba ya vikao vya bunge kila mwaka hivyo na kwa kuwa wawakilishi wetu japo sio wote lakini wengi ni wageni mjengoni sio vibaya tukishare mawazo mbalimbali humu...
Mwaka jana wakati kambi ya upinzani bungeni inawasilisha budget yake, TBC na Startv walikatisha matangazo ya moja kwa moja, baadaye spika alitoa sababu kuwa kulikuwepo na matatizo ya kiufundi...
Ndugu zangu,
NIONAVYO, kuna upepo mgumu wa kisiasa unaovuma sasa kwenye nchi yetu. Ndio, upepo mwingine ni mgumu wenye kutingisha matawi ya miti na hata makoti tuyavaayo. Kamata-kamata hii ya...
KADRI siku zinavyosonga mbele, hali ya baadaye ya chama chetu Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndivyo inavyozidi kutatanisha. Wanachama na wapenzi wa chama wamechanganyikiwa kwa sababu hawana...
Na Mwandishi Wetu, Thehabari, Maswa
MBUNGE wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda amesema CCM ina uchakavu wa fikra na anguko la vitendo linalowatafuna viongozi wake hivyo kushindwa...
Naamini bunge linaweza kuweka kipimo na ukomo wa kiongozi ambaye anaonekana wazi kwamba uongozi umemshinda.hii itasaidia kuleta utawala bora wenye ufanisi na tija kwa wananchi bila kungojea muda...
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo...
Jf
polisi waliohusika na shughuri ya kumsafirisha Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kutoka Dsm kwenda Arusha wanasema ni zaidi ya milioni 50 zilitumika kwa safari hiyo
lakini pia kila wilaya...
Nimeipenda sana hii comments ya bwana Bakari kwenye mtandao wa gazeti la mwananchi
..........................................
+2 #1 Bakari 2011-06-09 06:54
Serikali ya CCM inaitawala Tanzania kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.